WAZIRI PINDA KUONGOZA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU
Mmoja wa wataribu wa kongam, ano hilo kutoka FPTC, Lucas Mhenga akiwa na wadau. Baadhi ya waandaaji wa kongamano hilo wakiwa kwenye kikao kilichofanyika ndani ya ukumbi uliopo Luther House, Posta jijini Dar cha…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKATIBU FPCT AZUNGUMZIA KONGAMANO LA KIMATAIFA LA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU
10 years ago
GPLKONGAMANO LA KIMATAIFA LA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU KUTOKA NCHI TATU, TANZANIA, RWANDA NA SWEDEN
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-K_CHj5FHHM4/U2_PK1eDYVI/AAAAAAAFg-A/ViJvPgx2MBs/s72-c/unnamed+(5).jpg)
MAMA TUNU PINDA AOMBA WATU NA MASHIRIKA MBALIMBALI KUSAIDIA KUCHANGIA KATIKA KUENDELEZA ELIMU KWA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALIBINO)
![](http://1.bp.blogspot.com/-K_CHj5FHHM4/U2_PK1eDYVI/AAAAAAAFg-A/ViJvPgx2MBs/s1600/unnamed+(5).jpg)
10 years ago
Habarileo04 Dec
Pinda aahidi kuwaondolea vikwazo wenye ulemavu
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ameahidi kuwaondolea walemavu vikwazo vinavyowakabili katika suala zima la teknolojia, waweze kushiriki ipasavyo kwenye masuala mbalimbali ya maendeleo ya uchumi na kijamii.
10 years ago
Mtanzania04 May
Barnaba: Tusiwatenge watoto wenye ulemavu
NA RUTH MNKENI
WIMBO wa ‘Tuwapende’ wa msanii wa Bongo Fleva, Barnaba umetumika katika kampeni ya kuhamasisha jamii isiwatenge watoto wenye ulemavu wa akili.
Barnaba alionyesha kwa vitendo kuhamasisha jamii hiyo kupitia wimbo wake huo huku akicheza na baadhi ya watoto hao waliokuwa wamekusanyika katika matembezi hayo mwishoni mwa wiki.
“Mimi kwa kweli niliguswa ndiyo maana nikatoka na wimbo huo kwa kuwa naamini hakuna mtu anayependa kupata mtoto mwenye ulemavu wowote na ikitokea hivyo huwa...
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Watoto wenye ulemavu wamkuna Natasha
NA GEORGE KAYALA
MWIGIZAJI Susan Humba ‘Natasha’ amewataka wenye makampuni ya uandaaji wa filamu za bongo kuwatumia watoto wenye vipaji ambao wana ulemavu wa viungo.
Natasha alitoa kauli hiyo kwa watoto hao wenye ulemavu wa viungo wanaosoma Shule ya Sekondari Jangwani, jijini Dar es Salaam, baada ya kuonyesha uwezo wao wa kuigiza mbele yake.
Wanafunzi hao walionesha vipaji vyao mwishoni mwa wiki iliyopita, wakati wa uzinduzi wa shirika lisilo la kiserikali la Save Vulnerable Foundation...
10 years ago
Michuzi03 Dec
9 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU (WATU WENYE ULEMAVU) ATEMBELEA KITUO CHA NUNGE, KIGAMBONI
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Njia bora za kuwasaidia watoto wenye ulemavu