Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAZIRI HASUNGA AWAHAKIKISHIA WATANZANIA MAVUNO YA MAZAO YATAKUWA YA KUTOSHA

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga akikagua shughuli za maendeleo wakati akiwa katika ziara ya kikazi Mkoani Songwe tarehe 11 Aprili 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga akizungumza na Mkuu wa uendeshaji wa kampuni ya PCT Ndg John Power wakati akikagua eneo maalumu lililopemndekezwa na kampuni hiyo kwa ajili ya uzalishaji wa mbegu za Pareto wakati akiwa katika ziara ya kikazi Mkoani Songwe tarehe 11 Aprili 2020.Waziri wa Kilimo Mhe Japhet...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI HASUNGA ATANGAZA MAZAO YATAKAYOUZWA KWENYE MFUMO WA STAKABADHI GHALANI


Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza jambo wakati akitangaza msimamo wa serikali kuhusu Mazao yatakayouzwa kwa mfumo wa Stakabadhi Ghalani ofisini kwake Jijini Dodoma juzi tarehe 30 Mei 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)


Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
Serikali imetangaza rasmi mazao ya kuanzia yatakayouzwa kupitia mfumo maalumu wa uuzaji wa mazao wa Stakabadhi ghalani.
Mazao hayo ni pamoja na zao la Korosho ambalo limekuwa na mafanikio makubwa kupitia...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA ATANGAZA MAZAO YATAKAYOUZWA KWENYE MFUMO WA STAKABADHI GHALANI I


Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza jambo wakati akitangaza msimamo wa serikali kuhusu Mazao yatakayouzwa kwa mfumo wa Stakabadhi Ghalani ofisini kwake Jijini Dodoma juzi tarehe 30 Mei 2020. (Picha Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)



Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma

Serikali imetangaza rasmi mazao ya kuanzia yatakayouzwa kupitia mfumo maalumu wa uuzaji wa mazao wa Stakabadhi ghalani.

Mazao hayo ni pamoja na zao la Korosho ambalo limekuwa na mafanikio makubwa kupitia...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA AZINDUA MFUMO WA KUWAUNGANISHA WAKULIMA NA WANUNUZI WA MAZAO (MOBILE KILIMO)

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa mfumo wa kutoa huduma za masoko na huduma za ugani kwa njia ya mtandao (M-Kilimo) Jijini Dodoma, Leo tarehe 18  Mei 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Naibu Waziri wa Kilimo Hussein Bashe (Mb) akionyesha kipeperushi wakati wa uzinduzi wa mfumo wa kutoa huduma za masoko na huduma za ugani kwa njia ya mtandao (M-Kilimo) Jijini Dodoma, Leo tarehe 18  Mei 2020. Wengine Pichani ni Waziri wa Kilimo Mhe...

 

5 years ago

Michuzi

BASHUNGWA AWAHAKIKISHIA WATANZANIA KUENDELEA KUNUFAIKA KUSHUKA KWA BEI YA MAFUTA"


Na Eliud Rwechungura – Wizara ya Viwanda na Biashara.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa amezielekeza FCC, EWURA, WMA kufanya ukaguzi na kuwachukulia hatua wafanyabiashara na waagizaji wa mafuta wanaoficha bidhaa hiyo kwa lengo la kuyauza kwa bei ya juu yatakapoadimika au kupanda bei.
Waziri Bashungwa aliyasema Juni 17, 2020 jijini Dar es salaam katika kikao kazi na Watendaji wa Mamlaka za Tume ya Ushindani (FCC), Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Wakala...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Chiza awahakikishia soko wakulima wa mpunga

>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza amewahakikishia wakulima wa mpunga wa bonde la Mto Kilombero na wengine nchini kuwatafutia soko lenye tija ndani na nje ya nchi ili kila mkulima wa zao hilo anufaike na kushawishi wengine.

 

9 years ago

Mwananchi

Waziri wa afya awahakikishia fursa sawa wenye ulemavu

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif  Rashid  amesema serikali  imefanya jitihada mbalimbali kutunga sheria  zinazowalinda  jamii ya watu walio kwenye makundi maalumu lengo likiwa ni  kuhakikisha wanapata fursa  zilizopo nchini kama ilivyo kwa watu wengine.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA KILIMO MHE JAPHET HASUNGA AMTEMBELEA WAZIRI MKUU MSAAFU MHE MIZENGO PINDA, NYUMBANI KWAKE JIJINI DODOMA

Waziri Mkuu Mstaafu ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa Mhe Mizengo Peter Pinda akimtembeza Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) kujionea mashamba ya zabibu alipozuru katika eneo la Zuzu leo tarehe 7 Aprili 2020 Jijini Dodoma. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Waziri Mkuu Mstaafu ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa Mhe Mizengo Peter Pinda akisisitiza jambo wakati akizungumza na Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb)...

 

5 years ago

Michuzi

WIZARA IHAKIKISHE KILIMO KINASIMAMIWA KIKAMILIFU-WAZIRI HASUNGA



Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga akiongea na Menejimenti ya Wizara kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kilimo IV Wizarani hapo.Waziri wa Kilimo Mhe. Japhet Hasunga (katikati) akiwa pamoja na Manaibu Waziri wa Wizara hiyo. Kushoto ni Naibu Waziri Mhe. Hussein Bashe na Kulia ni Naibu Waziri Mhe.Omary Mgumba wakiwa katika kikao cha menejimenti ya...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI HASUNGA ATANGAZA KUSHUKA KWA BEI YA MBOLEA YA KUKUZIA (UREA)

Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari kutoa taarifa ya hali ya upatikanaji wa mbolea nchini, hafla iliyofanyika Jijini Dar es slaam leo tarehe 19 Februari 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Sehemu ya waandishi wa habari wakifatilia mkutano wa Waziri wa Kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) kutoa taarifa ya hali ya upatikanaji wa mbolea nchini, hafla iliyofanyika Jijini Dar es slaam leo tarehe 19 Februari 2020.Waziri wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani