Mwenyekiti wa kijiji Rorya mbaroni wizi wa ng’ombe
JESHI la Polisi Rorya linamshikilia Mwenyekiti wa Kijiji cha Marasibora, Kata ya Kisumwa, Sproza Charles, kwa tuhuma za wizi wa ng’ombe watatu wa ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Elias Goroi na suluhu ya vita ya koo, wizi wa mifugo Rorya
WILAYA ya Rorya iliyopo mkoani Mara ni miongoni mwa wilaya mpya hapa nchini ambayo pamoja na mambo mengine imekuwa ikisifika kwa baadhi ya wananchi wake kushiriki katika matukio ya ugomvi...
11 years ago
Mwananchi11 Jun
Watu wanne wakamatwa wizi wa ng’ombe
9 years ago
Habarileo16 Dec
Wafugaji wakimbia kijiji alikouawa mtu, ng’ombe 71
WAFUGAJI waliovamia maeneo ya wakulima katika kijiji cha Dihinda wilayani Mvomero mkoani Mogorogo na kusababisha mapigano yaliyoua mkulima na ng’ombe 71, wamekimbia kijijini hapo na kutokomea kusikojulikana.
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Watuhumiwa wizi wa mtandao mbaroni
JESHI la Polisi Kanda Maalumu jijini Dar es Salaam limewakamata watu wawili wanaojihusisha na mtandao wa uhalifu kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano (IT). Watuhumiwa hao Edison Mbekya (27), mkazi wa...
10 years ago
Mwananchi18 Aug
Viongozi wa kijiji Bashnet mbaroni
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Askari magereza mbaroni kwa wizi
JESHI la Polisi Zanzibar linamshikilia askari wa Chuo cha Mafunzo sawa na Magereza kwa Tanzania Bara kwa tuhuma za wizi wa sh 1,635,000 alizoiba kutoka katika duka moja lililopo eneo...
9 years ago
Mtanzania01 Dec
Watumishi 12 mbaroni wizi wa kontena bandarini
Jonas Mushi na Ruth Mnkeni, Dar es salaam
JESHI la Polisi limewakamata watumishi 12 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuwachunguza kuhusu wizi na utoroshaji wa makontena 329 katika bandari ya Dar es Salaam.
Saba kati yao wanatoka TRA ambao walisimamishwa kazi na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
Wengine wanatoka taasisi nyingine za serikali ambazo polisi hawakutaka kuzitaja hadi wakamilishe uchunguzi dhidi yao.
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Diwani Athumani alisema jana...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Mbaroni kwa wizi wa kutumia silaha
JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga linawashikilia watu nane kwa tuhuma za unyang’anyi wa sh 978,600 kwa kutumia silaha katika Kijiji cha Jasini mpakani mwa Kenya na Tanzania. Akithibitisha kutokea...
10 years ago
Habarileo05 Jun
Wakenya 4 mbaroni kwa wizi wa magari
POLISI Mkoa wa Kilimanjaro, inawashikilia wezi wanne wa magari akiwamo mwanamke mmoja wote raia wa Kenya, kwa tuhuma za wizi wa gari na kutaka kulificha nchini Tanzania.