Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Music: Trubadour FT Domokaya — Mikwara

Wimbo mpya wa rapper Trubadour unaitwa “Mikwara” amemshirikisha Domokaya.Studio Bantu Music,Producer BY No Future Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: Trubadour f/ Wema Sepetu — Usijaribu

Sikiliza wimbo huu wa rapper Trubadour unaozungumzia jinsi mwaka huu wasanii wengi walivyojitokeza kuwania ubunge kitendo ambacho kinaonekana kama watu kuchukulia nafasi hiyo kwa mzaha. Isikilize ngoma hiyo hapo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote […]

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Trubadour George f/ One The Incredible – Maamuzi

Trubadour George FT One The Incredible- Maamuzi picha

Ngoma mpya ya rapper, Trubadour George aliyomshirikisha One The Incredible – Maamuzi.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

New Music: Trubadour George f/ Ibrah – Uzuri wa Sura

76661c15-0aef-4b24-8757-7752aff9d7de

Ngoma mpya ya rapper Trubadour George aliyomshirikisha Ibrah. Inaitwa Uzuri wa Sura.

Rapper huyo anasema:

Huu ni wimbo wa kwanza wa mapenzi kuuachia hewani kutoka kwangu tangu nianze kufanya muziki. Wimbo huu nimetoa maalum kwa mwanamke ninayempenda na pia ni dedication ya watu wapendanao. Video ya wimbo huu itakuwa hewani tarehe 18/12/ 2015. video hii imetayarishwa na Mecky Kaloka kutoka Ngome Videos.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na...

 

9 years ago

Dewji Blog

Domokaya afunguka kuhusu tuzo za mziki kwa wasanii wa Hip hop Tanzania!

Mandojo. Na Mwandishi Wetu. MANDOJO na DOMOKAYA ni wasanii walioweza kutengeneza namna tofauti ya uwasilishwaji wa mziki wa TANZANIA (BONGO FLAVOUR) kwa matumizi ya ‘Guitor’ mbali na falsafa iliyopatikana katika kazi sambamba na ustadi ulioonekana kati yao hawa jamaa ambao walishawahi kufanya kazi mbalimbali zilizofanya vizuri ikiwemo ‘Nikupe’, ‘Wanoknok’ na ‘Dingi’.   Wakati huu watu hawa kila mmoja anaishi nyumbani kwake kutokana na namna mfumo wa maisha ya binadamu ulivyojengwa. Hasa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga wapigana ‘mikwara’

BARAZA la Wazee wa Klabu ya Yanga, limewataka wanachama wanaousakama uongozi kuacha mara moja, kwani uamuzi ulioamuliwa na wanachama kwenye mkutano mkuuu wa mabadiliko ya katiba ni halali. Katika mkutano...

 

10 years ago

Mwananchi

Vikao, mikwara, vitisho vimeiua Yanga

Vikao virefu, vitisho vya wazee pamoja na baadhi ya viongozi wakiwatuhumu wachezaji sita kuhujumu timu hiyo vimetwaja kuwa ni sababu ya Yanga kufungwa na Simba juzi kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha mpya Toto Africans aanza kazi kwa mikwara

Kocha mkuu wa Toto Africans, Martin Glerics amewaambia maneno machache mashabiki wa timu hiyo kuwa amekuja nchini kufanya kazi na anataka kuing’arisha klabu hiyo.

 

11 years ago

Michuzi

Kocha mpya wa Man United Louis van Gaal aanza kazi kwa mikwara

Na Sultani KipingoKocha mpya wa Manchester United Louis van Gaal ameongea na wanahabari kwa mara ya kwanza leo, akisema kuwa klabu hicho cha Old Trafford ni kikubwa duniani isipokuwa inabidi wajipeleleze upya kufuatia kuboronga katika msimu uliopita.
"Msimu uliopita mmemaliza ligi mkiwa nafasi ya saba kwa hiyo nyie sio klabu kubwa duniani. Mnahitaji kujidhihirisha wenyewe, ingawa dunia nzima wanazungumzia Manchester United - hiyo ndio tofauti", alisema.
"Hii ni changamoto kubwa na ndio maana...

 

9 years ago

Michuzi

African in New York Episode 23: Music From The Tanzanian Diapora: The Authenticity of Modern Music

Tina Kakolaki is a Tanzanian born musician who resides in the United States. She sings in Haya, Swahili and English. With two albums already in the market and one still a work in progress, Tina has attracted a significant number of fans worldwide.  As a member of the Tanzanian Diaspora, Tina has embraced both the Tanzanian and the American cultures and her music speaks for itself carrying the message of love. Moreover, Tina has become one of the musicians in the United States who still have...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani