Yanga, Simba wapigana vijembe nje ya uwanja
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba inatarajia kurejea Dar es Salaam leo wakitokea Zanzibar, huku watani zao Yanga wakitamba kufanya maaja bundani ya dakika 45 za mchezo huo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, utakaochezwa kesho katika Uwanja waTaifa.
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga, Jerry Muro, amesema kuwa kikosi chao kipo kamili kwa ajili ya mpambano huo na kudai kocha wao, Hans van Pluijm, amemaliza kazi ya kukiandaa kikosi hicho kumenyana na Simba.
“Kocha amemaliza...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Itapendeza Yanga ikijenga uwanja nje ya mji
10 years ago
GPLSIMBA ILIVYOICHAKAZA YANGA LEO UWANJA WA TAIFA
10 years ago
VijimamboSIMBA NAO KAMA YANGA HUKO UWANJA WA AMANI
Simba sasa imeamka kwenye Kombe la Mapinduzi baada ya kufanikiwa kutinga nusu fainai ya michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa kuichabanga Taifa ya Jang'ombe kwa mabao 4-0.
Simba imeonyesha inaweza baada ya kuzitumia dakika 45 za kipindi cha pili kwa kuichapa Taifa mabao yote manne kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.
Shujaa wa Simba leo ni Ibrahim Ajib aliyefunga mabao matatu, hat trick na kufanikiwa kuondoka na mpira wa zawadi wakati mkongwe Shabani Kisiga alimalizia bao la nne.
Simba ilitawala...
11 years ago
MichuziSIMBA NA YANGA ZATOSHANA NGUVU UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR LEO
11 years ago
Michuzi30 Jul
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA KUPAMBANA UWANJA WA TAIFA
Makala na Nassor GalluSIKU ya Agosti 8, mwaka huu kutakuwa na bonge la mechi litakalopigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar ambapo wabunge wanaoshabikia Yanga, watakuwa dimbani kupepetana na wenzao wa Simba.
Wabunge wa timu ya Simba wakiwa kwenye picha ya pamoja.Wabunge wa timu ya Yanga wakiwa kwenye picha ya pamoja.Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA
11 years ago
GPLTAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 WABUNGE SIMBA NA YANGA FULL KUKANYAGANA UWANJA WA TAIFA
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Yanga wapigana ‘mikwara’
BARAZA la Wazee wa Klabu ya Yanga, limewataka wanachama wanaousakama uongozi kuacha mara moja, kwani uamuzi ulioamuliwa na wanachama kwenye mkutano mkuuu wa mabadiliko ya katiba ni halali. Katika mkutano...