Tembo auawa hifadhi ya Serengeti
Pamoja na jitihada za Serikali katika kukabiliana na ujangili, tembo mmoja ameuawa katika Hifadhi ya Serengeti.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Apr
Mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa Mbugani” wa kampeni ya Tutoke na Serengeti akila bata ndani ya hifadhi ya Serengeti
Mshindi wa mwisho wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Gabriel Robert Moriale (Kulia) akiwa na kaka yake Bw.Joshua Robert Moriale (Kushoto) walipowasili mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro jijini Arusha tayari kwa kuanza safari ya kwenda Hifadhi ya Taifa ya Serengeti kukamilisha mtoko wao wa siku tatu ndani ya hifadhi hiyo. Robert aliibuka mshindi wa mwisho wa “Mtoko wa mbugani” baada ya kushiriki kwenye kampeni ya “Tutoke na Serengeti” iliyoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti kwa...
11 years ago
Habarileo27 Jun
Serengeti yapoteza tembo 87 kwa miaka 5
WAKATI Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) na wadau wa uhifadhi wakitafuta mbinu za kuzuia mauaji ya tembo yanayoendelea kwenye hifadhi mbalimbali nchini, zaidi ya tembo 87 wameuawa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita kwenye Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pgHCO1djFo4N1RT-Ep-qZSZXHft8OKKTJ2H4VuwJmGpkOYy8Vw18agp-59sjgzISmBSpQOHROryKfD2IKX3ihFmde68X3jQG/MAJANGIRI1.jpg)
MAJANGILI WANASWA HIFADHI YA TAIFA SERENGETI
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Watalii bilionea watembelea Hifadhi ya Serengeti
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Serikali yakwaa kisiki Hifadhi ya Serengeti
9 years ago
StarTV04 Dec
Tembo 7,500 kati ya 12,000 waliotoweka warejea katika  hifadhi  ya Ruaha-Rungwa
Tembo 7,500 kati ya 12,000 walioripotiwa kutoweka katika mazingira ya kutatanisha kwenye uwanda wa eneo la uhifadhi Ruaha-Rungwa Nyanda za Juu Kusini wamerejea tena kwenye eneo hilo.
Kurudi kwa wanyama hao waliodaiwa kupotea kwa wingi kutoka eneo hilo, ndani ya kipindi cha mwaka mmoja kumebainika katika matokeo ya sensa mpya ya wanyamapori iliyofanyika Ruaha-Rungwa wiki chache zilizopita.
Matokeo ya sensa mpya ya Septemba-Novemba mwaka huu yametangazwa rasmi jijini hapa na Katibu Mkuu wa...
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Kiongozi wa NCCR auawa Serengeti
10 years ago
Dewji Blog30 Jan
Mshindi wa pili “Mtoko wa Mbugani” akivinjari ndani ya hifadhi ya Serengeti
Mshindi wa pili wa shindano la “Tutoke na Serengeti” Bw.Deogratias Peter Mbogole (kushoto) akiwa na rafiki yake Goodluck Shirima(kulia) ndani ya hifadhi ya taifa ya Serengeti kukamilisha mtoko wao wa siku mbili ndani ya hifadhi hiyo…Hapa ni Tarangire river view waliposimama kujionea kundi kubwa la tembo wakivuka barabara. Deo aliibuka mshindi mara baada ya kushiriki kwenye shindano linaloendelea la “Tutoke na Serengeti” linaloendeshwa na SBL kwa ushirikino na BPESA.
Mshindi wa mtoko wa...
11 years ago
MichuziMVUA YAHARIBU SEHEMU YA BARABARA KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA SERENGETI