Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakinamama wa Kata ya Kigamboni wapewa somo juu ya umuhimu wa kujiunga na Vicoba

Diwani wa Kata ya Kigamboni,Dotto Msawa akizungumza na wananchi wa Kata yake, wakati akifunga warsha ya siku moja iliyokuwa ikitoa mafunzo kwa kina Mama wa Kata hiyo,juu ya uhuhimu wa kujiunga na vyama vya VICOBA,iliyokuwa ikitolewa na Walimu kutoka Kituo cha Poverty Fighting Tanzania (PFT) cha Temeke jijini Dar es Salaam. Wakinamama ambao ni wakazi wa Kata ya Kigamboni,wakimsikiliza kwa Makini Diwani wa Kata hiyo,Dotto Msawa (aliesimama) wakati alipokuwa akifunga warsha yao hiyo,ambapo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

RC MAHIZA AITAKA NHIF KUTOA ELIMU ZAIDI KWA WANANCHI JUU YA UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF)

NA MWANDISHI WETU,TANGA.
MKUU WA Mkoa wa Tanga,Mwantumu Mahiza ameutaka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) mkoani hapa kuendelea kutoa elimu juu ya umuhimu wa wananchi kujiunga na mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili kuweza kuongeza wigo mpana wa wanachama ambao wataweza kunufaika na huduma zao.
Alitoa wito huo jana wakati akipokea mashuka 150 yaliyotolewa na mfuko huo vyenye thamani ya shilingi milioni tatu yaliyotolewa na Mfuko huo kwa ajili ya vituo vitatu vya afya vya Mkinga, Maramba na...

 

11 years ago

Mwananchi

Liwale washauriwa kujiunga na Vicoba

Wajasiriamali Wilaya ya Liwale, mkoani Lindi wameaswa kujiunga na Vicoba na kujenga tabia ya kutunza akiba ili kufikia malengo waliojiwekea.

 

11 years ago

Mwananchi

Vicoba washauriwa kujiunga na Saccos

Wanachama wa Vicoba wameshauriwa kujiunga na Vyama vya Kuweka na Kukopa (Saccos) ili kuwawezesha kunufaika na fursa katika mifuko ya hifadhi ya jamii na hatimaye kupata mikopo kwa ajili ya kuendeleza vikundi vyao.

 

10 years ago

Michuzi

Baraza la Uwezeshaji lawashawishi wananchi kujiunga na VICOBA

Wajasiriamali nchini wamehamasishwa kujiunga na vikundi vya VICOBA nchini ili waweze kujipatia maendeleo kwa haraka. Inasemekana kwamba kujiunga na vikundi hivyo, kutasaidia wananchi kujipatia faida mbalimbali kama kujifunza utamaduni wa kuweka akiba kwa maendeleo yao na taifa kwa ujumla. Wito huo umetolewa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC), Bi. Beng’i Issa wakati wa uzinduzi wa kadi maalum ya Benki ya Posta (ATM card) kwa ajili ya vikundi vya...

 

10 years ago

Mwananchi

OUT wapewa somo la mapato

Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Dk Ibrahimu Msengi amewashauri viongozi wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Tawi la Mkoa wa Katavi kuwa wabunifu katika kutafuta vyanzo vya mapato badala ya kutegemea ada na ruzuku ya Serikali katika kujiendesha.

 

10 years ago

Habarileo

Wanasiasa walioshindwa wapewa somo

VIONGOZI wa vyama vya siasa ambao wanadhani hawakutendewa haki katika Uchaguzi Mkuu uliomalizika hivi karibuni, wametakiwa kutumia njia za busara, hekima na taratibu za kisheria za kidiplomasia katika kudai haki yao na sio kutaka kuvuruga amani na kusababisha damu kumwagika.

 

10 years ago

Habarileo

Viongozi wa siasa wapewa somo

ASKOFU Julius Bundala wa Kanisa la PHAM katika Kanda ya Kati ameshauri viongozi wa vyama vya siasa kuacha kuwashinikiza wananchi kiitikadi wakati wanapofikia muda wa kufanya uchaguzi wa viongozi wao.

 

9 years ago

Habarileo

Wahitimu ukocha wapewa somo

WAHITIMU wa mafunzo ya ualimu wa mpira wa miguu wametakiwa kutenga muda wa kufundisha vijana pasipo na kutegemea kupatiwa malipo.

 

10 years ago

Habarileo

Mitandao ya kijamii wapewa somo

Innocent MungyWATUMIAJI wa mitandao ya kijamii nchini wametakiwa kujiandaa kutumia sheria mpya ya mawasiliano iliyopitishwa bungeni hivi karibuni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani