VYUO VYATAKIWA KUTOA ELIMU KULINGANA NA MAHITAJI YA AJIRA HAPA NCHINI
Na Woinde Shizza, ArushaVIJANA wengi wanaohitimu vyuo hawapati kazi mara tu ya kuhitimu
masomo yao kutokana na kutokuwepo kwa vyanzo vya ajira vinavyokwendasambamba na ongezeko la wahitimu na kuchangia kuwepo kwa wimbi lawahitimu wasiokuwa na ajira nchini.
Hayo yalisemwa na Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya maliasili nautalii ,Selestini Gesimba alipokuwa akizungumza katika mahafali yatano ya Chuo cha Taifa cha Utalii(NCT) ,kampasi ya Arusha ambapo jumlala wanafunzi 55 walihitimu fani za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WcSBrqiYpQs/XrGpj69u-LI/AAAAAAALpQA/yYyxZn9ZgY0S04WnFOkTFSDouMgRV_LIgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_2762-2048x1365.jpg)
VYUO VYA KILIMO NCHINI VYATAKIWA KUJIIMARISHA KIMAPATO
![](https://1.bp.blogspot.com/-WcSBrqiYpQs/XrGpj69u-LI/AAAAAAALpQA/yYyxZn9ZgY0S04WnFOkTFSDouMgRV_LIgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_2762-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2910.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Killimo Bw.Gerald Kusaya (aliyevaa suti ya blu ) akiongea na Askari na Maafisa wa JKT Bulombora Kigoma alipotembelea kukagua utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu kuhusu uzalishaji miche bora ya zao la mchikichi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/DSC_2997.jpg)
Katibu ...
9 years ago
StarTV15 Dec
ILO kutoa mafunzo kazini kwa wahitimu wa elimu ya juu kukabiliana na tatizo la ajira
Wakati Tanzania ikikabiliwa na tatizo la ajira kwa vijana, vyuo vingi nchini bado vinatajwa kuwa na upungufu wa kutoa elimu kwa vitendo na kuwafanya vijana wanaomaliza elimu ya juu kushindwa kumudu ushindani katika soko la ajira.
Kutokana na upungufu huo unalisukuma Shirika la Kazi Duniani (ILO) kuanzisha mafunzo ya unagezi wakimaanisha mafunzo kazini.
Mafunzo ya unagezi ni mafunzo yanayotolewa kwa vijana katika maeneo yao ya kazi kwa lengo la kuwajengea uwezo katika kipindi hiki ambacho...
11 years ago
Mwananchi05 May
Kampuni ya taka za plastiki kutoa ajira nchini
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
“Hapa Kazi tu’ Sasa Elimu bure kuanza Januari 2016, Mikopo vyuo vikuu kimeeleweka, safari za nje za vigogo stop
Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akizungumza na Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini jana Ikulu jijini Dar es salaam kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa kupenda kazi.
Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli katika picha ya pamoja Makatibu Wakuu, Manaibu Katibu Wakuu, Watendaji Wakuu serikalini jana Ikulu jijini Dar es salaam baada ya kukutana nao na kupanga mikakati ya kuendesha serikali kwa weledi, nidhamu na moyo wa...
10 years ago
VijimamboUNESCO WATOA MAFUNZO YA TEHAMA KWA WALIMU WA VYUO VYA UALIMU HAPA NCHINI
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Uchimbaji, uchakataji magadi soda kutoa fursa za ajira nchini
TANZANIA ni miongoni mwa nchi chache Afrika zilizobarikiwa utajiri wa rasilimali nyingi ambazo ni tegemeo kwa wananchi wake na serikali. Baadhi ya rasilimali tunazojivunia ni misitu, madini na mbuga za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JnDAldQkyVU/XrqjlUGOE7I/AAAAAAALp80/v4wUEREwqOAgwQIpv42WFrzHCqbeXvKMgCLcBGAsYHQ/s72-c/798e25e2-e89b-4242-b4ff-d994177dc523.jpg)
Ummy Mwalimu: Tutandelea kutoa ajira kwa wauguzi nchini
Serikali imesema itaendelea kutoa kipaumbele katika ajira za wauguzi kadri nafasi zitakavyokuwa zikipatikana ili kuboresha huduma za afya nchini.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akizungumza na watumishi wa hospitali ya rufaa ya mkoa ya Mwananyamala katika Maadhimisho ya Siku ya Waguzi Duniani ambayo huadhimishwa tarehe 12 Mei kila mwaka. Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Wauguzi; Sauti inayoongoza...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Tasnia ya filamu nchini yachangia kutoa ajira na kuongeza pato la taifa
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Bibi. Joyce Fissoo akielezea namna sekta ya Filamu ilivyo piga hatua hapa nchini wakati wa mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Genofeva Matemu na kushoto ni Afisa Habari wa Idara ya Habari MAELEZO Bi. Fatma Salum.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutana wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bxpT9ozCxic/U2clyoFJi-I/AAAAAAACgRM/LS9tbeNv-UM/s72-c/1.jpg)
Kampuni ya kuhuisha taka za plastiki ya kichina kutoa ajira zaidi nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-bxpT9ozCxic/U2clyoFJi-I/AAAAAAACgRM/LS9tbeNv-UM/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-w6ekISbRIGk/U2cly68jnqI/AAAAAAACgRQ/-uM9yoXzK14/s1600/3.jpg)