Wakulima wamchongea Chiza kwa JK
WAKULIMA wa Pamba mikoa ya Shinyanga na Simiyu wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kumwajibishwa Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza kutokana na kuruhusu matumizi ya mbegu zinazosambazwa na kampuni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Chiza, wakulima Kagera wanahitaji juhudi zako
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akielekea kumaliza muda wake wa uongozi wananchi wamechachamaa kutokana na mambo kudorora katika serikali yake. Ikabidi chama tawala kiingilie kati na kufanya uchunguzi kuhusu hali hiyo,...
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Waziri Chiza awahakikishia soko wakulima wa mpunga
>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza amewahakikishia wakulima wa mpunga wa bonde la Mto Kilombero na wengine nchini kuwatafutia soko lenye tija ndani na nje ya nchi ili kila mkulima wa zao hilo anufaike na kushawishi wengine.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-q93gbVMHzZk/VoAwJrpwjsI/AAAAAAAIO8A/SO56oVSetb0/s72-c/1b149d1d-4f59-4ada-9092-3e2919959d41.jpg)
BENKI YA WAKULIMA YAMWAGA MIKOPO KWA WAKULIMA
Baada ya kilio cha muda mrefu, hatimaye, wakulima wadogo 21,000 walio katika vikundi 89 vya ushirika katika Kata ya Igomaa, mkoani Iringa keshokutwa wanatarajiwa kupatiwa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shbilioni 1 kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) nchini kwa ajili ya maendeleo ya shghuli zao za kilimo. Akizungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juzi, Mkurugenzi wa Mikopo na Usimamizi wa Biashara wa benki hiyo, Robert Pascal alisema maandalizi kwa...
10 years ago
MichuziTEKNOLOJIA YA UMWAGILIAJI KWA NJIA YA MATONE ITAKUZA KILIMO CHA MATUNDA NA MBOGA KWA WAKULIMA
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PIb0toGRQ1s/VnFNuLGDCsI/AAAAAAAIMwc/ZNomiwaLOjQ/s72-c/Al6cYflZYJ9obx_dogOCWAEpoATQQB29df51vPPVFSSq.jpg)
WAZIRI WA KILIMO ATOA SAA 48 KWA KAMPUNI YA SPARKWAY LTD KULIPA BILLION 3.4 KWA WAKULIMA WA KOROSHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-PIb0toGRQ1s/VnFNuLGDCsI/AAAAAAAIMwc/ZNomiwaLOjQ/s640/Al6cYflZYJ9obx_dogOCWAEpoATQQB29df51vPPVFSSq.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MdXoMz1omWI/VnFNtwcE71I/AAAAAAAIMwY/MpW5-jCk5lQ/s640/Au1lNmCmGdhwxdLsESaIUqeluo1yl7SkocpwTgKJGMf9%2B%25282%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-P2LJ1Wx6l4I/U7ThCeM__EI/AAAAAAABBo4/wULjXAyTPMk/s72-c/nssf.jpg)
NSSF YAPANUA WIGO WA HUDUMA ZAKE KWA KUANZISHA MPANGO MAALUMU KWA WAKULIMA NA WACHIMBA MADINI WADOGO
![](http://3.bp.blogspot.com/-P2LJ1Wx6l4I/U7ThCeM__EI/AAAAAAABBo4/wULjXAyTPMk/s1600/nssf.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1kmnPYFYvRs/U7ThAcosYAI/AAAAAAABBok/DR8k9oCwkag/s1600/a1.jpg)
10 years ago
TheCitizen29 Nov
Improve horticulture: Chiza
>The government yesterday challenged players in the Tanzanian horticulture industry to consider adding value to their products.
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Kaulimbiu zinahamasisha kilimo-Chiza
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza amesema kaulimbiu zinazotolewa kuhusu kilimo, zinasaidia wananchi kujiingiza kwenye sekta hiyo.
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Waziri Chiza awawakia mawakala
>Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza, ametangaza kuwashughulikia mawakala wanaonunua mazao kwa wakulima kwa mali kauli, akidai kwamba ndio wanaochangia yeye kuitwa mzigo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania