Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FILIKUNJOMBE AKABIDHI MSAADA WA TSH MILIONI 40 KIJIJI CHA MAVANGA ASEMA CCM SI MBAYA WABAYA WATU

Mbunge wa Jimbo la  Ludewa, Deo Filikunjombe akiwahutubia wakazi wa Kijiji  cha Mavanga wilayani Ludewa muda mfupi baada ya kukabidhi msaada wa vitu mbalimbali vya ujenzi vyenye thamani ya Tsh milioni 40 katika  kijiji hicho.   Viongozi  wa Kijiji  cha Mavanga  akiwemo mwenyekiti wa kijiji, Bw. Hilmar Mpambichaka (Chadema) kulia  wakipokea misaada ya vifaa vya  ujenzi  toka kwa mbunge...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Filikunjombe akabidhi msaada wenye thamani ya zaidi ya tsh milioni 32 hospitali ya wilaya ya Ludewa

Mbunge  wa   jimbo la  Ludewa, Deo Filikunjombe  kulia  akikabidhi msaada wa  mataulo na mito kwa  mkurugenzi  wa  Halmashauri ya  wilaya ya  Ludewa  Wiliam Waziri kwa  ajili ya  Hospitali ya  wilaya ya  Ludewa. Mbunge  wa  Ludewa  akizungumza na  watumishi wa Hospitali ya  wilaya ya  Ludewa. Watumishi wa  Hospitali ya  wilaya ya  Ludewa  wakimshangilia mbunge  wao  Deo Filikunjombe kwa msaada Hospitalini hapo. Mbunge wa  jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akionyesha mataulo ya kisasa.  

 

10 years ago

Michuzi

FILIKUNJOMBE AKABIDHI MSAADA WENYE THAMAMANI YA ZAIDI YA TSH MILIONI 32 HOSPITALI YA WILAYA YA LUDEWA

Mbunge  wa   jimbo la  Ludewa  Deo Filikunjombe  kulia  akikabidhi msaada wa  mataulo na mito kwa  mkurugenzi  wa  Halmashauri ya  wilaya ya  Ludewa  Wiliam Waziri kwa  ajili ya  Hospitali ya  wilaya ya  Ludewa.
Filikunjombe  mwenye  T-Shet ya  CCM  akisaidiana na  watumishi wa  Hospitali ya  wilaya ya  Ludewa  kushusha  vifaa mbali mbali.
Moja kati ya  magari ya  wagonjwa  yaliyotolewa na mbunge wa  Ludewa  Deo  Filikunjombe  jimboni mwake  kusaidia kubeba ...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE FILIKUNJOMBE ATOA MSAADA WA ZAIDI YA TSH MILIONI 15 UKARABATI WA KANISA LA RC MADUNDA

Mbunge  wa  jimbo la  Ludewa  Deo Filikunjombe  akizungumza na  waumini wa kanisa la RC Madunda mara  baada ya  kusaidia kanisa  hilo kiasi cha Tsh milioni 15  za ukarabati wa kanisa na vinanda  viwili  vya kwaya kanisani  hapoViongozi  wa kanisa hilo wakimshangilia mbunge  huyo kwa  msaada wakeWaumini  wa kanisa   hilo  wakifurahia  misaada  ya mbunge  wao.bofya hapa kuona picha...

 

11 years ago

Michuzi

MBUNGE GODFREY MGIMWA AKABIDHI MSAADA WA BATI KIJIJI CHA USENGERENDETI NA MAHANZI

Katibu  wa mbunge  wa jimbo la Kalenga  Bw  Martine Simangwa  kushoto akikabidhi msaada wa bati  100 kwa  uongozi wa kijiji cha Usengerendeti  kwa  ajili ya ujenzi wa nyumba ya wauguzi wa Zanahati ya  kijiji  .Wananchi  wakishiriki kushusha  bati  hizoKatibu  wa mbunge Mgimwa Bw Martine Simangwa akieleza kazi mbali mbali  zilizofanywa na mbunge Godfrey Mgimwa toka alipochaguliwa 
HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

 

10 years ago

Vijimambo

FILIKUNJOMBE AWATIMIZIA AHADI YA MAJI WANANCHI WA KITEWELE ZAIDI YA TSH MILIONI 26 ZATUMIKA

Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe kushoto akikabidhi masaada wa vitaa vya maji safi vyenye thamani ya Tsh milioni 26 kwa wananchi wa kijiji cha Kitewele kata ya Mawengi Ludewa leoWananchi wa kijiji cha Kitewele kata ya Mawengi Ludewa wakiwa wamebeba bomba za maji zilizotolewa na mbunge wao Deo Filikunjombe kwenda kijijini kwao umbali wa zaidi ya Km 6 kutoka eneo la barabara ziliposhushwa bomba hizoWananchi wa kijiji cha Kitelewe wakishiriki kubeba bomba za maji...

 

5 years ago

BBCSwahili

Atsede Nguse: Manusura wa shambulio la tindikali asema 'Kuna watu wengi wazuri duniani kuliko wabaya'

Mume wa Atsede Nguse alimshambulia kwa tindikali na kumharibu sura nchini Ethiopia, lakini wasamaria wema wamemsaidia kupona.

 

10 years ago

Michuzi

MWENYEKITI BAVICHA KIJIJI CHA LUANA AWATAKA LUDEWA KUTOMPOTEZA FILIKUNJOMBE.

Mbunge  wa  Jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe  akizungumza na   baadhi ya  wananchi  wa kijiji  cha Luana waliojitokeza kuungana nae katika maendeleo ya  kuchimba mifereji ya kutolea maji katika barabara yenye urefu wa km 2  aliyowachongea Mbunge  wa Ludewa Deo Filikunjombe  akielekea  kujumuika na  wananchi wake wa  kijiji  cha Luana  kuchimba mifereji ya kutolea maji katika barabara ya kijiji  cha Luana ambayo ameshirikiana na  wananchi hao kuichonga Wananchi  wa Luana  wakielekea kazini...

 

10 years ago

GPL

MBUNGE FILIKUNJOME ATIMIZA PIA AHADI YA UJENZI WA DARAJA MTO KITEWAKA KWA TSH MILIONI 248, ASAIDIA VIFAA VYA UJENZI KWA TSH MILIONI 248

 Mbunge  Filikunjombe akilitazama daraja la mbao la mto Kitewaka ambalo litajengwa  kisasa 
 Wannchi  wa  kijiji  cha Maholong'wa  wakimpongeza  mbunge  Filikunjombe kwa kutimiza ahadi yake…

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE FILIKUNJOMBE ALAZAMIKA KULALA KATIKA 'PAGALE' AKITEKELEZA AHADI YA UMEME KIJIJI CHA KILONDO

Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kilondo Ludewaa.Mbunge Filikunjombe akisisitiza jambo wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kilondo.Mwenyekiti wa kata ya Kilondo wa Chadema Bw Edgar Kyula akimpongeza mbunge wa wa Ludewa Deo Filikunjombe kushoto wakati wa mkutano wake kijijini KilondoMbunge Filikunjombe akikabidhi nyavu za kuvulia samaki kwa ajili ya vikundi vya vijana wote Kijiji cha Kilondo na Lusisi Ludewa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani