Waziri Chiza awahakikishia soko wakulima wa mpunga
>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza amewahakikishia wakulima wa mpunga wa bonde la Mto Kilombero na wengine nchini kuwatafutia soko lenye tija ndani na nje ya nchi ili kila mkulima wa zao hilo anufaike na kushawishi wengine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-5gkkJXbt_Ns/VBrFh2C9d4I/AAAAAAAGkOg/pdGH9nDkE6w/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
WAZIRI CHIZA ATEMBELEA SOKO LA MAHINDI NFRA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-5gkkJXbt_Ns/VBrFh2C9d4I/AAAAAAAGkOg/pdGH9nDkE6w/s1600/unnamed%2B(72).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-_8DjDJ8S8xE/VBrFhwt3ttI/AAAAAAAGkOk/WvmclUQgaCA/s1600/unnamed%2B(73).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rjfzYTdEsHw/VBrFjYlZZfI/AAAAAAAGkOw/3LmtvHtCysg/s1600/unnamed%2B(74).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima24 Dec
Wakulima wamchongea Chiza kwa JK
WAKULIMA wa Pamba mikoa ya Shinyanga na Simiyu wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kumwajibishwa Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza kutokana na kuruhusu matumizi ya mbegu zinazosambazwa na kampuni...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_79dCw_lyz4/VImwQl6fgvI/AAAAAAACwVw/oW2IdxBtUSQ/s72-c/IMG_20141205_173739.jpg)
BARAZA LA UWEZESHAJI LAWANUFAISHA WAKULIMA WA MPUNGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-_79dCw_lyz4/VImwQl6fgvI/AAAAAAACwVw/oW2IdxBtUSQ/s1600/IMG_20141205_173739.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ULtsbRBl4t0/VImwTW5igRI/AAAAAAACwWI/EANNGf2Ka-U/s1600/IMG_20141205_181900.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iZR9m-OxCC8/VImwT6XtVcI/AAAAAAACwWM/JfYQVPoNk0A/s1600/IMG_20141205_183305.jpg)
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Neema kwa wakulima wa mpunga yanukia
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Baraza la Uwezeshaji lanufaisha wakulima mpunga
BARAZA la Uwezeshaji Taifa limewanufaisha wakulima wa Mpunga 400 wa Bonde la Madibira wilayani Mbarali mkoani Mbeya kwa kuwadhamini kupitia benki ya CRDB tawi la Iringa na Madibira Saccos kupata...
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Chiza, wakulima Kagera wanahitaji juhudi zako
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akielekea kumaliza muda wake wa uongozi wananchi wamechachamaa kutokana na mambo kudorora katika serikali yake. Ikabidi chama tawala kiingilie kati na kufanya uchunguzi kuhusu hali hiyo,...
10 years ago
StarTV26 Jan
Japana yaboresha uchumi wa wakulima wa Mpunga Mbeya
Na Amina Saidi,
Mbeya.
Licha ya Mkoa wa Mbeya kuwa miongoni mwa mikoa inayotekeleza mkakati wa taifa wa kuendeleza zao la Mpunga National Rice Development Strategy tangu mwaka 2010 wakulima wake hawajafikia malengo ya uzalishaji kutokana na sababu mbalimbali.
Kwa sasa mkoa huo unazalisha wastani wa tani laki tatu na elfu nane mia tatu themanini na tatu (308,383) katika eneo la hekta elfu 52 ambalo ni asilimia 57.7 ya eneo lote linalokusudiwa kwa kilimo hicho.
payday loan in arlington...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Wakulima wa mpunga Igunga kunufaika na mradi wa samaki
WAKULIMA wa zao la mpunga Kanda ya Kati, wanatarajia kunufaika na mfumo mpya wa serikali wa kuwaanzishia ujenzi wa Chuo cha Ufugaji Samaki kwa lengo la kuwaongezea kipato. Mkurugenzi Msaidizi...
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Waziri wa afya awahakikishia fursa sawa wenye ulemavu