Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Chiza awahakikishia soko wakulima wa mpunga

>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza amewahakikishia wakulima wa mpunga wa bonde la Mto Kilombero na wengine nchini kuwatafutia soko lenye tija ndani na nje ya nchi ili kila mkulima wa zao hilo anufaike na kushawishi wengine.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

WAZIRI CHIZA ATEMBELEA SOKO LA MAHINDI NFRA DODOMA

Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika,Mhe. Eng Christopher Chiza (Mb) akijibu kero za wakulima na wafanyabiashara waliopeleka mahindi NFRA Dodoma kwa ajili ya kuyauza,Wakati alipowatembelea jana.
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika,Mhe. Eng Christopher Chiza akionyesha uchafu uliokuwa kwenye magunia ya mahindi yaliyopelekwa na wakulima na wafanyabiashara NFRA Dodoma kwa ajili ya kuyauza.
Mahindi yaliyonunuliwa na kituo cha NFRA Dodoma yakipangwa nje kitaalamu kwa ajili ya kuhifadhiwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima wamchongea Chiza kwa JK

WAKULIMA wa Pamba mikoa ya Shinyanga na Simiyu wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kumwajibishwa Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza kutokana na kuruhusu matumizi ya mbegu zinazosambazwa na kampuni...

 

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA UWEZESHAJI LAWANUFAISHA WAKULIMA WA MPUNGA

 Anchali Seleman Mmoja wa wakulima wa mpunga katika bonde la Madibira akiandaa mbegu ya mpunga katika kitalu chake baada ya kuwezeshwa na udhamini wa Baraza la Uwezeshaji Taifa kupitia bank ya CRDB pamoja na Madibira Saccos.  Baadhi ya wakulima waliodhaminiwa na serikali kupitia baraza la uwezeshaji la Taifa wakiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi kutoka baraza hilo.Mmoja ya Mkulima aliyefanikiwa kupata udhamini wa baraza la uwezeshaji akielezea mafanikio yake baada ya udhamini...

 

10 years ago

Mwananchi

Neema kwa wakulima wa mpunga yanukia

Rais Jakaya Kikwete ameahidi kuwatafutia soko la uhakika wakulima wa mpunga, hatua ambayo itaambatana na kuanzishwa kwa hifadhi ya zao hilo katika Ghala la Taifa la Chakula, kama ilivyo kwa mahindi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Baraza la Uwezeshaji lanufaisha wakulima mpunga

BARAZA la Uwezeshaji Taifa limewanufaisha wakulima wa Mpunga 400 wa Bonde la Madibira wilayani Mbarali mkoani Mbeya kwa kuwadhamini kupitia benki ya CRDB tawi la Iringa na Madibira Saccos kupata...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chiza, wakulima Kagera wanahitaji juhudi zako

WAKATI  Rais Jakaya Kikwete akielekea kumaliza muda wake wa uongozi wananchi wamechachamaa kutokana na mambo kudorora katika serikali yake. Ikabidi chama tawala kiingilie kati na kufanya uchunguzi kuhusu hali hiyo,...

 

10 years ago

StarTV

Japana yaboresha uchumi wa wakulima wa Mpunga Mbeya

Na Amina Saidi,

Mbeya.

 

Licha ya Mkoa wa Mbeya kuwa miongoni mwa mikoa inayotekeleza mkakati wa taifa wa kuendeleza zao la Mpunga National Rice Development Strategy tangu mwaka 2010 wakulima wake hawajafikia malengo ya uzalishaji kutokana na sababu mbalimbali.

Kwa sasa mkoa huo unazalisha wastani wa tani laki tatu na elfu nane mia tatu themanini na tatu (308,383) katika eneo la hekta elfu 52 ambalo ni asilimia 57.7 ya eneo lote linalokusudiwa kwa kilimo hicho.

payday loan in arlington...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima wa mpunga Igunga kunufaika na mradi wa samaki

WAKULIMA wa zao la mpunga Kanda ya Kati, wanatarajia kunufaika na mfumo mpya wa serikali wa kuwaanzishia ujenzi wa Chuo cha Ufugaji Samaki kwa lengo la kuwaongezea kipato. Mkurugenzi Msaidizi...

 

9 years ago

Mwananchi

Waziri wa afya awahakikishia fursa sawa wenye ulemavu

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif  Rashid  amesema serikali  imefanya jitihada mbalimbali kutunga sheria  zinazowalinda  jamii ya watu walio kwenye makundi maalumu lengo likiwa ni  kuhakikisha wanapata fursa  zilizopo nchini kama ilivyo kwa watu wengine.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani