Wachina wa meno ya tembo wadaiwa kutaka kuhonga
RAIA watatu wa China wanaokabiliwa na kesi ya kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh bilioni 5.4, wanadaiwa kujaribu kutoa rushwa ya Sh milioni 30.2 kwa askari ili wasifunguliwe mashitaka.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo06 May
Kesi ya Wachina ya meno ya tembo Mei 13
MASHAHIDI wa upande wa mashitaka katika kesi ya kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh bilioni 5.4, inayowakabili raia watatu wa China, wataendelea kutoa ushahidi Mei 13 na 14 mwaka huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
11 years ago
Habarileo12 Mar
Wachina jela miaka 5 kwa meno ya tembo
RAIA wawili wa China wamehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela au kulipa faini ya Sh milioni moja baada ya kukutwa wakisafirisha meno ya tembo. Qui Wu (30) na Zou Zhihong (51) ambao walikutwa na meno ya tembo, zilizotengenezwa kama bangili na kinyago.
11 years ago
Habarileo24 Dec
Zuio la dhamana kwa Wachina wa meno ya tembo latupwa
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali hati ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP) kupinga ombi la dhamana ya raia wa China wanaokabiliwa na kesi ya kukutwa na meno ya tembo yenye thamani ya Sh bilioni 5.4.
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Vigogo TAA kortini, wadaiwa kusafirisha meno ya tembo
11 years ago
Michuzi.jpg)
WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO
11 years ago
GPL
WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Wachina mbaroni, wadaiwa kukutwa pembe za faru
9 years ago
Mwananchi06 Nov
Wachina mbaroni, wadaiwa kukutwa na pembe za faru