Kampuni ya kuhuisha taka za plastiki ya kichina kutoa ajira zaidi nchini
![](http://4.bp.blogspot.com/-bxpT9ozCxic/U2clyoFJi-I/AAAAAAACgRM/LS9tbeNv-UM/s72-c/1.jpg)
Mfanyakazi wa kampuni ya Fusun Investment Co. United akifanyakazi katika moja ya mashine zinazotumika katika usagaji wa chupa chakavu za plastiki kabla ya kusafirishwa nchi za nje. Kampuni hiyo imetoa ajira zaidi ya 300 tangu ilipoanzishwa mwaka 2010, na inampango wa kujitanua katika mikoa mingine Tanzania.
Mfanyakazi wa kampuni ya Fusun Investment Co. United Limited akikusanya chupa chakavu za plastiki kwa ajili ya kuzisaga. Zaidi ya watanzania 300 wanafanyakazi katika kampuni hiyo ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 May
Kampuni ya taka za plastiki kutoa ajira nchini
9 years ago
Mwananchi28 Dec
ACT yashauri taka zizalishe ajira nchini
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MdcTyrV9dVw/XqKZAO_gsEI/AAAAAAAC310/Te1brv3QwO8elZyPeRxHyLeR9LNC19cTACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
SERIKALI KUTOA AJIRA ZAIDI YA 4000 KWA POLISI, MAGEREZA, UHAMIAJI NA ZIMAMOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-MdcTyrV9dVw/XqKZAO_gsEI/AAAAAAAC310/Te1brv3QwO8elZyPeRxHyLeR9LNC19cTACLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Serikali Kutoa Ajira Zaidi ya 4000 kwa Polisi, Magereza, Uhamiaji, ZimamotoAkiwasilisha makadirio ya bajeti ya mwaka 2020/21, Waziri wa wizara hiyo, George Simbachawene, alisema ajira hizo zitakwenda pamoja na mafunzo mbalimbali kwa askari na watumishi mbalimbali.
Alisema kwa mwaka huo, Jeshi la Polisi linatarajia kuajiri askari 2,725, askari Magereza 685, Uhamiaji 495 na Zimamoto...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JnDAldQkyVU/XrqjlUGOE7I/AAAAAAALp80/v4wUEREwqOAgwQIpv42WFrzHCqbeXvKMgCLcBGAsYHQ/s72-c/798e25e2-e89b-4242-b4ff-d994177dc523.jpg)
Ummy Mwalimu: Tutandelea kutoa ajira kwa wauguzi nchini
Serikali imesema itaendelea kutoa kipaumbele katika ajira za wauguzi kadri nafasi zitakavyokuwa zikipatikana ili kuboresha huduma za afya nchini.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu wakati akizungumza na watumishi wa hospitali ya rufaa ya mkoa ya Mwananyamala katika Maadhimisho ya Siku ya Waguzi Duniani ambayo huadhimishwa tarehe 12 Mei kila mwaka. Kauli mbiu ya mwaka huu ni “Wauguzi; Sauti inayoongoza...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
Uchimbaji, uchakataji magadi soda kutoa fursa za ajira nchini
TANZANIA ni miongoni mwa nchi chache Afrika zilizobarikiwa utajiri wa rasilimali nyingi ambazo ni tegemeo kwa wananchi wake na serikali. Baadhi ya rasilimali tunazojivunia ni misitu, madini na mbuga za...
10 years ago
Michuzi15 Jul
VYUO VYATAKIWA KUTOA ELIMU KULINGANA NA MAHITAJI YA AJIRA HAPA NCHINI
![](http://www.tourismcollege.go.tz/images/slides/nct_01.jpg)
masomo yao kutokana na kutokuwepo kwa vyanzo vya ajira vinavyokwendasambamba na ongezeko la wahitimu na kuchangia kuwepo kwa wimbi lawahitimu wasiokuwa na ajira nchini.
Hayo yalisemwa na Naibu Katibu Mkuu wa wizara ya maliasili nautalii ,Selestini Gesimba alipokuwa akizungumza katika mahafali yatano ya Chuo cha Taifa cha Utalii(NCT) ,kampasi ya Arusha ambapo jumlala wanafunzi 55 walihitimu fani za...
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Tasnia ya filamu nchini yachangia kutoa ajira na kuongeza pato la taifa
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Bibi. Joyce Fissoo akielezea namna sekta ya Filamu ilivyo piga hatua hapa nchini wakati wa mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Genofeva Matemu na kushoto ni Afisa Habari wa Idara ya Habari MAELEZO Bi. Fatma Salum.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutana wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo...
10 years ago
Habarileo21 Dec
Ajali yaua wafanyakazi wawili wa kampuni ya Kichina
WATU wawili wamekufa baada gari waliyokuwa wakisafiria aina ya kenta T 564 BYW kupinduka. Gari hilo lilikuwa limebeba wafanyakazi 27 wa kampuni ya wachina Project inayotengeneza barabara ya Kigwa hadi Nyahuwa mkoani Tabora.
10 years ago
VijimamboJOKATE KIDOTI ASAINI MKATABA WA SH. BILIONI 8.5 NA KAMPUNI YA KICHINA