Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chiza, wakulima Kagera wanahitaji juhudi zako

WAKATI  Rais Jakaya Kikwete akielekea kumaliza muda wake wa uongozi wananchi wamechachamaa kutokana na mambo kudorora katika serikali yake. Ikabidi chama tawala kiingilie kati na kufanya uchunguzi kuhusu hali hiyo,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima wamchongea Chiza kwa JK

WAKULIMA wa Pamba mikoa ya Shinyanga na Simiyu wamemuomba Rais Jakaya Kikwete kumwajibishwa Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza kutokana na kuruhusu matumizi ya mbegu zinazosambazwa na kampuni...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Chiza awahakikishia soko wakulima wa mpunga

>Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza amewahakikishia wakulima wa mpunga wa bonde la Mto Kilombero na wengine nchini kuwatafutia soko lenye tija ndani na nje ya nchi ili kila mkulima wa zao hilo anufaike na kushawishi wengine.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Shein: Wakulima, wafugaji ongezeni juhudi

RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein, amewataka wakulima na wafugaji nchini kuongeza juhudi kwenye kilimo na ufugaji ili waongeze vipato vyao na kukuza uchumi wa taifa....

 

11 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA ALAT MKOA WA DODOMA AFURAHISHWA NA JUHUDI ZA TMA KATIKA KUWAPATIA WAKULIMA TAARIFA ZA HALI YA HEWA

Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma Mhe: Athuman Mwenda akipata maelezo ya kina jinsi ya uandaaji wa taarifa za hali ya hewa kwa wakulima ili kufanikisha kauli mbiu ya mwaka huu yenye ujumbe wa ‘Matokeo Makubwa Sasa’-Kilimo ni Biashara, vilevile Mamlaka inatekeleza mkakati wa Taifa wa KILIMO KWANZA.Maelezo hayo yalikuwa yakitolewa na kwa Kaimu Mkurugenzi wa Utafiti na Matumizi Dkt. Ladislaus Chang’a katika banda la Mamlaka ya Hali ya Hewa kwenye maonesho ya NaneNane 2014, viwanja vya...

 

11 years ago

Mwananchi

Wakulima wa chai Kagera wataka mwekezaji afukuzwe

Wakulima wa chai mkoani Kagera, wameomba mwekezaji wa Kampuni ya Kagera Coffee Ltd, afukuzwe kwa kile wanachodai hana uhusiano mzuri na wakulima.

 

5 years ago

Michuzi

TADB yamwaga billion 7.7 kwa vyama vya ushirika vya wakulima wa kahawa (KCU na KDCU) Kagera katika msimu wa kahawa 2020/21.

Kutoka Kushoto aliyeshika kipaza sauti ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mh. Brig. Gaguti, akifuatiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mh. Rashid Mwaimu, Mkuu wa wilaya ya Karagwe Mh. Godfrey Muheruka, Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Japhet Justine na mwenyekiti wa chama cha KDCU LTD Anselemi Alphonce.

Mapema leo (9 Juni 2020), TADB kwa kuongozwa na Mkurgenzi Mtendaji, Japhet Justine, wameshiriki katika ufunguzi wa msimu mpya wa kahawa 2020/21 uliofunguliwa na RC Kagera Mh. Brig. Gaguti wilayani Kyerwa....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana wanahitaji kioo

MATUMAINI yangu ni kuwa wote ni wazima na wenye afya njema. Napenda kuwashukuru wote mnaoendelea kunitia moyo kwa kunitumia ujumbe mfupi wa maneno pamoja na wale wanaonipigia simu kutokana na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viziwi-Wasioona wanahitaji msaada

BAADHI ya makundi ya watu wenye ulemavu yamekuwa yakikosa haki zao kutokana na maumbile waliyonayo. Makundi hayo ni ya watu wenye ulemavu ambayo hujikuta yakipambana na changamoto mbalimbali katika mazingira...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazee wanahitaji haki wanayostahili

“KESHO Juni 15 ni siku ya Kupambana na Manyanyaso na Dhuluma ya Wazee Ulimwenguni… hivyo tusiwahukumu wazee katika hali ya kutojielewa kwa kuwaua kwa kuhisi ni wachawi.” Hayo ni maelezo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani