Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


City of Tshwane yapoteza tshs bilioni 8.9 kwa kufutwa kwa tamasha la TribeOne

Rand milioni 65 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 8.9 za Tanzania za manispaa ya City of Tshwane zimepotea kutokana na kufutwa kwa tamasha la TribeOne ambalo Nicki Minaj na wasanii wengine walikuwa watumbuize. Gazeti la City Press limeripoti kuwa rand milioni 10 ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni 1.4 alizolipwa Nicki Minaj ambazo hazitarejeshwa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

23 Days Left: Nicki Minaj to headline Africa’s biggest music festival, ‘Tribeone Dinokeng’ in Tshwane, SA

Days are moving fast and it’s just 23 days left before Africa’s biggest music festival, ‘Tribeone Dinokeng’ kicks off in Tshwane, South Africa. Nicki Minaj will join her US counterparts, Macklemore and Ryan Lewis, J Cole and Kid Ink alongside hot African acts at the biggest music festival ever to touch African Continent, Tribe One. […]

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yapoteza Sh800 bilioni kwa mwaka

>Tanzania imepoteza kiasi cha Dola 462 milioni za Marekani (sawa na Sh794.6 bilioni) mwaka 2013  kutokana na rushwa, udanganyifu katika ankara za malipo na ukwepaji wa kodi.

 

10 years ago

Bongo5

Macklemore aeleza kuumizwa baada ya kusitishwa kwa tamasha la TribeOne, Afrika Kusini

Rapper wa Marekani, Macklemore ametumia mtandao wa Facebook kueleza kusikitishwa kwake kutokana na kusitishwa kwa tamasha la TribeOne lililokuwa lifanyike wiki ijayo nchini Afrika Kusini. Waandaji wa tamasha hilo la siku tatu, Alhamis hii walitangaza kusitishwa kwake kwa madai kuwa maandalizi yake yamechelewa na hivyo wasingeweza kufanya tamasha walilokuwa wamedhamiria. Tamasha hilo lilitarajiwa kuwa kubwa […]

 

9 years ago

Michuzi

AIRTEL YATOA GAWIO LA TSHS BILIONI 5.3 KWA WATEJA WA AIRTEL MONEY


Meneja biashara wa kitengo cha  Airtel Money,  Bwn Asupya Naligingwa(kushoto) akiongea na waandishi wa habari wakati wa kutangaza Airtelkugawa gawio la faida la zaidi ya  shilingi billion 5 kwa wateja namawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima.  Pichanini Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania Bi Jane Matinde
KAMPUNI ya simu za mkononiya Airtel leo imetangaza kugawa zaidi ya shilingi bilioni 5 kwa watejana mawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima
Uamuzi huo wa...

 

9 years ago

GPL

AIRTEL YATOA GAWIO LA TSHS BILIONI 5.3 KWA WATEJA WA AIRTEL MONEY‏

Meneja biashara wa kitengo cha Airtel Money, Bwn Asupya Naligingwa (kushoto) akiongea na waandishi wa habari wakati wa kutangaza Airtel kugawa gawio la faida la zaidi ya shilingi billion 5 kwa wateja na mawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima. Pichani ni Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania Bi Jane Matinde. Dar es Salaam, Jumatano 30 Septemba 2015, Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imetangaza...

 

5 years ago

Michuzi

Waziri Biteko: Sekta ya Madini inaongoza kwa ukuaji wa uchumi nchini,makusanyo yamepaa kutoka Bilioni 39/- hadi Bilioni 58/- kwa mwezi

 Waziri wa Madini, Doto Biteko akizungumza na wajumbe wa warsha iliyoandaliwa kwa lengo la kuandaa kitabu cha viashiria hatarishi (Risk Registry) vya Wizara ya Madini iliyofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Madini Dodoma leo Mei 18, 2020. Kushoto kwake ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Prof. Simon Msanjila na Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango Augustine Ollal. (Picha na Wizara ya Madini).  Waziri wa Madini, Doto Biteko akizungumza na wajumbe wa warsha iliyoandaliwa kwa lengo la...

 

9 years ago

Michuzi

TICTS yatoa Tshs 3m/- kufanikisha shughuli za wiki ya Nenda kwa usalama barabarini kwa Mkoa wa Kipolisi Temeke

 Kampuni ya TICTS yakabidhi mchango wa Tshs 3,000,000/= kufanikisha shughuli za wiki ya Nenda kwa usalama barabarini kwa Mkoa wa Kipolisi Temeke Kanda maalum ya Dar-es-salaam.Pichani Mkurugenzi wa Shughuli za maendele0 (TICTS) Bw Donald Talawa akikabidhi hundi kwa Kamanda wa Trafiki Mkoa wa Temeke SP R.T Shemndolwa ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama Barabarani. Viongozi wa Kampuni ya TICTS.Bi Carol Owenya,Bw Donald Talawa na Bw John Masasi wakimsikiliza Kamanda wa Trafiki Mkoa wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Matumizi mabaya ya fedha za umma, serikali yapoteza bilioni 250/-

Mkurugenzi wa Utetezi na Maboresho wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Harold Sungusia (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho, Dk. Helen Kijo-Bisimba, wakati akitoa taarifa juu ya mwenendo na hatua za kisheria kwa viongozi wa umma wanaokiuka maadili.Katikati ni Mkurugenzi wa Ujengaji Uwezo na Uwajibikaji wa LHRC, Imelda Urrio na kulia ni Ofisa Programu Dawati la Waangalizi Watendaji...

 

5 years ago

Michuzi

MATOKEO YA SARE NNE MFULULIZO KWA TIMU YA YANGA YAPOTEZA MATUMAINI YA MBIO ZA UBINGWA...YATOA TENA SARE KWA COASTAL UNION ...


Yassir Simba, Michuzi Tv

MATUMAINIA ya timu ya soka ya Yanga ya jijini Dar es Salaam kuwamo kwenye mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu yamezidi kuyeyuka baada ya mchezo wake wa leo dhidi ya Coastal Union a.k.a Wagosi Wakaya kumaliza kwa sare ya bila kufungana.

Mchezo wa Yanga dhidi ya Coastal Union umefanyika leo Februari  23 mwaka huu wa 2020 ambapo kila timu ilionekana kuhitaji kuibuka na ushindi wa alama tatu lakini hadi dakika 90 zimalizika wamemaliza kwa kupata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani