Serikali yakwaa kisiki Hifadhi ya Serengeti
>Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), imeizuia Serikali ya Tanzania kujenga barabara ya lami kupitia Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, ikieleza kuwa ujenzi huo utaathiri mazingira, maisha ya wanyamawwpori na baoanuai ya hifadhi hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Serikali yakwaa kisiki kuizuia TLS mahakamani
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
Simba yakwaa kisiki Zanzibar
KLABU ya Simba imeshindwa kucheza mechi ya kirafiki wiki hii visiwani Zanzibar baada ya kukosa timu yenye ubora kwa ajili ya kupima kikosi chake.
Rais wa Simba, Evans Aveva, alisema jana kuwa kocha wao, Dylan Kerr, alitaka kucheza mchezo wa kirafiki mwishoni mwa wiki hii, imeshindikana baada ya kukosa timu nzuri ya kucheza nayo.
“Unajua timu nyingi zipo hapa Dar es Salaam zinashiriki michuano ya Kagame, na timu ambayo tulikua tunategemea kucheza nao ni KMKM ndio kidogo ingetupa...
10 years ago
BBCSwahili21 Oct
Man United yakwaa kisiki
10 years ago
Dewji Blog02 Apr
Mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa Mbugani” wa kampeni ya Tutoke na Serengeti akila bata ndani ya hifadhi ya Serengeti
Mshindi wa mwisho wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Gabriel Robert Moriale (Kulia) akiwa na kaka yake Bw.Joshua Robert Moriale (Kushoto) walipowasili mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro jijini Arusha tayari kwa kuanza safari ya kwenda Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kukamilisha mtoko wao wa siku tatu ndani ya hifadhi hiyo. Robert aliibuka mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa mbugani” baada ya kushiriki kwenye kampeni ya “Tutoke na Serengeti” iliyoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti kwa...
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Tembo auawa hifadhi ya Serengeti
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo4N1RT-Ep-qZSZXHft8OKKTJ2H4VuwJmGpkOYy8Vw18agp-59sjgzISmBSpQOHROryKfD2IKX3ihFmde68X3jQG/MAJANGIRI1.jpg)
MAJANGILI WANASWA HIFADHI YA TAIFA SERENGETI
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Watalii bilionea watembelea Hifadhi ya Serengeti
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Mshindi wa pili “Mtoko wa Mbugani” akivinjari ndani ya hifadhi ya Serengeti
Mshindi wa pili wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Deogratias Peter Mbogole (kushoto) akiwa na rafiki yake Goodluck Shirima(kulia) ndani ya hifadhi ya taifa ya Serengeti kukamilisha mtoko wao wa siku mbili ndani ya hifadhi hiyo…Hapa ni Tarangire river view waliposimama kujionea kundi kubwa la tembo wakivuka barabara. Deo aliibuka mshindi mara baada ya kushiriki kwenye shindano linaloendelea la “Tutoke na Serengeti” linaloendeshwa na SBL kwa ushirikino na BPESA.
Mshindi wa mtoko wa...
11 years ago
MichuziMVUA YAHARIBU SEHEMU YA BARABARA KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA SERENGETI