Wachina jela miaka 5 kwa meno ya tembo
RAIA wawili wa China wamehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela au kulipa faini ya Sh milioni moja baada ya kukutwa wakisafirisha meno ya tembo. Qui Wu (30) na Zou Zhihong (51) ambao walikutwa na meno ya tembo, zilizotengenezwa kama bangili na kinyago.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo15 Nov
Watupwa jela miaka 20 kwa meno ya tembo
WAKAZI wawili wa Dar es Salaam, wamehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela au kulipa faini ya Sh milioni tano kila mmoja, baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na meno ya tembo.
9 years ago
Mtanzania18 Nov
Jela miaka saba kwa kukamatwa na shanga za meno ya Tembo
FARAJA MASINDE NA GODFREY MBANILE (GPC), DAR ES SALAAM
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, imemhukumu kwenda jela miaka saba sambamba na kulipa faini ya Sh milioni 20, Feng Quan (38), raia wa China, baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na goroli 767 za shanga zilizotengenezwa kwa meno ya tembo yenye thamani ya Sh milioni 5.8 ambayo ni nyara za serikali.
Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi, John Msafiri, baada ya mtuhumiwa kukutwa na hatia ya kutumia nyara hizo zenye...
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Meno ya tembo yawatupa wawili jela miaka 20
11 years ago
Habarileo24 Dec
Zuio la dhamana kwa Wachina wa meno ya tembo latupwa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali hati ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) kupinga ombi la dhamana ya raia wa China wanaokabiliwa na kesi ya kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh bilioni 5.4.
11 years ago
Habarileo06 May
Kesi ya Wachina ya meno ya tembo Mei 13
MASHAHIDI wa upande wa mashitaka katika kesi ya kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh bilioni 5.4, inayowakabili raia watatu wa China, wataendelea kutoa ushahidi Mei 13 na 14 mwaka huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
11 years ago
Habarileo05 Feb
Wachina wa meno ya tembo wadaiwa kutaka kuhonga
RAIA watatu wa China wanaokabiliwa na kesi ya kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh bilioni 5.4, wanadaiwa kujaribu kutoa rushwa ya Sh milioni 30.2 kwa askari ili wasifunguliwe mashitaka.
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Wachina watupwa jela miaka 20 kwa ujangili
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-LzVv4r32yl4/VB6sgbs_3_I/AAAAAAAAL14/LIiasCIwrvw/s72-c/b8.jpg)
Interpol yawasaka Wachina 30 kwa ujangili wa tembo
![](http://3.bp.blogspot.com/-LzVv4r32yl4/VB6sgbs_3_I/AAAAAAAAL14/LIiasCIwrvw/s640/b8.jpg)
Kamishna wa Interpol Tawi la Tanzania, Gustav Babile
Dar/Dodoma. Siku tano baada ya Serikali kukanusha vikali ripoti ya Shirika la Kimataifa la Mazingira (EIA) iliyoihusisha China na utoroshaji wa meno ya tembo nchini wakati wa ziara ya Rais wa nchi hiyo, Xi Jinping mwaka jana, Shirika la Polisi la Kimataifa (Intepol), Tawi la Tanzania limesema linawatafuta raia zaidi ya 30 wa China ambao wanatuhumiwa kusafirisha meno ya tembo na kufanya uharamia wa kimazingira katika hifadhi za Taifa...