Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vaa hereni kulingana na umbo lako

Ni jambo la kawaida kwa mrembo au mtu yeyote anayeelewa masuala ya mitindo ya kunakshi vazi lake linapokuwa limekamilika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

HERENI ZA JB MH!

KWA mara ya kwanza legendary wa filamu Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ alionekana akiwa amevaa hereni na kujichora nyota kichwani kitu ambacho kiliibua minong’ono kwa mashabiki wake. Legendary wa filamu Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ akiingia ulingoni kuzichapa na 'Coud'. JB alionekana na swaga hizo kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini lililofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar alipokuwa akiingia...

 

9 years ago

BBCSwahili

Bibi wa miaka 85,akamatwa kwa kuiba hereni

Bibi kizee mmoja mwenye umri wa miaka 85 raia wa Marekani na ambaye amekuwa akiiba vito vya thamani kwa zaidi ya miaka 60 amehukumiwa tena kwa kosa la wizi.

 

11 years ago

Mwananchi

‘JK vua koti la CCM, vaa la urais’

Rais Jakaya Kikwete ameshauriwa kunusuru mchakato wa kupata Katiba Mpya ili usisimame kwa kuvua koti la Uenyekiti wa CCM na kubaki na Urais ili awaeleze wananchi nini cha kufanya kupata Katiba Mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

MITINDO: Vaa sare na mwenzi wako

Umewahi kutamani kuwa na mwonekano wa kimavazi unaoendana na mwenza wako na hujui ufanye nini?

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

SHOGA; VAA RANGI HIZI UMPAGAWISHE MUMEO!

Nimatumaini yangu kila mmoja wenu atakuwa amejiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa mfumo wa kielektroniki wa BVR, anasubiri siku ya uchaguzi ifike ili aweze kumchagua kiongozi anayemtaka. Nawapongeza sana kwa kufanikisha zoezi hilo licha ya kugubikwa na changamoto kibao ambazo awali zilikatisha tamaa, hongereni jamani kwa kupata vitambulisho hivyo muhimu, vitunzeni vizuri. Baada ya kusema hayo sasa narejea...

 

10 years ago

Mtanzania

Vanessa: Wasanii tubadilike kulingana na teknolojia

vanesNA ADAM MKWEPU
MSANII wa Bongo Fleva ambaye ni balozi wa Kampuni ya simu ya Samsung, Vanessa Mdee, amewataka wasanii wenzake waishi kwa kubadilika kulingana na mabadiliko ya teknolojia duniani.
Vanessa alisema hayo wakati wa uzinduzi wa simu mpya ya Sumsung 4G LTE ‘Muvika’ uliofanyika jijini Arusha ambapo alisema uwe ukurasa mpya kwa wasanii wenzake kwa kutumia simu kwa faida.
Naye mkurugenzi mtendaji wa kampuni hiyo, Hyeongjun Seo, alisema uzinduzi huo umefanyika Arusha kwa kuwa wanaheshimu...

 

5 years ago

BBCSwahili

Pogba si mali ya mkufunzi wa Manchester United Solskjaer kulingana na Raiola

Paul Pogba si mali ya mkufunzi wa Manchester Ole Gunnar Solskjaer asema wakala wa kiungo huyo wa kati Mino Raiola.

 

10 years ago

Michuzi

VYUO VYATAKIWA KUTOA ELIMU KULINGANA NA MAHITAJI YA AJIRA HAPA NCHINI

Na Woinde Shizza, ArushaVIJANA wengi  wanaohitimu vyuo hawapati kazi mara tu ya kuhitimu
masomo yao kutokana na kutokuwepo kwa vyanzo vya ajira vinavyokwendasambamba na ongezeko la wahitimu na kuchangia kuwepo kwa wimbi lawahitimu wasiokuwa na ajira nchini.
Hayo yalisemwa    na Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya maliasili nautalii ,Selestini Gesimba alipokuwa akizungumza katika mahafali yatano ya Chuo cha Taifa cha Utalii(NCT) ,kampasi ya Arusha ambapo jumlala wanafunzi 55  walihitimu fani za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani