Pumba za mpunga kutengeneza matofali
PUMBA za mchele zimebainika zikichanganywa na saruji kidogo, zina uwezo wa kutengeneza matofali imara. Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba Bora na Vifaa vya Ujenzi (NHBRA), umebaini hayo kupitia tafiti mbalimbali ilizofanya.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Wajasiriamali wa pumba waiangukia serikali
WAJASIRIAMALI wa bidhaa za pumba na mashudu, jijini Dar es Salaam, wameiomba serikali kupunguza tozo kwa wafanyabisahara wanaonunua bidhaa zao na kupeleka nchi jirani ya Kenya. Wizara ya Maendeleo ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XqAdMr4VwhI/Ve8q48iyH3I/AAAAAAAA5VM/_QNXhDu0uxw/s72-c/TBL%2B6.jpg)
UMEME WA PUMBA ZA MCHELE, MASHUDU YA PAMBA WATUMIKA KUENDESHEA MITAMBO YA TBL MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XqAdMr4VwhI/Ve8q48iyH3I/AAAAAAAA5VM/_QNXhDu0uxw/s640/TBL%2B6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-CfPAkjJIMhA/Ve8q4wGJfuI/AAAAAAAA5VA/dhoFTTxarV4/s640/TBL%2B8.jpg)
10 years ago
Habarileo10 Oct
Vijana wasaidiwa kufyatua matofali
VIKUNDI vya vijana mkoani Shinyanga vimepatiwa mashine za kufyatua matofali za kisasa huku wakionywa kutogeuzwa kuwa vijiwe vya siasa na magenge ya kufanya uhalifu.
5 years ago
BBCSwahili23 Jun
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
NHC yatoa mashine za matofali Kagera
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limetoa mashine 28 za kufyatulia tofali zenye thamani ya sh milioni 12.6 lengo ikiwa ni kuwasaidia vijana kujiajiri na kuondokana na umasikini. Akizungumza katika...
10 years ago
Mwananchi02 Sep
NHC yagawa mashine za kufyatulia matofali
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
Halmashauri zatakiwa kununua mashine za matofali
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amezitaka halmashauri zote nchini kutenga fedha za kununua mashine za matofali yanayofungana (Tanzania Interlocking Bricks Machine), kwa ajili ya kupunguza tatizo la ajira katika halmashauri zao....
11 years ago
Habarileo11 Jul
Kipaumbele kwenye mpunga, miwa
WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetangaza maeneo ya kipaumbele katika utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa, miongoni mwake ikiwa ni kuendeleza mashamba makubwa ya kibiashara kwa mazao ya miwa na mpunga.
11 years ago
Habarileo21 Jan
Pinda aagiza halmashauri kuwa na miradi ya matofali
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameziagiza halmashauri zote nchini, kuingiza katika mipango yake mradi wa kuwawezesha vijana kufyatua matofali kwa teknolojia ya kisasa, uliobuniwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), ikiwa ni suluhu ya ajira na utunzaji wa mazingira.