Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yarudisha neema kwa wakulima Bumbuli

>Mgogoro kati ya wakulima wa chai Bumbuli na mwekezaji wa Kiwanda cha Chai Mponde, umefikia tamati baada ya Serikali kuridhia kutoa fedha kwa ajili ya kufufua kiwanda hicho ambacho kilikuwa kimefungwa kwa muda wa miaka miwili baada ya wakulima kugomea kuuza majani mabichi ya chai katika kiwanda hicho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Neema kwa wakulima wa mpunga yanukia

Rais Jakaya Kikwete ameahidi kuwatafutia soko la uhakika wakulima wa mpunga, hatua ambayo itaambatana na kuanzishwa kwa hifadhi ya zao hilo katika Ghala la Taifa la Chakula, kama ilivyo kwa mahindi.

 

11 years ago

Mwananchi

Neema kwa wakulima wa korosha nchini yakaribia

Kilimo cha korosho nchini kinatarajiwa kuchukua sura mpya baada ya kutokana na kuwepo kwa mpango wa kujengwa kwa viwanda vitatu vya kubangua korosho vitakavyoongeza thamani ya zao hilo.

 

10 years ago

Vijimambo

LOWASA AAHIDI NEEMA KWA WAKULIMA WA ZAO LA KAHAWA KILIMANJARO

Kada mkongwe wa Chama cha Mapinduzi,aliyejiengua hivi karibuni ,Kingunge Ngombalemwiru akisalimia wakati wa mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea Urais kupitia Chadema na Vyama vinavyounda Umoja wa katiba ya wananchi UKAWA uliofanyika katika viwanja vya mashujaa mjini Moshi.Picha zote na Dixon Busagaga wa Busagaga's Orijino Blog.Kada mkongwe wa Chama cha Mapinduzi,aliyejiengua hivi karibuni ,Kingunge Ngombalemwiru akimkaribisha mgombea Urais kupitia Chadema na Vyama vinavyounda Umoja wa...

 

5 years ago

Michuzi

NMB yafungua tawi la 225 ikiahidi neema kwa wakulima, wafugaji

Benki ya NMB imezindua tawi jipya Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu na kufikisha matawi 225 nchi nzima huku ikitangaza neema ya huduma bora na mikopo nafuu kwa wananchi wakiwemo wakulima, wafugaji na wavuvi kusaidia shughuli za kiuchumi.
Akitoa taarifa ya utendaji wa benki hiyo kwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa hafla ya ufunguzi wa tawi hilo mwishoni mwa wiki, Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa NMB, Ruth Zaipuna alisema ufunguzi wa tawi hilo pamoja na mengine maeneo ya vijijini ni...

 

5 years ago

CCM Blog

NMB YAFUNGUA TAWI LA 225 IKIAHIDI NEEMA KWA WAKULIMA NA WAFUGAJI

Benki ya NMB imezindua tawi jipya Wilaya ya Busega Mkoani Simiyu na kufikisha matawi 225 nchi nzima huku ikitangaza neema ya huduma bora na mikopo nafuu kwa wananchi wakiwemo wakulima, wafugaji na wavuvi kusaidia shughuli za kiuchumi.
Akitoa taarifa ya utendaji wa benki hiyo kwa Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa hafla ya ufunguzi wa tawi hilo mwishoni mwa wiki, Kaimu Mkurugenzi mtendaji wa NMB, Ruth Zaipuna alisema ufunguzi wa tawi hilo pamoja na mengine maeneo ya vijijini ni...

 

11 years ago

Habarileo

JK atangazia neema wakulima Ruvuma

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amewaondoa hofu wakulima wa mahindi mkoani Ruvuma kwa kuwahakikishia kuwa serikali itanunua mahindi yote kutoka kwao kwa kilo moja ya mahindi kwa Sh 500 badala ya Sh 450 bei iliyotumika kununua mahindi katika msimu uliopita.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yapunguza deni kwa wakulima

SERIKALI imeendelea na kasi ya kulipa deni ililokuwa inadaiwa na wakulima sehemu mbalimbali nchini ambapo jana Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) Kanda ya Sumbawanga imewalipa wakulima wa mikoa ya Rukwa na Katavi zaidi ya Sh bilioni tisa kati ya Sh bilioni 22 walizokuwa wakiwadai baada ya kuwauzia mahindi msimu wa ununuzi uliopita.

 

10 years ago

Mtanzania

Keissy aitaka Serikali kulipa riba kwa wakulima

ally kessyNa Debora Sanja, Dodoma

MBUNGE wa Nkasi Kaskazini, Ali Keissy (CCM), ameitaka Serikali kuwalipa wakulima fedha zao pamoja na riba kutokana na kuwacheleweshea malipo yao kwa muda mrefu.
Akiuliza swali bungeni jana, Keissy alisema Serikali imekuwa ikilipa riba mbalimbali kutokana na kuchelewa kulipa madeni ya wazabuni na kutaka wakulima walioiuzia Serikali mahindi yao walipwe riba.
“Serikali inasema nini kuhusu kuwalipa wakulima hao fedha zao pamoja na riba kwa kuwa toka mwaka jana hadi sasa...

 

10 years ago

StarTV

Serikali kutoa elimu kwa wakulima wadogo wa Pamba.

Na Gloria Matola,

Pwani Bagamoyo.

Serikali imejipanga kuendelea kuwaelimisha wakulima wadogo wadogo wa zao la pamba waliopo wilayani Bagamoyo mkoani Pwani ili wafikie hatua ya kulifanya zao hilo kuwa la kibiashara zaidi ikiwa ni sehemu ya kukabiliana na hali ya umasikini uliokithiri kwenye ukanda wa Mashariki.

Hayo yameelezwa kwenye ziara ya Bodi ya Pamba kwa kushirikiana na Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Pwani CORECU na TACOGA lengo likiwa ni kuwahamasisha wakulima wa zao hilo kurejea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani