Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pumba za mpunga kutengeneza matofali

PUMBA za mchele zimebainika zikichanganywa na saruji kidogo, zina uwezo wa kutengeneza matofali imara. Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Nyumba Bora na Vifaa vya Ujenzi (NHBRA), umebaini hayo kupitia tafiti mbalimbali ilizofanya.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wajasiriamali wa pumba waiangukia serikali

WAJASIRIAMALI wa bidhaa za pumba na mashudu, jijini Dar es Salaam, wameiomba serikali kupunguza tozo kwa wafanyabisahara wanaonunua bidhaa zao na kupeleka nchi jirani ya Kenya. Wizara ya Maendeleo ya...

 

9 years ago

Michuzi

UMEME WA PUMBA ZA MCHELE, MASHUDU YA PAMBA WATUMIKA KUENDESHEA MITAMBO YA TBL MWANZA

Raymond Richmond, Meneja wa kampuni ya Bia (TBL) Mwanza,akiwaonesha waandishi wa habari (hawapo pichani), mapumba ya mchele,yanayotumika kuzalisha nishati ya umeme wa kuendesha mitambo ya kiwanda hicho.Kulia ni Meneja wa Maji na Nishati wa kampuni hiyo.
Mwandishi wa habari, Daniel Mkate (kushoto) akiwauliza maswali, Meneja wa  Kampuni ya Bia (TBL) Mwanza, Raymond Richmond na Meneja wa Maji na Nishati wa kampuni hiyo, Sunday Kidolezi, kuhusu  changamoto ya upatikanaji wa mali ghafi...

 

10 years ago

Habarileo

Vijana wasaidiwa kufyatua matofali

VIKUNDI vya vijana mkoani Shinyanga vimepatiwa mashine za kufyatua matofali za kisasa huku wakionywa kutogeuzwa kuwa vijiwe vya siasa na magenge ya kufanya uhalifu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mifuko ya plastiki inavyotengeza matofali na vigae

Nancy alipata ujuzi mtandaoni

 

10 years ago

Tanzania Daima

NHC yatoa mashine za matofali Kagera

SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limetoa mashine 28 za kufyatulia tofali zenye thamani ya sh milioni 12.6 lengo ikiwa ni kuwasaidia vijana kujiajiri na kuondokana na umasikini. Akizungumza katika...

 

10 years ago

Mwananchi

NHC yagawa mashine za kufyatulia matofali

Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) limeanza kugawa mashine za kisasa za kufyatulia matofali katika halmashauri za mkoani Tanga, huku likiwataka vijana kuzitumia kama sehemu ya ajira yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Halmashauri zatakiwa kununua mashine za matofali

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amezitaka halmashauri zote nchini kutenga fedha za kununua mashine za matofali yanayofungana (Tanzania Interlocking Bricks Machine), kwa ajili ya kupunguza tatizo la ajira katika halmashauri zao....

 

11 years ago

Habarileo

Kipaumbele kwenye mpunga, miwa

WIZARA ya Kilimo, Chakula na Ushirika imetangaza maeneo ya kipaumbele katika utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa, miongoni mwake ikiwa ni kuendeleza mashamba makubwa ya kibiashara kwa mazao ya miwa na mpunga.

 

11 years ago

Habarileo

Pinda aagiza halmashauri kuwa na miradi ya matofali

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameziagiza halmashauri zote nchini, kuingiza katika mipango yake mradi wa kuwawezesha vijana kufyatua matofali kwa teknolojia ya kisasa, uliobuniwa na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), ikiwa ni suluhu ya ajira na utunzaji wa mazingira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani