Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba yakwaa kisiki Zanzibar

KLABU ya Simba imeshindwa kucheza mechi ya kirafiki wiki hii visiwani Zanzibar baada ya kukosa timu yenye ubora kwa ajili ya kupima kikosi chake.

Rais wa Simba, Evans Aveva, alisema jana kuwa kocha wao, Dylan Kerr, alitaka kucheza mchezo wa kirafiki mwishoni mwa wiki hii, imeshindikana baada ya kukosa timu nzuri ya kucheza nayo.

“Unajua timu nyingi zipo hapa Dar es Salaam zinashiriki michuano ya Kagame, na timu ambayo tulikua tunategemea kucheza nao ni KMKM ndio kidogo ingetupa...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Man United yakwaa kisiki

Ligi kuu ya England jana usiku Manchester United ilijikuta ikibanwa mbavu ugenini kwa Westbromwich Albion katika sare ya 2-2.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yakwaa kisiki Hifadhi ya Serengeti

>Mahakama ya Afrika Mashariki (EACJ), imeizuia Serikali ya Tanzania kujenga barabara ya lami kupitia Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, ikieleza kuwa ujenzi huo utaathiri mazingira, maisha ya wanyamawwpori na baoanuai ya hifadhi hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yakwaa kisiki kuizuia TLS mahakamani

Serikali jana ilijikuta ikikwaa kisiki mahakamani baada ya kushindwa kuzuia usikilizwaji wa maombi ya Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS), ya kutaka ipatiwe kibali cha kufungua kesi kupinga Bunge la Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sitta akwaa kisiki

KIKAO cha Kamati ya Mashauriano kinachotarajiwa kufanyika leo chini ya Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, huenda kisifikie lengo lake la kutafuta suluhu ya kunusuru Bunge hilo liweze...

 

10 years ago

Mtanzania

Mbowe: Mimi ni kisiki Chadema

Freeman Mbowe

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe

NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, ametangaza rasmi kutetea nafasi yake baada ya kuombwa kufanya hivyo na viongozi mbalimbali wa chama hicho.

Pamoja na hilo, pia amewakaribisha wanachama wa Chadema wanaohisi wana uwezo wa kushinda nafasi hiyo kujipima kwake.

Alitangaza uamuzi huo mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, baada ya kuchukuliwa fomu na Mwenyekiti wa Baraza...

 

10 years ago

GPL

KISIKI UKAWA KUPATA MGOMBEA NI HIKI

Viongozi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Na Ojuku Abraham WAKATI Watanzania wakiwa makini kusikiliza jina la mgombea wa nafasi ya urais kutoka vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) ambaye atapambana na Dk. John Magufuli wa CCM, habari zinasema kizingiti kikubwa cha kumpata mtu huyo ni mvutano mkubwa uliopo baina ya vyama viwili vya CUF na Chadema, Uwazi Mizengwe linakutaarifu.....Soma...

 

10 years ago

Vijimambo

Chenge akwaa kisiki Escrow, Akimbilia Mahakama Kuu.

Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge.
Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge, jana ‘alikwaa kisiki’ baada ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma kutupilia mbali pingamizi lake aliloliwasilisha juzi kuzuia kusikilizwa kwa shauri lake kuhusiana na tuhuma za kukiuka sheria ya maadili ya viongozi wa umma.

Pamoja na mambo mengine, Chenge, ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali mstaafu, anatuhumiwa kwa kujipatia mgawo wa Sh. bilioni 1.6 kutoka kwenye fedha zilizochotwa...

 

9 years ago

Habarileo

Simba bado Zanzibar

SIMBA jana ilishindwa kuonesha makali yake baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU), katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa.

 

9 years ago

Habarileo

Simba usipime Zanzibar

KLABU ya Soka ya Simba imeanza mazoezi yake jana katika Uwanja wa Amaan kwa ajili ya kujindaa na mechi zijazo za Ligi Kuu Tanzania Bara itakayoendelea Desemba 12. Ligi hiyo ilisimama ili kupisha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kucheza mechi za kufuzu kwa fainali ya Kombe la Dunia pamoja na ile ya Kilimanjaro Stars kucheza michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea Ethiopia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani