Majangili yaua Faru Serengeti
Wizara ya Maliasili na Utalii, imetuma kikosi maalumu cha askari 20, ili kuongeza nguvu ya kuwasaka majangili walioua faru na kuchukua pembe zake, usiku wa kuamkia jana katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo4N1RT-Ep-qZSZXHft8OKKTJ2H4VuwJmGpkOYy8Vw18agp-59sjgzISmBSpQOHROryKfD2IKX3ihFmde68X3jQG/MAJANGIRI1.jpg)
MAJANGILI WANASWA HIFADHI YA TAIFA SERENGETI
11 years ago
Mwananchi05 Jul
RIPOTI MAALUM: Magugu ya ajabu yashambulia Hifadhi Serengeti, yaua misitu
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xaArJC39MKc/Uvt-1sVgfdI/AAAAAAACams/rANa0fea9rU/s72-c/1st+draw+......pic+...5jpg.jpg)
KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAENDESHA DROO YA KWANZA YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-xaArJC39MKc/Uvt-1sVgfdI/AAAAAAACams/rANa0fea9rU/s1600/1st+draw+......pic+...5jpg.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fmUXTOHXw5A/Uvt-zwpBKpI/AAAAAAACamg/DNeO9tpxvSE/s1600/1st+draw+......pic+...3jpg.jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Nov
Serengeti yatoa zawadi ya Limo Bajaj kwa mshindi wa kwanza wa promosheni ya “Tutoke na Serengeti”
Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea na waandishi wa habari hawapo Pichani, wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya Tutoke na Serengeti, ambapo Bi.Rukia Athuman Almas toka Kihonda-Morogoro ameibuka mshindi wa kwanza na kujinyakulia Limo Bajaji mpya yenye thamani ya tsh milioni tisa, kushoto ni mkaguzi toka bodi ya Michezo ya bahati nasibu.
Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea kwa njia ya simu ya mkononi na Rukia Athuman Almas ambaye ni mshindi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hW8GKazRufc/U1A3iq5WAaI/AAAAAAACfFw/Y9GDYO0Wrr4/s72-c/DSC_0801+(2).jpg)
KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YACHEZESHA DROO YAKE YA KUMI YA WINDA SAFARI YA BRAZILI NA SERENGETI
![](http://3.bp.blogspot.com/-hW8GKazRufc/U1A3iq5WAaI/AAAAAAACfFw/Y9GDYO0Wrr4/s1600/DSC_0801+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-t20HPVs48k4/U1A4NchFkqI/AAAAAAACfGk/OqZ8UAD3Aik/s1600/DSC_0783+(3).jpg)
9 years ago
Dewji Blog23 Oct
Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) yahitimisha kampeni ya “Serengeti Masta” kwa kishindo jijini Dar
Mshiriki wa shindano la mwisho la kumtafuta Serengeti Masta kwa wilaya ya Temeke Emmanuel Nyaulingo (kulia) akipokea zawadi ya fulana kabla ya shindano hilo kuanza rasmi ambalo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika baa ya Kisuma iliyopo Temeke jijini Dar es salaam. (kushoto) ni balozi wa bia ya Serengeti Premium Lager Caroline Vincent na anayeshudia (katikati) ni mshereheshaji wa shindano hilo Richard Godwin. Kampeni hiyo inafikia tamati jijini Dar es salaam baada ya kumalizika mikoani pia...
10 years ago
Dewji Blog02 Apr
Mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa Mbugani” wa kampeni ya Tutoke na Serengeti akila bata ndani ya hifadhi ya Serengeti
Mshindi wa mwisho wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Gabriel Robert Moriale (Kulia) akiwa na kaka yake Bw.Joshua Robert Moriale (Kushoto) walipowasili mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro jijini Arusha tayari kwa kuanza safari ya kwenda Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kukamilisha mtoko wao wa siku tatu ndani ya hifadhi hiyo. Robert aliibuka mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa mbugani” baada ya kushiriki kwenye kampeni ya “Tutoke na Serengeti” iliyoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti kwa...