BAF yaendelea kusaidia vijana wenye ulemavu wa ngozi
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-K_CHj5FHHM4/U2_PK1eDYVI/AAAAAAAFg-A/ViJvPgx2MBs/s72-c/unnamed+(5).jpg)
MAMA TUNU PINDA AOMBA WATU NA MASHIRIKA MBALIMBALI KUSAIDIA KUCHANGIA KATIKA KUENDELEZA ELIMU KWA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALIBINO)
![](http://1.bp.blogspot.com/-K_CHj5FHHM4/U2_PK1eDYVI/AAAAAAAFg-A/ViJvPgx2MBs/s1600/unnamed+(5).jpg)
10 years ago
Michuzi03 Oct
PIGA KURA UBORESHE MAISHA YA WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI
![Untitled](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/Untitled.jpg)
Shiriki kwa kupiga kura ili UTSS washinde Tuzo hii na kulinda...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Xvdx-mgBbE8/VOyR4tfAZkI/AAAAAAAHFmQ/8xwJLRrpEQ4/s72-c/DSC_0176.jpg)
WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALBINO) WATOAFAUTIANA KUHUSU MAANDAMANO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-Xvdx-mgBbE8/VOyR4tfAZkI/AAAAAAAHFmQ/8xwJLRrpEQ4/s1600/DSC_0176.jpg)
Kamati ya kuratibu mapambano ya kukomesha mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino)umepingana na kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa Chama Cha Watu...
10 years ago
Mtanzania28 Mar
Kituo cha watu wenye ulemavu wa ngozi kilichojaa changamoto!
NA AGATHA CHARLES, ALIYEKUWA SHINYANGA
WAKATI jamii ikipambana kuzuia mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino), imebainika kuwa licha ya tishio hilo la kuawa lakini pia wamekuwa wakifanyiwa vitendo wa ukatili ikiwemo kubakwa.
Mwandishi wa gazeti hili, Machi 10, mwaka huu alitembelea kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum wakiwemo walemavu wa ngozi cha Buhangija Jumuishi kilichopo Manispaa ya Shinyanga na kukutana na binti mwenye umri chini ya miaka 18 ambaye alifanyiwa ukatili...
10 years ago
Vijimambo29 Nov
MFUKO WA GEPF WATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA NGOZI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5F3qbw_rGG4/VQBUgU_P-cI/AAAAAAAHJlI/2d_5lJRZo5w/s72-c/DSC_0225.jpg)
KESI ZA WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI ZITAPEWA KIPAUMBELE - JAJI MKUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-5F3qbw_rGG4/VQBUgU_P-cI/AAAAAAAHJlI/2d_5lJRZo5w/s1600/DSC_0225.jpg)
Jaji Mkuu Nchini Othman Chande amesema kesi za mauaji kwa watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino)zinatakiwa kufanywa kwa ushirikiano katika pande zote ikiwemo mashahidi kujitokeza kwa wakati kwa watuhumiwa wa mauji hayo.
Jaji Chande ameyasema hayo wakati wa hafla ya kuapishwa Manaibu wa Usajili wa Mahakama Kuu leo jijini,Dar es Salaam,amesema watu wenye ulemavu wa ngozi ni watanzania wenzetu na hakuna anayependa wanavyofanyiwa ukatili huo.
Chande amesema...
10 years ago
Dewji Blog15 Apr
CHAWAMAMU waendesha mafunzo Singida kukabiliana na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi
Mratibu wa Tiba Asilia kutoka Hospitali ya Wilaya ya Iramba, Bi Roda Yona(kushoto) na Mkuu wa Kituo kidogo cha polisi Ndago, Bwana Richard Kimolo (kulia) wakishiriki mafunzo ya kutoa elimu juu ya operesheni tokomeza mauji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino) na vikongwe.
Katibu Msaidizi wa CHAWAMAMU Mkoa wa Singida, Bwana Omari Majengo (kulia) wakiwa kwenye ukumbi wa shule ya msingi Urughu, tarafa ya Ndago wilayani Iramba wakitoa elimu juu ya operesheni tokomeza mauji ya watu wenye...
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Watu wenye ulemavu wa ngozi Manyoni waomba kusogezewa karibu dawa zakujikinga
Jengo la ofisi ya Kijiji cha Kilimatinde,wilayani Manyoni mahali walipokuwa wakipokelea malipo ya fedha za mpango wa kunusuru kaya maskini katika Kijiji hicho.
Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Kilimatinde, wilayani Manyoni wakisubiri kwa hamu kuba malipo ya TASAF awamu ya tatu yaliyokuwa yakifanyika katika ofisi za kijiji hicho.
baadhi ya waanchi wa Kijiji cha Sukamahela,tarafa ya Kilimatinde, wilayani Manyoni wakisikiliza maelekezo kutoka kwa Mwenyekiti wa kijiji hicho juu ya taratibu za...
10 years ago
VijimamboTANZANIA YASISITIZA AZIMIO KUHUSU WATU WENYE ULEMAVU WA NGOZI LIWE NA TIJA