Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serengeti yapoteza tembo 87 kwa miaka 5

WAKATI Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) na wadau wa uhifadhi wakitafuta mbinu za kuzuia mauaji ya tembo yanayoendelea kwenye hifadhi mbalimbali nchini, zaidi ya tembo 87 wameuawa katika kipindi cha miaka mitano iliyopita kwenye Hifadhi ya Taifa ya Serengeti.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Watupwa jela miaka 20 kwa meno ya tembo

WAKAZI wawili wa Dar es Salaam, wamehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela au kulipa faini ya Sh milioni tano kila mmoja, baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na meno ya tembo.

 

11 years ago

Habarileo

Wachina jela miaka 5 kwa meno ya tembo

RAIA wawili wa China wamehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela au kulipa faini ya Sh milioni moja baada ya kukutwa wakisafirisha meno ya tembo. Qui Wu (30) na Zou Zhihong (51) ambao walikutwa na meno ya tembo, zilizotengenezwa kama bangili na kinyago.

 

9 years ago

Mwananchi

Ujangili wapoteza asilimia 67 ya tembo kwa miaka minne

Tanzania ni nchi ya kwanza Afrika kuadhimisha Siku ya Tembo Duniani, ambayo huadhimishwa Septemba 22 ya kila mwaka, mwaka huu yakitimiza miaka 15 .

 

9 years ago

Mtanzania

Jela miaka saba kwa kukamatwa na shanga za meno ya Tembo

FARAJA MASINDE NA GODFREY MBANILE (GPC), DAR ES SALAAM

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, imemhukumu kwenda jela miaka saba sambamba na kulipa faini ya Sh milioni 20, Feng Quan (38), raia wa China, baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na goroli 767 za shanga zilizotengenezwa kwa meno ya tembo yenye thamani ya Sh milioni 5.8 ambayo ni nyara za serikali.

Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi, John Msafiri, baada ya mtuhumiwa kukutwa na hatia ya kutumia nyara hizo zenye...

 

10 years ago

Mwananchi

Tembo auawa hifadhi ya Serengeti

Pamoja na jitihada za Serikali katika kukabiliana na ujangili, tembo mmoja ameuawa katika Hifadhi ya Serengeti.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serengeti yatoa zawadi ya Limo Bajaj kwa mshindi wa kwanza wa promosheni ya “Tutoke na Serengeti”

4

Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea na waandishi wa habari hawapo Pichani, wakati wa kuchezesha droo ya kwanza ya Tutoke na Serengeti, ambapo Bi.Rukia Athuman Almas toka Kihonda-Morogoro ameibuka mshindi wa kwanza na kujinyakulia Limo Bajaji mpya yenye thamani ya tsh milioni tisa, kushoto ni mkaguzi toka bodi ya Michezo ya bahati nasibu.

2

Meneja wa Bia ya Serengeti, Rugambo Rodney (kulia) akiongea kwa njia ya simu ya mkononi na   Rukia Athuman Almas ambaye ni mshindi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) yahitimisha kampeni ya “Serengeti Masta” kwa kishindo jijini Dar

CAMPIX PRODUCTION

Mshiriki wa shindano la mwisho la kumtafuta Serengeti Masta kwa wilaya ya Temeke Emmanuel Nyaulingo (kulia) akipokea zawadi ya fulana kabla ya shindano hilo kuanza rasmi ambalo lililofanyika mwishoni mwa wiki katika baa ya Kisuma iliyopo Temeke jijini Dar es salaam. (kushoto) ni balozi wa bia ya Serengeti Premium Lager Caroline Vincent na anayeshudia (katikati) ni mshereheshaji wa shindano hilo Richard Godwin. Kampeni hiyo inafikia tamati jijini Dar es salaam baada ya kumalizika mikoani pia...

 

10 years ago

Bongo5

City of Tshwane yapoteza tshs bilioni 8.9 kwa kufutwa kwa tamasha la TribeOne

Rand milioni 65 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 8.9 za Tanzania za manispaa ya City of Tshwane zimepotea kutokana na kufutwa kwa tamasha la TribeOne ambalo Nicki Minaj na wasanii wengine walikuwa watumbuize. Gazeti la City Press limeripoti kuwa rand milioni 10 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 1.4 alizolipwa Nicki Minaj ambazo hazitarejeshwa […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani