Vijana wasaidiwa kufyatua matofali
VIKUNDI vya vijana mkoani Shinyanga vimepatiwa mashine za kufyatua matofali za kisasa huku wakionywa kutogeuzwa kuwa vijiwe vya siasa na magenge ya kufanya uhalifu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Jul
NHC yazinyang’anya halmshauri za mikoa mashine za kufyatua matofali
*Mkoa wa Katavi na Rukwa washindwa kutumia fursa ya msaada huo
*NHC yanyang’anya mashine Halmashauri za Mikoa hiyo
*Zatakiwa kuomba upya mashine hizo na kuunda vikundi imara
Katika kuhakikisha kuwa rasilimali za umma zinatunzwa, kutumika ipasavyo na kuhakikiwa, NHC imeendelea kuwakagua vijana waliopewa msaada wa mashine za kufyatulia matofali yatakayowezesha wananchi kujijengea nyumba za gharama nafuu katika Halmashauri zote za Mikoa ya Katavi, Mbeya na kukamilika Mkoani Iringa.
Kwa ujumla,...
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
NHC yaleta ajira kwa vijana kupitia matofali
MALALAMIKO ya ukosefu wa ajira yamekuwa yakiongezeka siku hadi siku huku lawama hizo zikielekezwa serikalini. Hata hivyo serikali kupitia baadhi ya taasisi zake imekuwa ikitafuta kila mbinu kutatua tatizo hilo...
10 years ago
Dewji Blog20 Sep
Shirika la nyumba latoa mashine 28 za kufyatulia matofali kwa vijana mkoani Pwani
![](http://4.bp.blogspot.com/-09qHqTAjmrE/VBxlueHaZHI/AAAAAAAAQ90/gCOkPfZhsWY/s1600/9.jpg)
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Pwani Pauline Mrango akisoma Hotuba ya makabidhiano ya mashine 28 za kufyatulia matofali kwa vikundi vya vijana katika halmashauri zote za mkoa wa Pwani.
Shirika la Nyumba la Taifa limetoa mashine hizo zenye gharama ya zaidi ya shilingi milioni 12 pamoja na mafunzo kwa vijana ya wiki mbili ambapo baada ya kumaliza mafunzo Shirika litatoa msaada wa shilingi laki tano kwa kila kikundi kama mtaji .
![](http://3.bp.blogspot.com/-zhpwxVDIzOc/VBxl0ndL_gI/AAAAAAAAQ-E/aYbQztU4ANM/s1600/10.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimpa...
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
NHC yaelezea namna ilivyosaidia vijana kupitia mradi wa ufyatuaji wa matofali na ujenzi wa nyumba za gharama nafuu
Meneja wa Mkoa wa Tabora Bw. Erasto Chilambo, akimpa maelezo ya ujenzi wa nyumba za gharama nafuu Mkuu wa Mawasiliano na Huduma kwa Jamii Bi Susan Omari alipotembelea mradi huo ulioko eneo la Isikizya Wilayani Uyui jana. (Picha kwa hisani ya Kitengo cha Mawasiliano ya Umma na Huduma kwa Jamii cha Shirika la Nyumba la Taifa).
Mwonekanao wa nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na NHC eneo la Isikizya Mkoani Tabora.
Meneja wa Mkoa wa Tabora Bw. Erasto Chilambo akiendelea kutoa maelezo ya...
10 years ago
Michuzi05 Sep
MKUU WA WILAYA YA TEMEKE AKABIDHI MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFALI ZILIZOTOLEWA NA (NHC)KWA VIKUNDI VYA VIJANA
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/38.jpg)
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/46.jpg)
![8](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/82.jpg)
10 years ago
Michuzi06 Feb
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AKABIDHI MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFALI ZILIZOTOLEWA NA (NHC) KWA VIKUNDI VYA VIJANA
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
NHC yatoa msaada wa mashine za matofali, Sh. 500,000 kwa vijana walioacha kutumia dawa za kulevya Kigogo, Dar
Vijana waliopata ushauri nasaha wa kuacha kutumia dawa za kulevya, wakishangilia baada ya Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Muungano Saguye (aliyevaa koti) kuwakabidhi msaada wa mashine tatu za kufyatulia matofali pamoja na mtaji wa sh. 500,000 katika hafla iliyofanyika kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, Dar es Salaam jana. Katikati mstari wa mbele ni Mchungaji wa kanisa hilo, Jackson Haranja ambaye pia ni mlezi wa...
10 years ago
GPLMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AKABIDHI MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFALI ZILIZOTOLEWA NA (NHC) KWA VIKUNDI VYA VIJANA