MBUNGE FILIKUNJOMBE ALAZAMIKA KULALA KATIKA 'PAGALE' AKITEKELEZA AHADI YA UMEME KIJIJI CHA KILONDO
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akiwahutubia wananchi wa kijiji cha Kilondo Ludewaa.
Mbunge Filikunjombe akisisitiza jambo wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kilondo.
Mwenyekiti wa kata ya Kilondo wa Chadema Bw Edgar Kyula akimpongeza mbunge wa wa Ludewa Deo Filikunjombe kushoto wakati wa mkutano wake kijijini Kilondo
Mbunge Filikunjombe akikabidhi nyavu za kuvulia samaki kwa ajili ya vikundi vya vijana wote Kijiji cha Kilondo na Lusisi Ludewa.
Vijimambo
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania