PROF. MBWETTE RAIS MPYA WA BARAZA LA CHUO KIKUU CHA PAN AFRICAN
![](http://3.bp.blogspot.com/-SuA9lKmNOsE/VMpdfDp0awI/AAAAAAAAaJc/I7UGAI_TsEQ/s72-c/images%5B1%5D.jpg)
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Prof. Tolly Mbwette amechaguliwa kuwa Rais wa Baraza la Chuo Kikuu cha Afrika (Pan African University) katika uchaguzi uliofanyika jijini Addis Ababa siku ya Jumatano tarehe 28 Januari 2015. Prof. Mbwette ambaye atahudumu nafasi hiyo kwa kipindi cha miaka mitatu ijayo, aliwashinda wagombea wengine wanne katika kinyang’anyiro hicho. Aidha, Bw. Ekwabi Mujungu amechagulikuwa kuwa Mjumbe wa Bodi ya Umoja wa Afrika inayoshughulika na mapambano...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Jan
Profesa Mbwette Rais Chuo Kikuu cha Afrika
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Profesa Tolly Mbwette amechaguliwa kuwa Rais wa Baraza la Chuo Kikuu cha Afrika (Pan African University).
10 years ago
Michuzi17 Aug
JAJI BWANA NDIYE MWENYEKITI MPYA BARAZA LA CHUO KIKUU HA BAGAMOYO (UB)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-RQyKwQabheA%2FU_CNF1yyxNI%2FAAAAAAABFiQ%2F61_VdeDCDOU%2Fs1600%2Fimage.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Na Mwandishi Wetu
BODI ya Wadhamini ya Chuo Kikuu Cha Bagamoyo (UB), imemteua Jaji wa Mahakama ya Rufaa nchini, Dk.Stephen Bwana Kuwa Mwenyekiti mpya wa Baraza la chuo hicho.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Bagamoyo(UB), Mikocheni Dar Es Salaam, Dk.William Kudoja alisema Bodi ya Wadhamini ya chuo hicho ambayo Inaongozwa na Professa Paramaganda Kabudi Ndiyo ilimteua Jaji Bwana kushika wadhifa huo mpya baada ya kuona Ana sifa za vigezo Vya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6vIMLmuhUcqn1OZaI42Q9bIzJJeh09OWCEyIQTXbrXLJgyHyh*60yuv-Tbme1FtllPVfh5jngTV0gmJ3QEs9cVmbN6-yvs9n/tanzania.jpg)
UTEUZI WA WAJUMBE WA BARAZA LA CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/26rh2i2B5MblVFMJKkmKMcmSyeGBNryDrtHQQ9Rq7PZTO5pihwLl5g4CVlagW3qQa9ph5Kt*BkAvvIhEfVL-gnxqeIFSNnMy/IMG20140923WA0003.jpg)
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA USHIRIKA NA BIASHARA MOSHI (MUCCOBS) CHAWA CHUO KIKUU KAMILI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hzXg-B2HX1A/U_xC7qekGeI/AAAAAAAGCcM/MKMfNCv9PrE/s72-c/mg13.jpg)
RAIS KIKWETE ATEMBELEA CHUO KIKUU CHA MZUMBE, MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-hzXg-B2HX1A/U_xC7qekGeI/AAAAAAAGCcM/MKMfNCv9PrE/s1600/mg13.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LXNe70ICexs/U_xB0HD75aI/AAAAAAAGCbs/TsXC_VSlJfM/s1600/mg8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-007YSGZLLSc/U_xB0R8FhnI/AAAAAAAGCbw/DqLUP56i3dw/s1600/mg9.jpg)
10 years ago
Michuzi29 Sep
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u0Eb4l7A4EU8EI0SBbihfV5pxYSP4o55bjvOBkBqht05TYaWYxcmL10*seRx9XPTsQF48av4dLEgM5HE7U97XzSZb7WIFjCW/mg7.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE ATEMBELEA CHUO KIKUU CHA MZUMBE, MOROGORO
10 years ago
Vijimambo09 Feb
RAIS KIKWETE AKUTANA NA UONGOZI WA CHUO KIKUU CHA TUMAINI IKULU LEO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-U1vIy1Uy-H0%2FVNi35ZIfSFI%2FAAAAAAADX0s%2FZDUhc9mKz-M%2Fs1600%2Fkkkt2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-8Uj-Ti0i0ak%2FVNi38oIb2JI%2FAAAAAAADX08%2F_-Ba9duB0S0%2Fs1600%2Fkkkt3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
PICHA NA IKULU
10 years ago
Dewji Blog29 Jul
Rais Kikwete atunukiwa shahada ya heshima ya Chuo Kikuu cha Newcastle, Australia
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishukuru baada ya kutunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa Sheria (Doctor of Laws honorific causa) na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Newcastle Bwana Paul Jeans chuoni hapo nchini Australia leo tarehe 29.7.2015 katika ukumbi...