Baraza la Uwezeshaji lawashawishi wananchi kujiunga na VICOBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ovaHTG9f8As/VdDyKE27OYI/AAAAAAAHxo8/21ENtmZ50BU/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
Wajasiriamali nchini wamehamasishwa kujiunga na vikundi vya VICOBA nchini ili waweze kujipatia maendeleo kwa haraka. Inasemekana kwamba kujiunga na vikundi hivyo, kutasaidia wananchi kujipatia faida mbalimbali kama kujifunza utamaduni wa kuweka akiba kwa maendeleo yao na taifa kwa ujumla. Wito huo umetolewa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi. Beng’i Issa wakati wa uzinduzi wa kadi maalum ya Benki ya Posta (ATM card) kwa ajili ya vikundi vya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bPVO-wKCjWk/VFNmtBqwZDI/AAAAAAADL8U/hL-6Lq0pvM4/s72-c/Uwezeshaji.jpg)
BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI LACHOCHEA UBORA WA UTENGENEZAJI SAMANI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-bPVO-wKCjWk/VFNmtBqwZDI/AAAAAAADL8U/hL-6Lq0pvM4/s1600/Uwezeshaji.jpg)
KAMPUNI ya Furniture Centre (FCDL), na Shirikisho la Watengenezaji Samani Nchini (TAWOFE), wamesaini makubaliano (MoU) kuongeza ubora wa bidhaa za samani zinazotengenezwa nchini na kuzifanya zipate soko ndani na nje ya nchi.Makubaliano haya yamekamilika ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ikiwa ni mwendelezo wa Tathimini iliyofanywa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kwa mkoa wa Dar es Salaam na mikoa ya jirani, katika kuiwezesha...
11 years ago
Mwananchi25 Feb
Liwale washauriwa kujiunga na Vicoba
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Vicoba washauriwa kujiunga na Saccos
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qC9BCA-r3hY/UwZ3IxekINI/AAAAAAAFOe4/RnbTgjoOHxo/s72-c/IMG_3458.jpg)
Wakinamama wa Kata ya Kigamboni wapewa somo juu ya umuhimu wa kujiunga na Vicoba
![](http://1.bp.blogspot.com/-qC9BCA-r3hY/UwZ3IxekINI/AAAAAAAFOe4/RnbTgjoOHxo/s1600/IMG_3458.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9JeGVL5TIFA/UwZ3X_yIrOI/AAAAAAAFOfI/NcbACIEMAQQ/s1600/IMG_3464.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Baraza la Uwezeshaji lanufaisha wakulima mpunga
BARAZA la Uwezeshaji Taifa limewanufaisha wakulima wa Mpunga 400 wa Bonde la Madibira wilayani Mbarali mkoani Mbeya kwa kuwadhamini kupitia benki ya CRDB tawi la Iringa na Madibira Saccos kupata...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_79dCw_lyz4/VImwQl6fgvI/AAAAAAACwVw/oW2IdxBtUSQ/s72-c/IMG_20141205_173739.jpg)
BARAZA LA UWEZESHAJI LAWANUFAISHA WAKULIMA WA MPUNGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-_79dCw_lyz4/VImwQl6fgvI/AAAAAAACwVw/oW2IdxBtUSQ/s1600/IMG_20141205_173739.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ULtsbRBl4t0/VImwTW5igRI/AAAAAAACwWI/EANNGf2Ka-U/s1600/IMG_20141205_181900.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iZR9m-OxCC8/VImwT6XtVcI/AAAAAAACwWM/JfYQVPoNk0A/s1600/IMG_20141205_183305.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uHrwswneLB0/VYvlBT05SKI/AAAAAAAHj6A/Pru4u1SdFp0/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
Baraza la Uwezeshaji lahimiza bidii, maarifa katika kazi
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xpyaUUiTu4o/VZ5-sricDpI/AAAAAAAHoEg/cT_ObLtaIV8/s72-c/unnamed%2B%252870%2529.jpg)
Baraza la Uwezeshaji lakubaliana na mpango wa ujasiriamali wa chuo cha Cambridge
![](http://2.bp.blogspot.com/-xpyaUUiTu4o/VZ5-sricDpI/AAAAAAAHoEg/cT_ObLtaIV8/s640/unnamed%2B%252870%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-k3kTUFc6IS8/VZ5-s6bjsjI/AAAAAAAHoEc/CQiSPHSX4DE/s640/unnamed%2B%252871%2529.jpg)
10 years ago
VijimamboTIB KUTOA MIKOPO KWA VIJANA; ZOEZI KURATIBIWA NA BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI (NEEC)
Katika makubaliano hayo TIB itatoa mikopo hiyo ambapo kwa kuanzia kiasi cha shilingi bilioni 1 kimetengwa kwa ajili ya mpango huo utakaoratibiwa na NEEC ambayo itakuwa na jukumu la kutoa mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana hao ikiwa ni pamoja na kusaidia namna ya...