Filikunjombe akabidhi msaada wenye thamani ya zaidi ya tsh milioni 32 hospitali ya wilaya ya Ludewa
Mbunge wa jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe kulia akikabidhi msaada wa mataulo na mito kwa mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Ludewa Wiliam Waziri kwa ajili ya Hospitali ya wilaya ya Ludewa.
Mbunge wa Ludewa akizungumza na watumishi wa Hospitali ya wilaya ya Ludewa.
Watumishi wa Hospitali ya wilaya ya Ludewa wakimshangilia mbunge wao Deo Filikunjombe kwa msaada Hospitalini hapo.
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akionyesha mataulo ya kisasa.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziFILIKUNJOMBE AKABIDHI MSAADA WENYE THAMAMANI YA ZAIDI YA TSH MILIONI 32 HOSPITALI YA WILAYA YA LUDEWA
10 years ago
GPLFILIKUNJOMBE AKABIDHI MSAADA WA TSH MILIONI 40 KIJIJI CHA MAVANGA ASEMA CCM SI MBAYA WABAYA WATU
10 years ago
MichuziMBUNGE FILIKUNJOMBE ATOA MSAADA WA ZAIDI YA TSH MILIONI 15 UKARABATI WA KANISA LA RC MADUNDA
10 years ago
VijimamboFILIKUNJOMBE AWATIMIZIA AHADI YA MAJI WANANCHI WA KITEWELE ZAIDI YA TSH MILIONI 26 ZATUMIKA
9 years ago
MichuziLAPF YATOA MSAADA WENYE THAMANI YA TSH 2,800,000/= KWA KITUO CHA AFYA MAKOLE DODOMA
Msaada huo umelenga kuboresha huduma kwa wagonjwa wanaolazwa kituoni hapo wengi wao wakiwa ni kina mama wajawazito na watoto. LAPF inaunga mkono jitihada za Serikali katika kuboresha huduma za Afya nchini.
Kadhalika ...
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Mkurugenzi wa Mtendaji wilaya ya Hanang’ akanusha tuhuma za halmashauri yake kutafuna fedha zaidi ya Tsh Milioni 500
Na woinde shizza wa libeneke la kaskazini blog
MKURUGENZI mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, Filex Mabula amesema taarifa zilizotolewa kuwa halmashauri hiyo imetumia vibaya zaidi ya sh508.6 milioni fedha za shule na za kusambaza maji vijijini, zilizotolewa na benki ya dunia, siyo za kweli.
Akizungumza na waandisi wa habari jana, Mabula alisema halmashauri hiyo ilitoa sh225.5 milioni kwenye shule za bweni kwa ajili ya chakula kwa mwaka 2013 hadi 2014 sawa na asilimi...
11 years ago
Dewji Blog14 Jun
Deo Filikunjombe andaa semina kwa viongozi wa CCM Wilaya ya Ludewa
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndugu Vuai Ali Vuai akifungua semina ya wenyeviti, Makatibu na Makatibu Wenezi wa CCM wilaya ya Ludewa inayohusu masuala ya kuimarisha Chama na Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika jimbo la Ludewa ambalo linaongozwa na Mbunge wake Machachali na makini Mh. Deo Filikumbjombe, Semina hiyo imeandaliwa na Mbunge wa jimbo hilo ambayo ilianza na ziara ya kimafunzo ya viongozi hao wa CCM wilaya ya Ludewa ambapo walianzia mjini Dodoma...
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Mlata atoa msaada wa vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 5.7 kwa kituo cha afya cha Sokoine
Baadhi ya vifaa tiba na madawa mbalimbali yaliyotolewa msaada na Martha Mosses Mlata kwa kituo cha afya cha Sokoine mjini Singida.
5 years ago
MichuziRC Wangabo aagiza “Special Audit†huku zaidi ya Milioni 660 kutofahamika matumizi yake katika ujenzi hospitali ya Wilaya.