Tasnia ya filamu nchini yachangia kutoa ajira na kuongeza pato la taifa
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Bibi. Joyce Fissoo akielezea namna sekta ya Filamu ilivyo piga hatua hapa nchini wakati wa mkutano na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam.Kulia ni Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Genofeva Matemu na kushoto ni Afisa Habari wa Idara ya Habari MAELEZO Bi. Fatma Salum.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutana wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo13 Sep
Intaneti kuongeza pato la taifa
MATUMIZI makubwa ya mtandao wa kompyuta (intaneti) yatasaidia ongezeko la pato la taifa (GDP). Hayo yameelezwa katika jukwaa la wadau wa mtandao wa intaneti (IGF) lililofanyika mwishoni mwa wiki.
10 years ago
VijimamboWADAU WA FILAMU WAKUTANA NA KUJADILI MAENDELEO YA TASNIA YA FILAMU NCHINI.
11 years ago
Michuzi.jpg)
Shirikikisho la Wasanii wa Filamu Tanzania lawasilisha maoni ya utafiti wa tasnia ya filamu nchini
.jpg)
.jpg)
9 years ago
Bongo Movies27 Dec
Chilwa Kutoa Upapa Kula Dagaa Katika Tasnia ya Filamu
TUPO katika mchakato wa uchaguzi wa vyama vinavyounda shirikisho la filamu Tanzania (TAFF) tukiangazia uchaguzi wa chama cha waigizaji Taifa TDFAA huku kila mgombea akijinadi kwa madaha na leo hii FC iliongea na Salum Hussein Chilwa akiitaka nafasi hiyo na kumwaga sera zake kwa wapiga kura wake.

Salum Chilwa akiwa kazini
Chilwa ambaye alikuwa makamu mwenyekiti wa chama cha Waigizaji Kinondoni anasema anatosha kugombea uenyekiti Taifa kwania ana uzoefu mkubwa na anakuja kwa ajili ya...
10 years ago
Bongo Movies10 Dec
MJADALA: Mapinduzi ya Tasnia ya Filamu Nchini Tanzania
ZAMARADI MKETEMA ameandika sehemu....
“…Natamani sana siku moja atokee mtu kwenye hii sekta atutambulishe hata kama sio kimataifa basi africa tu. R.I.P KANUMBA alianza kuonesha mwangaza na juhudi binafsi zilionekana na kila mtu aliona huenda angefika mbali.. lakini baada ya hapo sioni tena!!!!
Mbona hapa nyumbani ni wakubwa tu..? Nini kinawakwamisha..? Kwanini wasanii wetu wa filamu ukubwa wao unaishia nyumbani tu....!!? Tatizo ni nini!!!????? kiukweli ni kama inakatisha tamaa na inaonekana...
10 years ago
Vijimambo
Mchango wa Proin Promotions ltd katika Kukuza tasnia ya filamu Nchini
