Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kiongozi wa NCCR auawa Serengeti

>Kamishna wa NCCR-Mageuzi Mkoa wa Mara, Stephen Sebeki ameuawa kwa kukatwakatwa mapanga na mtu anayedaiwa kuwa ni hawara wa shemeji yake, chanzo kikidaiwa kuwa ni mgogoro wa nyasi za kuezekea.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

NCCR Mageuzi itaikomboa Serengeti — Mosena

KATIBU mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi Mosena Nyambabe amejiandaa kugombea Jimbo la Serengeti katika Uchaguzi Mkuu Oktoba.  Pamoja na changamoto zinazowakabili baadhi ya wabunge baada ya kupata ridhaa, Mosema amesema anakwenda Serengeti kuwa mtendaji. Fuatana na mwandishi wetu MARY VICTOR katika makala haya.

Raia Tanzania: Kabla ya kuendelea jitambulishe kwa msomaji wetu?

Mosena: Naitwa Mosena Nyambabe, ni Katibu Mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi. Natangaza kuomba ridhaa ya kuwa mbunge...

 

11 years ago

Mwananchi

Tembo auawa hifadhi ya Serengeti

Pamoja na jitihada za Serikali katika kukabiliana na ujangili, tembo mmoja ameuawa katika Hifadhi ya Serengeti.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani auawa Burundi

Kiongozi wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani auawa Urusi

Mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Urusi Boris Nemtsov ameuawa kwa kupigwa risasi kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Moscow.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al-Qaeda auawa Pakistan

Kiongozi mwandamizi wa kundi la Al Qaeda anayeshukiwa kupanga kulipuwa treni mijini New York na London ameuawa nchini Pakistan

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al shabab auawa Somalia

Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema imethibitisha kuwa shambulio la ndege la wiki iliyopita nchini Somalia dhidi ya Al Shabab.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al Shabaab auawa Somalia

Kongozi mmoja wa kundi la Al Shabaab Abdirahman Sandhere ameuawa katika shambulizi la ndege ya Marekani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al Qaeda nchini Yemen auawa

Tawi la kundi la Al Qaeda nchini Yemen limethibitisha kuuawa kwa kiongozi wake na ndege isiyokuwa na rubani ya Marekani

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa dini auawa nchi Kenya

Watu wasiojulikani kwenye mji wa pwani nchini Kenya ,Mombasa wamemuua kwa kumpiga risasi kiongozi mashuhuri wa dini ya kislamu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani