Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAPIGANA HADHARANI KISA SIMU

Vijana wawili wakipigana hadharani maeneo ya Bamaga-Sinza, Dar kisa kikidaiwa ni simu ya mkononi. KATIKA pitapita ya kamera yetu leo mtaani imewanasa vijana wawili wakipigana hadharani kisa kikidaiwa kuwa ni simu ya mkononi. Vijana hao walikuwa wakipigana maeneo ya Bamaga-Sinza, Dar ambapo walijaza watu ambapo ilidaiwa kwamba mmojawapo ni fundi wa bajaji ambaye aliachiwa simu rehani na kumpa huyo kijana shilingi elfu mbili...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BODABODA ANUSA KIFO KISA, KUKWAPUA SIMU!

Stori: Mwandishi Wetu Za mwizi arobaini! Ule mchezo wa kukwapua vitu na kukimbia umemtokea puani dereva wa pikipiki almaarufu bodaboda aliyetambulika kwa jina la Abuu Athumani (28) ambaye amenusa kifo baada ya kukwapua simu ya bei mbaya ya mrembo aitwaye Zaituni Hamisi. Dereva wa bodaboda aliyetambulika kwa jina la Abuu Athumani ambaye amenusa kifo baada ya kukwapua simu.
Tukio hilo la aina yake lilijiri majira ya...

 

11 years ago

GPL

MREMBO NUSURA AUAWE KISA KUDAIWA KUKWAPUA SIMU

Stori: Richard Bukos na Makongoro Oging'
MREMBO mmoja mkazi wa Mabibo Makutano jijini Dar es Salaam (jina lake halikupatikana) mwishoni mwa wiki iliyopita alinusurika kifo baada ya kuvamiwa na kudundwa baada ya kudaiwa kukwapua simu ya mwanaume na kuificha sehemu zake za siri. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, awali mrembo huyo alikuwa akila bata na mwanaume aitwaye Hashim kwenye Baa ya Jassun Inn iliyopo maeneo ya Mabibo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga wapigana ‘mikwara’

BARAZA la Wazee wa Klabu ya Yanga, limewataka wanachama wanaousakama uongozi kuacha mara moja, kwani uamuzi ulioamuliwa na wanachama kwenye mkutano mkuuu wa mabadiliko ya katiba ni halali. Katika mkutano...

 

10 years ago

Habarileo

Wakulima, wafugaji wapigana Same

KUMEZUKA mapigano baina ya wafugaji na wakulima katika kijiji cha Jiungeni Lolokai, kata ya Ruvu wilayani Same na tayari wakulima wanne wamejeruhiwa vibaya na silaha za jadi, na mmoja kukimbizwa katika Hospitali ya Rufaa ya KCMC kwa matibabu zaidi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wafuasi wa Museveni na Mbabazi wapigana

Wafuasi wa rais Yoweri Museveni wamewashambulia wafuasi wa Amama Mbabazi katika vitongoji vya Kampala

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli, Lowassa wapigana vikumbo

Katuni MBELENa Kulwa Mzee, Dar es Salaam

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli pamoja na mwenzake kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, wamepigana vikumbo mahakamani huku kila mmoja akisaka kiapo cha mahakama kuthibitisha rasmi kuwania nafasi hiyo.

Magufuli na Lowassa kwa sasa wamekuwa mahasimu wa kisiasa tangu waziri mkuu huyo wa zamani alipotangaza kuihama CCM baada ya mchakato wa urais uliofanyika mjini Dodoma Julai...

 

11 years ago

GPL

Makocha 35 wapigana vikumbo Yanga


Na Khadija Mngwai
KUFUATIA kuondoka kwa aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Mholanzi Hans Van Der Pluijm, kumekuwa na mgongano wa hali ya juu baada ya zaidi ya makocha 35 kutuma maombi ya kutaka kuifundisha timu hiyo msimu ujao. Hivi karibuni Pluijm aliamua kuondoka klabuni hapo na kutimkia Uarabuni kwenda kufundisha soka baada ya kupata ofa kubwa. Akizungumza na Championi Jumamosi, Msemaji wa Yanga, Baraka Kizuguto, alisema...

 

11 years ago

GPL

NYERERE, DK. CHENI WAPIGANA VIKUMBO

Steve Mangere ‘Steve Nyerere’. Stori: Nyemo Chilongani
WAIGIZAJI wawili kwenye tasnia ya ya filamu Bongo, Steve Mangere ‘Steve Nyerere’ na Mahsein Awadhi ‘Dk. Cheni’ wapo katika mvutano wa hali ya juu kufuatia kila mmoja  kutangaza nia ya kugombea uenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie.…

 

10 years ago

Habarileo

Wabunge wapigana ndani ya Bunge

Bunge la KenyaWABUNGE wa Bunge la Kenya, jana walizua tafrani baada ya kutofautiana katika mjadala wa Muswada wa Usalama, kiasi cha baadhi yao kupigana na kusababisha shughuli za Bunge kuahirishwa kwa muda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani