WAZIRI CHIZA ATEMBELEA SOKO LA MAHINDI NFRA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-5gkkJXbt_Ns/VBrFh2C9d4I/AAAAAAAGkOg/pdGH9nDkE6w/s72-c/unnamed%2B(72).jpg)
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika,Mhe. Eng Christopher Chiza (Mb) akijibu kero za wakulima na wafanyabiashara waliopeleka mahindi NFRA Dodoma kwa ajili ya kuyauza,Wakati alipowatembelea jana.
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika,Mhe. Eng Christopher Chiza akionyesha uchafu uliokuwa kwenye magunia ya mahindi yaliyopelekwa na wakulima na wafanyabiashara NFRA Dodoma kwa ajili ya kuyauza.
Mahindi yaliyonunuliwa na kituo cha NFRA Dodoma yakipangwa nje kitaalamu kwa ajili ya kuhifadhiwa.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Waziri Chiza awahakikishia soko wakulima wa mpunga
9 years ago
MichuziWAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATEMBELEA NFRA NA UJENZI WA OFISI YA MKURUGEZI PERAMIHO
10 years ago
Mwananchi14 Nov
NFRA kununua mahindi Gairo
11 years ago
Habarileo02 Aug
NFRA yajipanga kununua mahindi Sumbawanga
WAKALA wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) Kanda ya Sumbawanga mkoani Rukwa, wamejipanga kununua mahindi kwa wakulima katika msimu huu wa ununuzi kwa kuzingatia viwango vya ubora.
10 years ago
Mwananchi09 Sep
NFRA kuuza tani 75,000 mahindi kuepusha kuharibika
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1bW6vZCRWS8/VP1QCkvsasI/AAAAAAAHI1Y/ZdzXKonRDCs/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
MH. PINDA ATEMBELEA SOKO LA MIEMBENI MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-1bW6vZCRWS8/VP1QCkvsasI/AAAAAAAHI1Y/ZdzXKonRDCs/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-aD3XK0VtJjk/VP1QCoA3III/AAAAAAAHI1c/BHtInixU1Dc/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4wIZp8m8pt8/VP1QEH3C8jI/AAAAAAAHI1o/-jyEqxHjEoA/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aWYNBg-UQfE/VADizBySg2I/AAAAAAAGVEE/3601CLAjOJY/s72-c/kb3.jpg)
RAIS KIKWETE ATEMBELEA SOKO LA NAFAKA LA KIMATAIFA LA KIBAIGWA, DODOMA
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Tani 7,400 za mahindi zakosa soko
9 years ago
Dewji Blog04 Jan
Majaliwa atembelea NFRA na ujenzi wa ofisi ya Mkurugenzi Peramiho
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa Jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Peramiho akiwa katika ziara ya mkoa wa Ruvuma Januari 4, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua mahindi yaliyohifadhiwa nje ya majengo ya maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula NFRA mjini Songea akiwa katika ziara ya siku tatu mkoani Ruvuma Januari 4, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akivalishwa vazi la jadi la Wangoni baada ya kuwasili kwenye kwenye...