‘Wakulima Igunga msilipize kisasi’
SERIKALI wilayani Igunga Mkoani Tabora imewataka wakulima wilayani humo, kutolipiza kisasi cha mauaji kwa wafugaji waishio wilayani Kishapu mkoani Shinyanga ili vyombo vya dola vifanye kazi yake.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Wakulima Igunga watakiwa kutolipiza kisasi
SERIKALI wilayani Igunga, Tabora imewataka wakulima kutolipiza kisasi cha mauaji kwa wafugaji waishio wilayani Kishapu, Shinyanga ili vyombo vya dola vifanye kazi yake. Kauli hiyo ilitolewa juzi na Mkuu wa...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Wakulima wa mpunga Igunga kunufaika na mradi wa samaki
WAKULIMA wa zao la mpunga Kanda ya Kati, wanatarajia kunufaika na mfumo mpya wa serikali wa kuwaanzishia ujenzi wa Chuo cha Ufugaji Samaki kwa lengo la kuwaongezea kipato. Mkurugenzi Msaidizi...
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Jeshi la Polisi Igunga lashikiliwa Ng’ombe 320 waliovamia mashamba ya wakulima na watu saba watuhumiwa kuharibu mali na kujeruhi
Ng’ombe wa wafugaji wa kabila la Kitaturu waishio kijiji cha Isakamaliwa, Wilayani Igunga wakiwa katika kituo cha Polisi Igunga wakiwa chini ya ulinzi baada ya kuvamia mashamba ya wakulima wa kijiji hicho.
Baadhi ya wakulima wa kijiji cha Isakamaliwa ambao mashamba yao yalivamiwa na mifugo hiyo wakiwa kituo cha Polisi wakisubiri maelekezo ya askari mara baada ya kuwafikisha Ng’ombe waliovamia mashamba yao na kuwasababishia hasara.
Na Jumbe Ismailly,Igunga
JESHI la polisi wilayani...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q93gbVMHzZk/VoAwJrpwjsI/AAAAAAAIO8A/SO56oVSetb0/s72-c/1b149d1d-4f59-4ada-9092-3e2919959d41.jpg)
BENKI YA WAKULIMA YAMWAGA MIKOPO KWA WAKULIMA
9 years ago
GPLMAGUFULI ATIKISA IGUNGA
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
DC ahusishwa mapigano Igunga
MKUU wa Wilaya (DC) ya Kishapu, Wilson Mkambaku, amehusishwa kuwa nyuma ya mapigano yaliyozuka kati ya wakulima na wafugaji katika Kijiji cha Isakamaliwa, wilayani Igunga, Tabora na kusababisha watu watano...
11 years ago
Tanzania Daima28 Feb
DC awatahadharisha watendaji Igunga
MKUU wa Wilaya (DC) ya Igunga, mkoani Tabora, Elibariki Kingu, amewaeleza watendaji wa vitongoji, vijiji, kata na tarafa watakaojiona hawawezi kufikia malengo ya wilaya hiyo juu ya kuandikisha kaya zilizo...
10 years ago
Tanzania Daima03 Nov
Maji yawagawa madiwani Igunga
MRADI mkubwa wa maji safi na salama kutoka Ziwa Victoria, umeligawa Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora kutokana na bomba kupitia kwenye vijiji vyenye maji...
10 years ago
TheCitizen29 Jan
Igunga Council budget okayed