BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI LACHOCHEA UBORA WA UTENGENEZAJI SAMANI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-bPVO-wKCjWk/VFNmtBqwZDI/AAAAAAADL8U/hL-6Lq0pvM4/s72-c/Uwezeshaji.jpg)
KAMPUNI ya Furniture Centre (FCDL), na Shirikisho la Watengenezaji Samani Nchini (TAWOFE), wamesaini makubaliano (MoU) kuongeza ubora wa bidhaa za samani zinazotengenezwa nchini na kuzifanya zipate soko ndani na nje ya nchi.Makubaliano haya yamekamilika ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ikiwa ni mwendelezo wa Tathimini iliyofanywa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kwa mkoa wa Dar es Salaam na mikoa ya jirani, katika kuiwezesha...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Baraza la Taifa la Uwezeshaji Kiuchumi (NEEC) lahitimisha mafunzo ya wiki nane ya Ujasiriamali kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi. Beng’i Issa akizungumza na wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini (hawapo pichani) wakati akifunga mafunzo ya wiki nane ya ujasiriamali kwa wanafunzi hao mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo yaliendeshwa chini ya mpango wa Cambridge Development Initiative (CDI) ili kuimarisha mafunzo ya maswala ya ujasiriamali kwa wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini. CDI ni mpango ulioasisiwa na wanafunzi wa Chuo...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ovaHTG9f8As/VdDyKE27OYI/AAAAAAAHxo8/21ENtmZ50BU/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
Baraza la Uwezeshaji lawashawishi wananchi kujiunga na VICOBA
10 years ago
VijimamboTIB KUTOA MIKOPO KWA VIJANA; ZOEZI KURATIBIWA NA BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI (NEEC)
Katika makubaliano hayo TIB itatoa mikopo hiyo ambapo kwa kuanzia kiasi cha shilingi bilioni 1 kimetengwa kwa ajili ya mpango huo utakaoratibiwa na NEEC ambayo itakuwa na jukumu la kutoa mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana hao ikiwa ni pamoja na kusaidia namna ya...
10 years ago
Tanzania Daima30 Oct
FCDL, Tawofe kuongeza ubora wa samani
KAMPUNI ya Furniture Centre (FCDL), na Tanzania Woodworking Federation (Tawofe), wamesaini makubaliano (MoU) kuongeza ubora wa bidhaa za samani zinazotengenezwa nchini na kuzifanya zipate soko ndani na nje ya nchi....
10 years ago
VijimamboJESHI LA MAGEREZA LAIBUKA MSHINDI WA KWANZA KATIKA UTENGENEZAJI WA SAMANI MAONESHO YA 39 YA BIASHARA KIMATAIFA, "SABASABA", MWAKA 2015
Na; Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza
Jeshi la Magereza limeibuka Mshindi wa kwanza kwa upande wa Utengenezaji bidhaa za Samani kwenye Maonesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea Jijini, Dar es Salaam Maarufu "SABASABA" kwa Mwaka huu 2015.
Akizungumzia ushindi huo Kamishna...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VVBi9iKpbLk/U7RTRNfR7II/AAAAAAAFucM/49WPOh27U8o/s72-c/unnamed.jpg)
JESHI LA MAGEREZA LAIBUKA MSHINDI WA KWANZA KATIKA UTENGENEZAJI BORA WA SAMANI ZA NDANI MAONESHO YA 38 YA BIASHARA YA KIMATAIFA, JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://4.bp.blogspot.com/-VVBi9iKpbLk/U7RTRNfR7II/AAAAAAAFucM/49WPOh27U8o/s1600/unnamed.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-l1ZxiV7v-3k/U7RTe_keIlI/AAAAAAAFucU/6zhDREvHAjc/s1600/unnamed+(5).jpg)
9 years ago
Vijimambo15 Oct
Amani na uwezeshaji kiuchumi vitainua wanawake: Pindi Chana
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Xx_QZPcexeSz-lYL3STUb5v3jXymjKx0RanzvChTIZB0Z0OS1KR0Hd-FkfgM5QU8E7Z3JO8f4BgurcXDVLVLcX_bvOERcKOCF6Hmq4-AUN5rGTm8W7M3VJUPqEVRMMZE7d8aqZBK=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2015/10/Chana.jpg)
Naibu waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto wa Tanzania Pindi Chana katika mahojiano na Joseph Msami.(Picha:Idhaa ya Kiswahili/video capture)Ulinzi kwa wanawake na uwezeshaji kuchumi ni muhimu katika ustawi wa wanawake amesema Naibu waziri wa maendeleo ya jamii, jinsia na watoto wa Tanzania Pindi Chana katika mahojiano na Joseph Msami wa idhaa ya Kiswahili ya redio ya Umoja wa Mataifa muda mfupi baada ya kuhutubia kikao cha baraza la usalama kilichojadili azimio namba 1325 kuhusu...
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Baraza la Uwezeshaji lanufaisha wakulima mpunga
BARAZA la Uwezeshaji Taifa limewanufaisha wakulima wa Mpunga 400 wa Bonde la Madibira wilayani Mbarali mkoani Mbeya kwa kuwadhamini kupitia benki ya CRDB tawi la Iringa na Madibira Saccos kupata...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_79dCw_lyz4/VImwQl6fgvI/AAAAAAACwVw/oW2IdxBtUSQ/s72-c/IMG_20141205_173739.jpg)
BARAZA LA UWEZESHAJI LAWANUFAISHA WAKULIMA WA MPUNGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-_79dCw_lyz4/VImwQl6fgvI/AAAAAAACwVw/oW2IdxBtUSQ/s1600/IMG_20141205_173739.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ULtsbRBl4t0/VImwTW5igRI/AAAAAAACwWI/EANNGf2Ka-U/s1600/IMG_20141205_181900.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iZR9m-OxCC8/VImwT6XtVcI/AAAAAAACwWM/JfYQVPoNk0A/s1600/IMG_20141205_183305.jpg)