NHC yazinyang’anya halmshauri za mikoa mashine za kufyatua matofali
*Mkoa wa Katavi na Rukwa washindwa kutumia fursa ya msaada huo
*NHC yanyang’anya mashine Halmashauri za Mikoa hiyo
*Zatakiwa kuomba upya mashine hizo na kuunda vikundi imara
Katika kuhakikisha kuwa rasilimali za umma zinatunzwa, kutumika ipasavyo na kuhakikiwa, NHC imeendelea kuwakagua vijana waliopewa msaada wa mashine za kufyatulia matofali yatakayowezesha wananchi kujijengea nyumba za gharama nafuu katika Halmashauri zote za Mikoa ya Katavi, Mbeya na kukamilika Mkoani Iringa.
Kwa ujumla,...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi03 Jul
NHC yanyang’anya mashine za kufyatulia matofari baada ya Halmashauri za Mikoa kushindwa kutumia fursa hiyo
Kwa ujumla, vijana wana ari ya kutosha ingawa wana changamoto zinazohitaji msukumo wa Halmashauri zao, hasa za masoko ya matofali yao pamoja na mtaji wa kuwawezesha kuendelea na uzalishaji wa benki ya matofali ya kuuzia wananchi.
Katika ziara ya NHC Wakurugenzi Watendaji wa...
10 years ago
Mwananchi02 Sep
NHC yagawa mashine za kufyatulia matofali
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
NHC yatoa mashine za matofali Kagera
SHIRIKA la Nyumba la Taifa (NHC), limetoa mashine 28 za kufyatulia tofali zenye thamani ya sh milioni 12.6 lengo ikiwa ni kuwasaidia vijana kujiajiri na kuondokana na umasikini. Akizungumza katika...
10 years ago
Michuzi05 Sep
MKUU WA WILAYA YA TEMEKE AKABIDHI MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFALI ZILIZOTOLEWA NA (NHC)KWA VIKUNDI VYA VIJANA
![3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/38.jpg)
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/46.jpg)
![8](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/82.jpg)
10 years ago
Michuzi06 Feb
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AKABIDHI MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFALI ZILIZOTOLEWA NA (NHC) KWA VIKUNDI VYA VIJANA
10 years ago
GPLMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM AKABIDHI MASHINE ZA KUFYATULIA MATOFALI ZILIZOTOLEWA NA (NHC) KWA VIKUNDI VYA VIJANA
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
NHC yatoa msaada wa mashine za matofali, Sh. 500,000 kwa vijana walioacha kutumia dawa za kulevya Kigogo, Dar
Vijana waliopata ushauri nasaha wa kuacha kutumia dawa za kulevya, wakishangilia baada ya Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Muungano Saguye (aliyevaa koti) kuwakabidhi msaada wa mashine tatu za kufyatulia matofali pamoja na mtaji wa sh. 500,000 katika hafla iliyofanyika kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, Dar es Salaam jana. Katikati mstari wa mbele ni Mchungaji wa kanisa hilo, Jackson Haranja ambaye pia ni mlezi wa...
10 years ago
GPLNHC YATOA MSAADA WA MASHINE ZA MATOFALI, SH. 500,000 KWA VIJANA WALIOACHA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA KIGOGO, DAR
10 years ago
Habarileo10 Oct
Vijana wasaidiwa kufyatua matofali
VIKUNDI vya vijana mkoani Shinyanga vimepatiwa mashine za kufyatua matofali za kisasa huku wakionywa kutogeuzwa kuwa vijiwe vya siasa na magenge ya kufanya uhalifu.