Ukitupa taka Ilala, faini Sh50,000
Halmashauri ya Manispaa ya Ilala imesema itawachukulia hatua watu wote wanaotupa takataka ovyo kwa kuwatoza faini ya Sh50,000 kwa kosa hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Watozwa Sh50,000 kwa kutupa taka ovyo
9 years ago
Mwananchi10 Dec
Wakuu wa mikoa wacharuka, faini ya Sh50,000
11 years ago
Mwananchi14 May
Usiombee kuugua dengue, kipimo Sh50,000
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whu7RSvDwY3437XSK8V6HaCXmO11F9-OSnjq-mN**QYT9*VXkNDiMGWnOsRHeXdp15PZq6k-ICeVe8mOpRgWi-ZI3Au-pfl*/TAMBWE.jpg?width=650)
Tambwe apigwa faini Sh 500,000
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Faini ya Sh10,000 ya ngono ni dhihaka
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Kangezi afungiwa miezi sita, faini Sh200,000
9 years ago
Bongo503 Nov
Mourinho afungiwa mechi moja na kutozwa faini ya pound 40,000
![2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025-300x194.jpg)
Shirikisho la soka Uingereza FA limempa adhabu meneja wa Chelsea, Jose Mourinho baada ya kupatikana na hatia ya kosa la utovu wa nidhamu.
Kocha huyo amefungiwa mechi moja na FA na kutozwa faini ya pound 40,000 kwa kosa alilofanya katika mechi aliyopoteza dhidi ya West Ham United.
Kosa hilo linakuja kutokana na Mourinho kukiri kosa la kutumia lugha isiyokubalika walipo fungwa na West Ham tarehe 24 mwezi uliopita. Sasa ataikosa mechi ya Ligi jumamosi labda labda akikata rufaa.
Wiki hii...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
CHID BENZ ALIPA FAINI 900,000/=, AACHIWA HURU NA MAHAKAMA
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Chuo Kikuu Ardhi kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka na taka ngumu
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ardhi Prof. Idrissa Mshoro akiwaeleza waandishi wa habari (Hawapo pichani) kuhusu mpango wa chuo hicho wa kuendelea na jitihada za kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka na tanga ngumu ikiwemo ujengaji wa miundombinu ya majaribio ya teknolojia za kibiolojia zinazobadili tanga ngumu au maji taka ambayo huzalishwa majumbani kuwa mboji na gesi asili ya kupikia, wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo...