Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Neema kwa wakulima wa mpunga yanukia

Rais Jakaya Kikwete ameahidi kuwatafutia soko la uhakika wakulima wa mpunga, hatua ambayo itaambatana na kuanzishwa kwa hifadhi ya zao hilo katika Ghala la Taifa la Chakula, kama ilivyo kwa mahindi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Serikali yarudisha neema kwa wakulima Bumbuli

>Mgogoro kati ya wakulima wa chai Bumbuli na mwekezaji wa Kiwanda cha Chai Mponde, umefikia tamati baada ya Serikali kuridhia kutoa fedha kwa ajili ya kufufua kiwanda hicho ambacho kilikuwa kimefungwa kwa muda wa miaka miwili baada ya wakulima kugomea kuuza majani mabichi ya chai katika kiwanda hicho.

 

11 years ago

Mwananchi

Neema kwa wakulima wa korosha nchini yakaribia

Kilimo cha korosho nchini kinatarajiwa kuchukua sura mpya baada ya kutokana na kuwepo kwa mpango wa kujengwa kwa viwanda vitatu vya kubangua korosho vitakavyoongeza thamani ya zao hilo.

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASA AAHIDI NEEMA KWA WAKULIMA WA ZAO LA KAHAWA KILIMANJARO

Kada mkongwe wa Chama cha Mapinduzi,aliyejiengua hivi karibuni ,Kingunge Ngombalemwiru akisalimia wakati wa mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea Urais kupitia Chadema na Vyama vinavyounda Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA uliofanyika katika viwanja vya mashujaa mjini Moshi.Picha zote na Dixon Busagaga wa Busagaga's Orijino Blog.Kada mkongwe wa Chama cha Mapinduzi,aliyejiengua hivi karibuni ,Kingunge Ngombalemwiru akimkaribisha mgombea Urais kupitia Chadema na Vyama vinavyounda Umoja wa...

 

5 years ago

Michuzi

NMB yafungua tawi la 225 ikiahidi neema kwa wakulima, wafugaji

Benki ya NMB imezindua tawi jipya Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu na kufikisha matawi 225 nchi nzima huku ikitangaza neema ya huduma bora na mikopo nafuu kwa wananchi wakiwemo wakulima, wafugaji na wavuvi kusaidia shughuli za kiuchumi.
Akitoa taarifa ya utendaji wa benki hiyo kwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa hafla ya ufunguzi wa tawi hilo mwishoni mwa wiki, Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa NMB, Ruth Zaipuna alisema ufunguzi wa tawi hilo pamoja na mengine maeneo ya vijijini ni...

 

5 years ago

CCM Blog

NMB YAFUNGUA TAWI LA 225 IKIAHIDI NEEMA KWA WAKULIMA NA WAFUGAJI

Benki ya NMB imezindua tawi jipya Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu na kufikisha matawi 225 nchi nzima huku ikitangaza neema ya huduma bora na mikopo nafuu kwa wananchi wakiwemo wakulima, wafugaji na wavuvi kusaidia shughuli za kiuchumi.
Akitoa taarifa ya utendaji wa benki hiyo kwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa hafla ya ufunguzi wa tawi hilo mwishoni mwa wiki, Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa NMB, Ruth Zaipuna alisema ufunguzi wa tawi hilo pamoja na mengine maeneo ya vijijini ni...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Baraza la Uwezeshaji lanufaisha wakulima mpunga

BARAZA la Uwezeshaji Taifa limewanufaisha wakulima wa Mpunga 400 wa Bonde la Madibira wilayani Mbarali mkoani Mbeya kwa kuwadhamini kupitia benki ya CRDB tawi la Iringa na Madibira Saccos kupata...

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA UWEZESHAJI LAWANUFAISHA WAKULIMA WA MPUNGA

 Anchali Seleman Mmoja wa wakulima wa mpunga katika bonde la Madibira akiandaa mbegu ya mpunga katika kitalu chake baada ya kuwezeshwa na udhamini wa Baraza la Uwezeshaji Taifa kupitia bank ya CRDB pamoja na Madibira Saccos.  Baadhi ya wakulima waliodhaminiwa na serikali kupitia baraza la uwezeshaji la Taifa wakiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi kutoka baraza hilo.Mmoja ya Mkulima aliyefanikiwa kupata udhamini wa baraza la uwezeshaji akielezea mafanikio yake baada ya udhamini...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Chiza awahakikishia soko wakulima wa mpunga

>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza amewahakikishia wakulima wa mpunga wa bonde la Mto Kilombero na wengine nchini kuwatafutia soko lenye tija ndani na nje ya nchi ili kila mkulima wa zao hilo anufaike na kushawishi wengine.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima wa mpunga Igunga kunufaika na mradi wa samaki

WAKULIMA wa zao la mpunga Kanda ya Kati, wanatarajia kunufaika na mfumo mpya wa serikali wa kuwaanzishia ujenzi wa Chuo cha Ufugaji Samaki kwa lengo la kuwaongezea kipato. Mkurugenzi Msaidizi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani