Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Faini ya Sh10,000 ya ngono ni dhihaka

Ni usiku na giza limetanda. Nakatiza mitaa ya Buguruni Madenge na Malapa jijini Dar es Salaam, nashuhudia wanawake wamejilaza kwenye vibaraza, mbele ya nyumba zao wakitumia mwanga wa vibatari.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Economist calls for note higher than Sh10,000

It is time the Bank of Tanzania issues currencies of higher denominations than Sh10,000 for security reasons and to make transactions easier, an economist has suggested.

 

11 years ago

Mwananchi

Mchina kizimbani kwa kuchana noti ya Sh10,000

>Raia wa China ambaye ni meneja uzalishaji katika kampuni ya ujenzi  Shen Hai,46, amepandishwa kizimbani kwa kosa la kuchana noti ya shilingi 10,000 ambayo ni mali ya Serikali ya Tanzania.

 

9 years ago

TheCitizen

CANDID TALK : Day my bladders cost me a cool Sh10,000

Sometimes, I think that most Uswaz men ought to earn esteemed tittle minister for “Wetlands and Irrigation”. This is because of our penchant for playing God by raining on anything within our sight. If the “Passport Size Latrines” happen to be far away, and our bladders threaten to do balloon-bursts, we don’t shy from wetting anything in our sight; walls, trees, protected parks and so forth.

 

11 years ago

GPL

Tambwe apigwa faini Sh 500,000

Mshambuliaji wa kimataifa wa Simba, Amissi Tambwe. Omary Mdose na Martha Mboma
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Amissi Tambwe, amepigwa faini ya Sh laki tano kwa kosa la kushangilia bao huku akionyesha kidole katika mchezo wao dhidi ya  Mbeya City lakini klabu yake imepigwa faini ya Sh milioni moja baada ya makocha wake kuingia uwanjani na kuwazonga waamuzi katika mechi hiyo pamoja na kuwepo kwa vitendo vilivyoashiria...

 

9 years ago

Mwananchi

Ukitupa taka Ilala, faini Sh50,000

Halmashauri ya Manispaa ya Ilala imesema itawachukulia hatua watu wote wanaotupa takataka ovyo kwa kuwatoza faini ya Sh50,000 kwa kosa hilo.

 

9 years ago

Mwananchi

Wakuu wa mikoa wacharuka, faini ya Sh50,000

Mikoa mbalimbali nchini imeazimia kuwatoza  faini watu wote watu watakaobainika wakitupa taka ovyo ili kupambana na uchafuzi wa mazingira.

 

10 years ago

Habarileo

Wasichana wauza ngono Sh.2,000/-

NGUVUKAZI ya vijana na wanawake katika wilaya ya Mwanga, ipo mbioni kupotea kufuatia kuibuka kwa vijana na wasichana, wanaouza ngono katika vilabu vya pombe kwa wastani wa Sh 2,000 hadi 3,000.

 

10 years ago

Mwananchi

Kangezi afungiwa miezi sita, faini Sh200,000

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imemfungia miezi sita kutojihusisha na masuala ya soka na faini ya Sh200,000 mmiliki wa klabu ya African Lyon, Rahim Kangezi kutokana na utovu wa nidhamu.

 

9 years ago

Bongo5

Mourinho afungiwa mechi moja na kutozwa faini ya pound 40,000

2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025

Shirikisho la soka Uingereza FA limempa adhabu meneja wa Chelsea, Jose Mourinho baada ya kupatikana na hatia ya kosa la utovu wa nidhamu.

2E07D6C000000578-0-image-a-12_1446460168025

Kocha huyo amefungiwa mechi moja na FA na kutozwa faini ya pound 40,000 kwa kosa alilofanya katika mechi aliyopoteza dhidi ya West Ham United.

Kosa hilo linakuja kutokana na Mourinho kukiri kosa la kutumia lugha isiyokubalika walipo fungwa na West Ham tarehe 24 mwezi uliopita. Sasa ataikosa mechi ya Ligi jumamosi labda labda akikata rufaa.

Wiki hii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani