Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwenyekiti wa kijiji Rorya mbaroni wizi wa ng’ombe

JESHI la Polisi Rorya linamshikilia Mwenyekiti wa Kijiji cha Marasibora, Kata ya Kisumwa, Sproza Charles, kwa tuhuma za wizi wa ng’ombe watatu wa ofisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Elias Goroi na suluhu ya vita ya koo, wizi wa mifugo Rorya

WILAYA ya Rorya iliyopo mkoani Mara ni miongoni mwa wilaya mpya hapa nchini ambayo pamoja na mambo mengine imekuwa ikisifika kwa baadhi ya wananchi wake kushiriki katika matukio ya ugomvi...

 

11 years ago

Mwananchi

Watu wanne wakamatwa wizi wa ng’ombe

Polisi inawashikilia watuhumiwa watatu kwa madai ya kuhusika na wizi wa ng’ombe 15, ambao waliibwa wilayani Misungwi mkoani hapa usiku wa Mei 9.

 

9 years ago

Habarileo

Wafugaji wakimbia kijiji alikouawa mtu, ng’ombe 71

WAFUGAJI waliovamia maeneo ya wakulima katika kijiji cha Dihinda wilayani Mvomero mkoani Mogorogo na kusababisha mapigano yaliyoua mkulima na ng’ombe 71, wamekimbia kijijini hapo na kutokomea kusikojulikana.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watuhumiwa wizi wa mtandao mbaroni

JESHI la Polisi Kanda Maalumu jijini Dar es Salaam limewakamata watu wawili wanaojihusisha na mtandao wa uhalifu kwa kutumia teknolojia ya mawasiliano (IT). Watuhumiwa hao Edison Mbekya (27), mkazi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wa kijiji Bashnet mbaroni

Polisi mkoani Manyara wanawashikilia watu watatu wakazi wa Wilaya ya Babati, akiwemo Diwani wa Kata ya Bashnet (Chadema), kwa madai ya kufanya uchochezi na kufunga ofisi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Tawi la Bashneti ili itumike kama ofisi ya kijiji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askari magereza mbaroni kwa wizi

JESHI la Polisi Zanzibar linamshikilia askari wa Chuo cha Mafunzo sawa na Magereza kwa Tanzania Bara kwa tuhuma za wizi wa sh 1,635,000 alizoiba kutoka katika duka moja lililopo eneo...

 

9 years ago

Mtanzania

Watumishi 12 mbaroni wizi wa kontena bandarini

DSC00351Jonas Mushi na Ruth Mnkeni, Dar es salaam

JESHI la Polisi   limewakamata watumishi 12 wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuwachunguza kuhusu   wizi na utoroshaji wa makontena 329 katika bandari ya Dar es Salaam.

Saba kati yao wanatoka TRA ambao walisimamishwa kazi na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

Wengine wanatoka taasisi nyingine za serikali ambazo polisi hawakutaka kuzitaja   hadi wakamilishe uchunguzi dhidi yao.

Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai,   Diwani Athumani alisema jana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni kwa wizi wa kutumia silaha

JESHI la Polisi Mkoa wa Tanga linawashikilia watu nane kwa tuhuma za unyang’anyi wa sh 978,600 kwa kutumia silaha katika Kijiji cha Jasini mpakani mwa Kenya na Tanzania. Akithibitisha kutokea...

 

10 years ago

Habarileo

Wakenya 4 mbaroni kwa wizi wa magari

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro, Fulgence NgonyaniPOLISI Mkoa wa Kilimanjaro, inawashikilia wezi wanne wa magari akiwamo mwanamke mmoja wote raia wa Kenya, kwa tuhuma za wizi wa gari na kutaka kulificha nchini Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani