Baraza la Uwezeshaji lakubaliana na mpango wa ujasiriamali wa chuo cha Cambridge
![](http://2.bp.blogspot.com/-xpyaUUiTu4o/VZ5-sricDpI/AAAAAAAHoEg/cT_ObLtaIV8/s72-c/unnamed%2B%252870%2529.jpg)
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi. Beng’i Issa (kulia) pamoja na Rais wa Cambridge Development Initiative (CDI), Bw. Ravi Solanki wakitia saini makubaliano ya kuimarisha elimu ya ujasiriamali kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini jana jijini Dar es Salaam. Wanaoshuhudia ni Afisa Mwandamizi wa uwekezaji, NEEC, Bw. Oswald Karadisi (kulia) na Mkurugenzi Ujasiriamali wa CDI, Bi. Georgia Ware.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
Baraza la Taifa la Uwezeshaji Kiuchumi (NEEC) lahitimisha mafunzo ya wiki nane ya Ujasiriamali kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini
Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi. Beng’i Issa akizungumza na wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini (hawapo pichani) wakati akifunga mafunzo ya wiki nane ya ujasiriamali kwa wanafunzi hao mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Mafunzo hayo yaliendeshwa chini ya mpango wa Cambridge Development Initiative (CDI) ili kuimarisha mafunzo ya maswala ya ujasiriamali kwa wanafunzi wa vyuo vikuu hapa nchini. CDI ni mpango ulioasisiwa na wanafunzi wa Chuo...
5 years ago
MichuziUTUMISHI YAFANYA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI KUJADILI TAARIFA YA MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA BAJETI WA MWAKA 2019/20 NA MPANGO WA BAJETI KWA MWAKA 2020/21
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt. Laurean Ndumbaro (katikati) akiongoza kikao cha Baraza la Wafanyakazi kujadili taarifa ya Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango wa Bajeti wa Mwaka 2019/20 na Mpango wa Bajeti kwa Mwaka 2020/21 kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Kituo cha Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa jijini Dodoma.
Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakimsikiliza Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais,...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-byq5Z2PDzhw/VgPy9UZRjfI/AAAAAAAC_i4/QG8vJY7Esh0/s72-c/DSC_9858.jpg)
BARAZA LA EID EL HAJJ CHUO CHA AMALI MKOKOTONI
![](http://1.bp.blogspot.com/-byq5Z2PDzhw/VgPy9UZRjfI/AAAAAAAC_i4/QG8vJY7Esh0/s640/DSC_9858.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-e50rC4sF51w/VgPzV5bPt3I/AAAAAAAC_jg/kpIt1hfOloM/s640/DSC_9913.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_79dCw_lyz4/VImwQl6fgvI/AAAAAAACwVw/oW2IdxBtUSQ/s72-c/IMG_20141205_173739.jpg)
BARAZA LA UWEZESHAJI LAWANUFAISHA WAKULIMA WA MPUNGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-_79dCw_lyz4/VImwQl6fgvI/AAAAAAACwVw/oW2IdxBtUSQ/s1600/IMG_20141205_173739.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ULtsbRBl4t0/VImwTW5igRI/AAAAAAACwWI/EANNGf2Ka-U/s1600/IMG_20141205_181900.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iZR9m-OxCC8/VImwT6XtVcI/AAAAAAACwWM/JfYQVPoNk0A/s1600/IMG_20141205_183305.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Baraza la Uwezeshaji lanufaisha wakulima mpunga
BARAZA la Uwezeshaji Taifa limewanufaisha wakulima wa Mpunga 400 wa Bonde la Madibira wilayani Mbarali mkoani Mbeya kwa kuwadhamini kupitia benki ya CRDB tawi la Iringa na Madibira Saccos kupata...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcqn1OZaI42Q9bIzJJeh09OWCEyIQTXbrXLJgyHyh*60yuv-Tbme1FtllPVfh5jngTV0gmJ3QEs9cVmbN6-yvs9n/tanzania.jpg)
UTEUZI WA WAJUMBE WA BARAZA LA CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ovaHTG9f8As/VdDyKE27OYI/AAAAAAAHxo8/21ENtmZ50BU/s72-c/unnamed%2B%252815%2529.jpg)
Baraza la Uwezeshaji lawashawishi wananchi kujiunga na VICOBA
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-SuA9lKmNOsE/VMpdfDp0awI/AAAAAAAAaJc/I7UGAI_TsEQ/s72-c/images%5B1%5D.jpg)
PROF. MBWETTE RAIS MPYA WA BARAZA LA CHUO KIKUU CHA PAN AFRICAN
![](http://3.bp.blogspot.com/-SuA9lKmNOsE/VMpdfDp0awI/AAAAAAAAaJc/I7UGAI_TsEQ/s1600/images%5B1%5D.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uHrwswneLB0/VYvlBT05SKI/AAAAAAAHj6A/Pru4u1SdFp0/s72-c/unnamed%2B%25287%2529.jpg)
Baraza la Uwezeshaji lahimiza bidii, maarifa katika kazi