FCDL, Tawofe kuongeza ubora wa samani
KAMPUNI ya Furniture Centre (FCDL), na Tanzania Woodworking Federation (Tawofe), wamesaini makubaliano (MoU) kuongeza ubora wa bidhaa za samani zinazotengenezwa nchini na kuzifanya zipate soko ndani na nje ya nchi....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bPVO-wKCjWk/VFNmtBqwZDI/AAAAAAADL8U/hL-6Lq0pvM4/s72-c/Uwezeshaji.jpg)
BARAZA LA TAIFA LA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI LACHOCHEA UBORA WA UTENGENEZAJI SAMANI NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-bPVO-wKCjWk/VFNmtBqwZDI/AAAAAAADL8U/hL-6Lq0pvM4/s1600/Uwezeshaji.jpg)
KAMPUNI ya Furniture Centre (FCDL), na Shirikisho la Watengenezaji Samani Nchini (TAWOFE), wamesaini makubaliano (MoU) kuongeza ubora wa bidhaa za samani zinazotengenezwa nchini na kuzifanya zipate soko ndani na nje ya nchi.Makubaliano haya yamekamilika ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi ikiwa ni mwendelezo wa Tathimini iliyofanywa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kwa mkoa wa Dar es Salaam na mikoa ya jirani, katika kuiwezesha...
9 years ago
StarTV16 Dec
  TFDA kuongeza nguvu katika kudhibiti ubora wa Vifaa Vya Kupima Damu
Mamlaka ya Udhibiti wa Chakula na Dawa TFDA imesema itaongeza nguvu katika kudhibiti ubora wa vifaa vinavyotumika kupima damu au kitu chochote katika mwili wa binadamu.
Vitendanishi hivyo ni pamoja na mate, mkojo na haja kubwa ili kutambua tatizo lililoko mwilini na kuondoa utata wa majibu unaotokana na baadhi ya vitendanishi kutokukidhi ubora, usalama na utendaji kazi unaotakiwa.
Meneja wa usajili wa vifaa tiba kutoka TFDA Bi Agnes Kijo ameyasema hayo wakati akizungumza katika mkutano...
9 years ago
StarTV03 Dec
Wafanyabiashara wadogo Afrika Mashariki watakiwa kuongeza uzalishaji zenye bidhaa zenye ubora
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amewataka wafanyabiashara wadogo wadogo wa Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuzalisha bidhaa zenye ubora ili kukidhi soko la kimataifa la bidhaa hizo.
Rais Magufuli amesema endapo bidhaa zenye ubora zitazalishwa ndani ya Nchi hizo ,malalamiko ya mara kwa mara ya wafanyabiashara hao kuhusu masoko yatafikia ukomo kutokana na kuwa na wateja wengi kutoka nchi mbalimbali Duniani.
Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Said Meck...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gQi1n-Vhcpo/VFI1yu-FmVI/AAAAAAAGuMQ/2NaQxJZCiaI/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
MHE.NAGU ASHUHUDIUA UWEKAJI WA SAINI MAKUBALIANO YA FURNITURE CENTER NA TAWOFE
![](http://2.bp.blogspot.com/-gQi1n-Vhcpo/VFI1yu-FmVI/AAAAAAAGuMQ/2NaQxJZCiaI/s1600/unnamed%2B(36).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aZk8_S--Gys/VFI1y1dRp8I/AAAAAAAGuMU/XCxp29PWhRk/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Samani za JKT, Veta zakubalika
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Serikali yashauriwa kutumia samani za wazawa
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Airtel yasaidia samani Polisi Oysterbay
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imeendelea kuunga mkono serikali kupitia Jeshi la Polisi Usalama Barabarani kwa kuwapatia vifaa vya ofisi kwa ajili ya Kituo cha Usalama Barabarani...
9 years ago
StarTV29 Sep
Makanisa matatu yavunjwa na kuchomwa samani zake.
Mfululizo wa uhalifu dhidi ya makanisa mbalimbali bado unaendelea katika Mkoa wa Kagera ambapo makanisa matatu yamevunjwa na samani zake kuchomwa moto ndani ya siku moja likiwa ni tukio la pili kutokea katika kipindi cha wiki mbili sasa.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Augustino Ollomi amethibitisha kutokea kwa matukio hayo na kwamba jeshi la Polisi bado linaendelea na upelelezi kuhakikisha linawatia mbaroni wale wote wanaohusika na vitendo...