Yanga wapigana ‘mikwara’
BARAZA la Wazee wa Klabu ya Yanga, limewataka wanachama wanaousakama uongozi kuacha mara moja, kwani uamuzi ulioamuliwa na wanachama kwenye mkutano mkuuu wa mabadiliko ya katiba ni halali. Katika mkutano...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Vikao, mikwara, vitisho vimeiua Yanga
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DLo0tVWR9KfziR4zNADXEGPZ*bozRWowORqB1CEEGrx*pfzWuvvqSDZmicIZc9IyM01nn5zjGbddbYV9R*HVV7V*b6DyJotu/makocha.jpg?width=650)
Makocha 35 wapigana vikumbo Yanga
10 years ago
Mtanzania07 Mar
Yanga, Simba wapigana vijembe nje ya uwanja
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba inatarajia kurejea Dar es Salaam leo wakitokea Zanzibar, huku watani zao Yanga wakitamba kufanya maaja bundani ya dakika 45 za mchezo huo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, utakaochezwa kesho katika Uwanja waTaifa.
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga, Jerry Muro, amesema kuwa kikosi chao kipo kamili kwa ajili ya mpambano huo na kudai kocha wao, Hans van Pluijm, amemaliza kazi ya kukiandaa kikosi hicho kumenyana na Simba.
“Kocha amemaliza...
9 years ago
Bongo528 Oct
Music: Trubadour FT Domokaya — Mikwara
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Kocha mpya Toto Africans aanza kazi kwa mikwara
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nymw8KOWZHk/U8gVuiCIYHI/AAAAAAAF3LM/kZ9GYAfOM-w/s72-c/article-2696004-1FB9976E00000578-909_964x373.jpg)
Kocha mpya wa Man United Louis van Gaal aanza kazi kwa mikwara
![](http://4.bp.blogspot.com/-nymw8KOWZHk/U8gVuiCIYHI/AAAAAAAF3LM/kZ9GYAfOM-w/s1600/article-2696004-1FB9976E00000578-909_964x373.jpg)
"Msimu uliopita mmemaliza ligi mkiwa nafasi ya saba kwa hiyo nyie sio klabu kubwa duniani. Mnahitaji kujidhihirisha wenyewe, ingawa dunia nzima wanazungumzia Manchester United - hiyo ndio tofauti", alisema.
"Hii ni changamoto kubwa na ndio maana...
10 years ago
Habarileo30 Aug
Wakulima, wafugaji wapigana Same
KUMEZUKA mapigano baina ya wafugaji na wakulima katika kijiji cha Jiungeni Lolokai, kata ya Ruvu wilayani Same na tayari wakulima wanne wamejeruhiwa vibaya na silaha za jadi, na mmoja kukimbizwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC kwa matibabu zaidi.
11 years ago
GPLWAPIGANA HADHARANI KISA SIMU
9 years ago
Mtanzania20 Aug
Magufuli, Lowassa wapigana vikumbo
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli pamoja na mwenzake kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, wamepigana vikumbo mahakamani huku kila mmoja akisaka kiapo cha mahakama kuthibitisha rasmi kuwania nafasi hiyo.
Magufuli na Lowassa kwa sasa wamekuwa mahasimu wa kisiasa tangu waziri mkuu huyo wa zamani alipotangaza kuihama CCM baada ya mchakato wa urais uliofanyika mjini Dodoma Julai...