BARAZA LA UWEZESHAJI LAWANUFAISHA WAKULIMA WA MPUNGA

Anchali Seleman Mmoja wa wakulima wa mpunga katika bonde la Madibira akiandaa mbegu ya mpunga katika kitalu chake baada ya kuwezeshwa na udhamini wa Baraza la Uwezeshaji Taifa kupitia bank ya CRDB pamoja na Madibira Saccos.
Baadhi ya wakulima waliodhaminiwa na serikali kupitia baraza la uwezeshaji la Taifa wakiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi kutoka baraza hilo.
Mmoja ya Mkulima aliyefanikiwa kupata udhamini wa baraza la uwezeshaji akielezea mafanikio yake baada ya udhamini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Baraza la Uwezeshaji lanufaisha wakulima mpunga
BARAZA la Uwezeshaji Taifa limewanufaisha wakulima wa Mpunga 400 wa Bonde la Madibira wilayani Mbarali mkoani Mbeya kwa kuwadhamini kupitia benki ya CRDB tawi la Iringa na Madibira Saccos kupata...
11 years ago
Mwananchi22 Aug
Neema kwa wakulima wa mpunga yanukia
10 years ago
StarTV26 Jan
Japana yaboresha uchumi wa wakulima wa Mpunga Mbeya
Na Amina Saidi,
Mbeya.
Licha ya Mkoa wa Mbeya kuwa miongoni mwa mikoa inayotekeleza mkakati wa taifa wa kuendeleza zao la Mpunga National Rice Development Strategy tangu mwaka 2010 wakulima wake hawajafikia malengo ya uzalishaji kutokana na sababu mbalimbali.
Kwa sasa mkoa huo unazalisha wastani wa tani laki tatu na elfu nane mia tatu themanini na tatu (308,383) katika eneo la hekta elfu 52 ambalo ni asilimia 57.7 ya eneo lote linalokusudiwa kwa kilimo hicho.
payday loan in arlington...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Wakulima wa mpunga Igunga kunufaika na mradi wa samaki
WAKULIMA wa zao la mpunga Kanda ya Kati, wanatarajia kunufaika na mfumo mpya wa serikali wa kuwaanzishia ujenzi wa Chuo cha Ufugaji Samaki kwa lengo la kuwaongezea kipato. Mkurugenzi Msaidizi...
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Waziri Chiza awahakikishia soko wakulima wa mpunga
10 years ago
Michuzi
Baraza la Uwezeshaji lawashawishi wananchi kujiunga na VICOBA
10 years ago
Michuzi
Baraza la Uwezeshaji lahimiza bidii, maarifa katika kazi
10 years ago
Michuzi
Baraza la Uwezeshaji lakubaliana na mpango wa ujasiriamali wa chuo cha Cambridge


11 years ago
Vijimambo
BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI LACHOCHEA UBORA WA UTENGENEZAJI SAMANI NCHINI

KAMPUNI ya Furniture Centre (FCDL), na Shirikisho la Watengenezaji Samani Nchini (TAWOFE), wamesaini makubaliano (MoU) kuongeza ubora wa bidhaa za samani zinazotengenezwa nchini na kuzifanya zipate soko ndani na nje ya nchi.Makubaliano haya yamekamilika ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ikiwa ni mwendelezo wa Tathimini iliyofanywa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kwa mkoa wa Dar es Salaam na mikoa ya jirani, katika kuiwezesha...