Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima wa mpunga Igunga kunufaika na mradi wa samaki

WAKULIMA wa zao la mpunga Kanda ya Kati, wanatarajia kunufaika na mfumo mpya wa serikali wa kuwaanzishia ujenzi wa Chuo cha Ufugaji Samaki kwa lengo la kuwaongezea kipato. Mkurugenzi Msaidizi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA UWEZESHAJI LAWANUFAISHA WAKULIMA WA MPUNGA

 Anchali Seleman Mmoja wa wakulima wa mpunga katika bonde la Madibira akiandaa mbegu ya mpunga katika kitalu chake baada ya kuwezeshwa na udhamini wa Baraza la Uwezeshaji Taifa kupitia bank ya CRDB pamoja na Madibira Saccos.  Baadhi ya wakulima waliodhaminiwa na serikali kupitia baraza la uwezeshaji la Taifa wakiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi kutoka baraza hilo.Mmoja ya Mkulima aliyefanikiwa kupata udhamini wa baraza la uwezeshaji akielezea mafanikio yake baada ya udhamini...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Baraza la Uwezeshaji lanufaisha wakulima mpunga

BARAZA la Uwezeshaji Taifa limewanufaisha wakulima wa Mpunga 400 wa Bonde la Madibira wilayani Mbarali mkoani Mbeya kwa kuwadhamini kupitia benki ya CRDB tawi la Iringa na Madibira Saccos kupata...

 

10 years ago

Mwananchi

Neema kwa wakulima wa mpunga yanukia

Rais Jakaya Kikwete ameahidi kuwatafutia soko la uhakika wakulima wa mpunga, hatua ambayo itaambatana na kuanzishwa kwa hifadhi ya zao hilo katika Ghala la Taifa la Chakula, kama ilivyo kwa mahindi.

 

11 years ago

Habarileo

‘Wakulima Igunga msilipize kisasi’

SERIKALI wilayani Igunga Mkoani Tabora imewataka wakulima wilayani humo, kutolipiza kisasi cha mauaji kwa wafugaji waishio wilayani Kishapu mkoani Shinyanga ili vyombo vya dola vifanye kazi yake.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Chiza awahakikishia soko wakulima wa mpunga

>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza amewahakikishia wakulima wa mpunga wa bonde la Mto Kilombero na wengine nchini kuwatafutia soko lenye tija ndani na nje ya nchi ili kila mkulima wa zao hilo anufaike na kushawishi wengine.

 

10 years ago

StarTV

Japana yaboresha uchumi wa wakulima wa Mpunga Mbeya

Na Amina Saidi,

Mbeya.

 

Licha ya Mkoa wa Mbeya kuwa miongoni mwa mikoa inayotekeleza mkakati wa taifa wa kuendeleza zao la Mpunga National Rice Development Strategy tangu mwaka 2010 wakulima wake hawajafikia malengo ya uzalishaji kutokana na sababu mbalimbali.

Kwa sasa mkoa huo unazalisha wastani wa tani laki tatu na elfu nane mia tatu themanini na tatu (308,383) katika eneo la hekta elfu 52 ambalo ni asilimia 57.7 ya eneo lote linalokusudiwa kwa kilimo hicho.

payday loan in arlington...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima Igunga watakiwa kutolipiza kisasi

SERIKALI wilayani Igunga, Tabora imewataka wakulima kutolipiza kisasi cha mauaji kwa wafugaji waishio wilayani Kishapu, Shinyanga ili vyombo vya dola vifanye kazi yake. Kauli hiyo ilitolewa juzi na Mkuu wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi walilia mradi wa kilimo cha mpunga

Viongozi na wananchi wa Kata ya Kipugila wilayani Rufiji, Pwani wameitaka Serikali kuharakisha mpango wa kupeleka mradi wa kilimo cha mpunga katika vijiji vinne vya kata hiyo.

 

5 years ago

Michuzi

MAKATIBU WAKUU WARIDHISHWA NA MRADI WA GHALA LA MPUNGA KIJIJI CHA MVUMI

Makatibu Wakuu wa Wizara  nne leo wamefanya ukaguzi wa mradi wa ujenzi wa miundombinu ya Umwagiliaji mkoani Morogoro na kuridhishwa na kukamilika kwa ghala la kuhifadhia mpunga kijiji cha Mvumi Wilaya ya Kilosa.
Ziara hii imewakutanisha Makatibu wakuu wa Wizara za Kilimo Gerald Kusaya,Wizara ya Viwanda na Biashara Prof.Riziki Shemdoe,Naibu Katibu Mkuu OR -TAMISEMI Bw.Gerlad Mweli na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais ,Mazingira Balozi Joseph Sokoine
Akizungumza kwenye ukaguzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani