Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VYUO VYATAKIWA KUTOA ELIMU KULINGANA NA MAHITAJI YA AJIRA HAPA NCHINI

Na Woinde Shizza, ArushaVIJANA wengi  wanaohitimu vyuo hawapati kazi mara tu ya kuhitimu
masomo yao kutokana na kutokuwepo kwa vyanzo vya ajira vinavyokwendasambamba na ongezeko la wahitimu na kuchangia kuwepo kwa wimbi lawahitimu wasiokuwa na ajira nchini.
Hayo yalisemwa    na Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya maliasili nautalii ,Selestini Gesimba alipokuwa akizungumza katika mahafali yatano ya Chuo cha Taifa cha Utalii(NCT) ,kampasi ya Arusha ambapo jumlala wanafunzi 55  walihitimu fani za...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

VYUO VYA KILIMO NCHINI VYATAKIWA KUJIIMARISHA KIMAPATO

Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akiwa ameshika mche bora wa mchikichi aina ya Tenera unaozalishwa katika shamba la Wakala wa Mbegu (ASA) kituo cha Bugaga wilaya ya Kasulu Mkoa wa Kigoma hivi leo.  (Habari na Picha Wizara ya Kilimo) .

Katibu Mkuu Wizara ya Killimo Bw.Gerald Kusaya (aliyevaa suti ya blu ) akiongea na Askari na Maafisa wa JKT Bulombora Kigoma alipotembelea kukagua utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu kuhusu uzalishaji miche bora ya zao la mchikichi.
Katibu ...

 

9 years ago

StarTV

ILO kutoa mafunzo kazini kwa wahitimu wa elimu ya juu kukabiliana na tatizo la ajira

Wakati Tanzania ikikabiliwa na tatizo la ajira kwa vijana, vyuo vingi nchini bado vinatajwa kuwa na upungufu wa kutoa elimu kwa vitendo na kuwafanya vijana wanaomaliza elimu ya juu kushindwa kumudu ushindani katika soko la ajira.

Kutokana na upungufu huo unalisukuma Shirika la Kazi Duniani (ILO) kuanzisha mafunzo ya unagezi wakimaanisha mafunzo kazini.

Mafunzo ya unagezi ni mafunzo yanayotolewa kwa vijana katika maeneo yao ya kazi kwa lengo la kuwajengea uwezo katika kipindi hiki ambacho...

 

11 years ago

Mwananchi

Kampuni ya taka za plastiki kutoa ajira nchini

Kampuni ya kuhuisha (recycling) plastiki ya Kichina inayofanya shughuli zake jijini Dar es Salaam ina mpango wa kutanua shughuli zake kwa kuwekeza zaidi nchini na kuongeza ajira zaidi kwa Watanzania.

 

9 years ago

Dewji Blog

“Hapa Kazi tu’ Sasa Elimu bure kuanza Januari 2016, Mikopo vyuo vikuu kimeeleweka, safari za nje za vigogo stop

k1

  Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akizungumza na Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini jana Ikulu jijini Dar es salaam kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi.

k11

Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli  katika picha ya pamoja Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini jana Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kukutana nao na kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa...

 

10 years ago

Vijimambo

UNESCO WATOA MAFUNZO YA TEHAMA KWA WALIMU WA VYUO VYA UALIMU HAPA NCHINI

 Head of India Tanzania Center of Excellence in ICT (DIT), Dr. Amos Nungu akiwakaribisha wafanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO), wakufunzi pamoja na walimu waliofika kwenye mafunzo ya elimu kwa njia ya mtandao.(Picha zote na Geofrey Adroph wa pamoja blog). Afisa mipango kutoka UNESCO, Bi Faith Shayo akimkaribisha Ofisa anayeshughulikia na masuala ya Elimu Kitaifa wa UNESCO, Tumsifu Mmari (wa kwanza kutoka kushoto) wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uchimbaji, uchakataji magadi soda kutoa fursa za ajira nchini

TANZANIA ni miongoni mwa nchi chache Afrika zilizobarikiwa utajiri wa rasilimali nyingi ambazo ni tegemeo kwa wananchi wake na serikali. Baadhi ya rasilimali tunazojivunia ni misitu, madini na mbuga za...

 

5 years ago

Michuzi

Ummy Mwalimu: Tutandelea kutoa ajira kwa wauguzi nchini

WAMJW - Dar es Salaam

Serikali imesema itaendelea kutoa kipaumbele katika ajira za wauguzi kadri nafasi zitakavyokuwa zikipatikana ili kuboresha huduma za afya nchini.

Kauli hiyo imetolewa leo  na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akizungumza na watumishi wa hospitali ya rufaa ya mkoa ya Mwananyamala katika Maadhimisho ya Siku ya Waguzi Duniani  ambayo huadhimishwa tarehe 12 Mei kila mwaka. Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Wauguzi; Sauti inayoongoza...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tasnia ya filamu nchini yachangia kutoa ajira na kuongeza pato la taifa

B1a

Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Bibi. Joyce Fissoo akielezea namna sekta ya Filamu ilivyo piga hatua hapa nchini wakati wa mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Genofeva Matemu na kushoto ni Afisa Habari wa Idara ya Habari MAELEZO Bi. Fatma Salum.

B2

Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutana wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo...

 

11 years ago

Michuzi

Kampuni ya kuhuisha taka za plastiki ya kichina kutoa ajira zaidi nchini

 Mfanyakazi wa kampuni ya Fusun Investment Co. United akifanyakazi katika moja ya mashine zinazotumika katika usagaji wa chupa chakavu za plastiki kabla ya kusafirishwa nchi za nje. Kampuni hiyo imetoa ajira zaidi ya 300 tangu ilipoanzishwa mwaka 2010, na inampango wa kujitanua katika mikoa mingine Tanzania.  Mfanyakazi wa kampuni ya Fusun Investment Co. United Limited akikusanya chupa chakavu za plastiki kwa ajili ya kuzisaga. Zaidi ya watanzania 300 wanafanyakazi katika kampuni hiyo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani