New Music: Trubadour George f/ Ibrah – Uzuri wa Sura
Ngoma mpya ya rapper Trubadour George aliyomshirikisha Ibrah. Inaitwa Uzuri wa Sura.
Rapper huyo anasema:
Huu ni wimbo wa kwanza wa mapenzi kuuachia hewani kutoka kwangu tangu nianze kufanya muziki. Wimbo huu nimetoa maalum kwa mwanamke ninayempenda na pia ni dedication ya watu wapendanao. Video ya wimbo huu itakuwa hewani tarehe 18/12/ 2015. video hii imetayarishwa na Mecky Kaloka kutoka Ngome Videos.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo520 Nov
New Music: Trubadour George f/ One The Incredible – Maamuzi
![Trubadour George FT One The Incredible- Maamuzi picha](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Trubadour-George-FT-One-The-Incredible-Maamuzi-picha-300x194.jpg)
Ngoma mpya ya rapper, Trubadour George aliyomshirikisha One The Incredible – Maamuzi.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uw8ZJ9XBTbWs4kgr9uT--oMoEBQ40izG9D2d4FFzF8ZIkR8oL1hW39LswEB8Jd2jd9xPbH5Nxtt73ZKS*PAnb3JJaA3fWPDf/mahaba.jpg)
UZURI WA SURA NA UMBO NI ADHABU, USIOMBEE
10 years ago
Habarileo04 Oct
Uzuri wamponza, wenye wivu wamharibu sura
WASICHANA ndugu wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 16 na 18 wamemshambulia kwa visu binti mwenye miaka 15, kwa lengo la kumkomesha kwa sababu anasifiwa kuwa mzuri. Katika tukio hilo la aina yake, ndugu hao walimvizia msichana huyo, Julia Alvarez(15), njiani wakati anakwenda nyumbani mjini Juan Domingo Peron kwenye jimbo la Formosa Kaskazini mwa Argentina.
9 years ago
Bongo528 Oct
Music: Trubadour FT Domokaya — Mikwara
10 years ago
Bongo528 Jul
New Music: Trubadour f/ Wema Sepetu — Usijaribu
9 years ago
Bongo512 Nov
Music: Attu Ft. Ibrah — Do You Love Me
![Attu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Attu-300x194.jpg)
Wimbo mpya kutoka kwa Mwanadada Attu unaitwa “Do You Love Me” amemshirikisha Ibrah, Studio Bantu Music
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo523 Dec
Music: Dark Master Ft Ibrah – Wapi Tunaenda
![artist_5da12066b4ef7232610b416f576669f8](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/artist_5da12066b4ef7232610b416f576669f8-300x194.jpg)
Msanii wa bongo fleva ambaye ni member wa Chamber Squad Dark Master ameachia wimbo mpya unaitwa “Wapi Tunaenda”, Amemshirikisha Ibrah, Studio Bantu Music, Produced by No future.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo529 Dec
New Music: Ibrah – Sorry Swahili Version (Justin Bieber Cover)
![PicsArt_12-25-03.04.50](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/PicsArt_12-25-03.04.50-300x194.jpg)
Sikiliza cover ya Kiswahili ya hit single ya Justin Bieber ‘Sorry’ iliyofanywa na Ibrah.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Bongo509 Mar
New Music: Ibrah & Lonka Ft. Fredwayne – Utanitaka