UZURI WA SURA NA UMBO NI ADHABU, USIOMBEE
![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbWs4kgr9uT--oMoEBQ40izG9D2d4FFzF8ZIkR8oL1hW39LswEB8Jd2jd9xPbH5Nxtt73ZKS*PAnb3JJaA3fWPDf/mahaba.jpg)
JAMANI nauona kabisa mwaka unakatika huu, kwa sababu tunapokutana leo hapa, zimebaki kama wiki mbili tu na ushee, tuingie kwenye ule mwezi ambao tunazisikiaga nyimbo za msimu wa Krismasi. Ukisikia tu Viva Christmas, ujue mwaka umeisha na kwa sisi wazazi unaanza kufikiria ada za shule! Basi, nimekuwa nikikutana na watu wengi wanaolalamika kutendwa na wenza wao, wakihoji bahati mbaya waliyonayo, kwani kila wakiwapata wenzao,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UUHZoZFGT4guQFV2k*S1qGEXzOGDOxT3dddoyriRdwBxrubBz9rgVMt-S2PZwls5OJ9LMUKsTXJuw1xQh8msugkb-21kLtuS/Hot_CoupleS__1024x768__Wallpapers__aman1512.jpg_a_8.jpg?width=650)
UZURI NA UMBO SIYO FIMBO YA KUMPIGIA MUME WAKO!
9 years ago
Bongo514 Dec
New Music: Trubadour George f/ Ibrah – Uzuri wa Sura
![76661c15-0aef-4b24-8757-7752aff9d7de](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/76661c15-0aef-4b24-8757-7752aff9d7de-300x194.jpg)
Ngoma mpya ya rapper Trubadour George aliyomshirikisha Ibrah. Inaitwa Uzuri wa Sura.
Rapper huyo anasema:
Huu ni wimbo wa kwanza wa mapenzi kuuachia hewani kutoka kwangu tangu nianze kufanya muziki. Wimbo huu nimetoa maalum kwa mwanamke ninayempenda na pia ni dedication ya watu wapendanao. Video ya wimbo huu itakuwa hewani tarehe 18/12/ 2015. video hii imetayarishwa na Mecky Kaloka kutoka Ngome Videos.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na...
10 years ago
Habarileo04 Oct
Uzuri wamponza, wenye wivu wamharibu sura
WASICHANA ndugu wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 16 na 18 wamemshambulia kwa visu binti mwenye miaka 15, kwa lengo la kumkomesha kwa sababu anasifiwa kuwa mzuri. Katika tukio hilo la aina yake, ndugu hao walimvizia msichana huyo, Julia Alvarez(15), njiani wakati anakwenda nyumbani mjini Juan Domingo Peron kwenye jimbo la Formosa Kaskazini mwa Argentina.
11 years ago
Mwananchi14 May
Usiombee kuugua dengue, kipimo Sh50,000
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s72-c/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
Isomeni Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili muweze kupata uelewa - Dkt. Migiro
![](http://1.bp.blogspot.com/-8heGyLCrwJg/VE5xCBtuuPI/AAAAAAAGtr0/_BvanElyQf0/s1600/Dr.Asha-Rose-Migiro-228x300.jpg)
WANANCHI wameshauriwa kuisoma Katiba Mpya Inayopendekezwa sura kwa sura na ibara kwa ibara ili waweze kupata uelewa wa masuala mbalimbali yaliyomo ndani ya Katiba hiyo na kuacha kusikiliza maneno ya watu yenye nia ya kupotosha ukweli.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha Rose Migiro wakati wa sherehe za mahafali ya pili ya Shule ya Sekondari ya Wasichana wanaoishi katika mazingira hatarishi ya WAMA Nakayama, iliyopo wilayani Rufiji...
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Vaa hereni kulingana na umbo lako
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Kondomu yenye umbo la chupi Uganda
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Kajala : Umbo langu linavutia, halijawahi kunikera
9 years ago
Mwananchi04 Sep
Jinsi ya kukabili hisia za umbo dogo la uume