Waziri wa afya awahakikishia fursa sawa wenye ulemavu
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid amesema serikali imefanya jitihada mbalimbali kutunga sheria zinazowalinda jamii ya watu walio kwenye makundi maalumu lengo likiwa ni kuhakikisha wanapata fursa zilizopo nchini kama ilivyo kwa watu wengine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU (WATU WENYE ULEMAVU) ATEMBELEA KITUO CHA NUNGE, KIGAMBONI
10 years ago
GPLWAZIRI PINDA KUONGOZA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU
5 years ago
Michuzi
Corona imeleta fursa ya kuboresha huduma za afya nchini’: Waziri Ummy




**********************************
Na.WAMJW, Dar es Salaam
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu amesema kuwapo kwa ugonjwa wa Corona nchini, imeleta fursa ya kuboresha huduma za afya katika vituo mbalimbali vya afya hapa nchini.
Michango mbalimbali iliyotolewa zikiwamo vifaa na vifaa tiba zimesaidia kwa kiasi kikubwa kuimarisha huduma za afya na kuokoa maisha kwa wagonjwa mahututi.
Waziri wa afya Ummy Mwalimu ameyasema hayo wakati akizindua upanuzi wa...
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Waziri Chiza awahakikishia soko wakulima wa mpunga
5 years ago
Michuzi
SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.
Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA AWAHAKIKISHIA WATANZANIA MAVUNO YA MAZAO YATAKUWA YA KUTOSHA
11 years ago
Michuzi.jpg)
BAN KI MOON AWACHAGIZA WANAWAKE KUENDELEA KUTETEA FURSA SAWA
.jpg)
10 years ago
Habarileo29 Jan
Wenye ulemavu wahimizwa kutojinyanyapaa
WANAFUNZI wenye ulemavu mbalimbali wanaosoma na kulelewa katika kituo cha shule ya msingi Mugeza Museto Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera wameshauriwa kutumia muda wao mwingi katika masomo ili kupata ufaulu mkubwa na kutojinyanyapaa kuwa wao ni tofauti na wengine.
11 years ago
Habarileo21 Apr
‘Tembeleeni wenye ulemavu Buhangija’
WAZAZI na walezi waliopeleka watoto wao katika kituo maalumu cha kulelea watoto wenye ulemavu Buhangija katika Manispaa ya Shinyanga, wameombwa kujenga desturi ya kuwatembelea watoto hao.