Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba usipime Zanzibar

KLABU ya Soka ya Simba imeanza mazoezi yake jana katika Uwanja wa Amaan kwa ajili ya kujindaa na mechi zijazo za Ligi Kuu Tanzania Bara itakayoendelea Desemba 12. Ligi hiyo ilisimama ili kupisha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kucheza mechi za kufuzu kwa fainali ya Kombe la Dunia pamoja na ile ya Kilimanjaro Stars kucheza michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea Ethiopia.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Dozi ya Simba... Sauz usipime!

Wachezaji wa Simba wakifanya mazoezi. Na Wilbert Molandi
SIMBA imeambulia pointi tatu katika mechi tatu, uongozi wa timu hiyo chini ya Rais Evans Aveva umeamua kujipanga kikamilifu hasa wakati huu ambapo wanajiandaa kuivaa Yanga kwenye Ligi Kuu Bara, maandalizi ya timu hiyo yameonekana kuwa makali chini ya Kocha Patrick Phiri jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini. Tangu kikosi cha Simba kilipotua Afrika Kusini, Jumatano...

 

9 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam, Simba usipime

Yanga na Azam zimeendelea kujikita kileleni mwa ligi baada  ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar na Coastal Union, huku Simba ikiichapa Stand United kwa bao 1-0.

 

9 years ago

Habarileo

Simba bado Zanzibar

SIMBA jana ilishindwa kuonesha makali yake baada ya kupokea kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU), katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mapokezi ya Diamond usipime

Polisi jijini Dar es Salaam jana walilazimika kuingilia kati msafara wa mwanamuziki Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ baada ya vurugu kutokea wakati mashabiki wakimlaki aliporejea nchini akitokea Afrika Kusini alikoshinda tuzo tatu za Channel O Music Video Awards.

 

10 years ago

Mwananchi

Usipime Chelsea, Arsenal

Ni nani atalia, pia nani atacheka? Hili ni swali ambalo linaulizwa leo zinapokutana timu kadhaa za Ligi Kuu England, zikiwamo pinzani za London, Chelsea , Arsenal, Man United na Everton.

 

10 years ago

GPL

RUGE WA ESCROW USIPIME!

Waandishi Wetu
LOOH usipime! Yule bilionea aliyezidi kupata jina kwa kutajwa kwenye sakata la fedha za Akaunti ya Tegeta Escrow, James Rugemalira ‘Ruge wa Escrow’, amefanya maadhimisho makubwa aliyoyaita kumbukumbu ya kifo cha mjukuu wake, Isabella  Benita Bulengo. James Rugemalira ‘Ruge wa Escrow’. Kumbukumbu hiyo ya kuadhimisha miaka mitatu tangu kifo, ilifanyika Aprili 25, mwaka huu nyumbani kwa...

 

10 years ago

Michuzi

SIMBA YAICHAKAZA KMKM 5-0 ZANZIBAR

 SIMBA SC imewafunga mabingwa wa Zanzibar, KMKM mabao 5-0 katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Amaan, Zanzibar.KMKM inayofundishwa na Ally Bushiri ‘Bush’ ambayo Jumatano wiki hii ilifungwa 2-0 na Yanga SC, leo iligeuzwa asusa na Wekundu wa Msimbazi.
Simba SC ilikwenda kupumzika ikiwa inaongoza mabao 4-0, yaliyotiwa kimiani na Amisi Tambwe mawili, Amri Kiemba na Shaaban Kisiga ‘Malone’ moja kila mmoja.

Amri Kiemba ndiye aliyefungua karamu...

 

9 years ago

Habarileo

Simba yaiendea Azam Zanzibar

TIMU ya Simba imesema kuwa inatarajia kuweka kambi Zanzibar kuanzia wiki ijayo kwa ajili ya maandalizi ya mchezo ujao dhidi ya vinara wa Ligi Azam FC utakaochezwa Desemba 12 mwaka huu.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Simba yakwaa kisiki Zanzibar

KLABU ya Simba imeshindwa kucheza mechi ya kirafiki wiki hii visiwani Zanzibar baada ya kukosa timu yenye ubora kwa ajili ya kupima kikosi chake.

Rais wa Simba, Evans Aveva, alisema jana kuwa kocha wao, Dylan Kerr, alitaka kucheza mchezo wa kirafiki mwishoni mwa wiki hii, imeshindikana baada ya kukosa timu nzuri ya kucheza nayo.

“Unajua timu nyingi zipo hapa Dar es Salaam zinashiriki michuano ya Kagame, na timu ambayo tulikua tunategemea kucheza nao ni KMKM ndio kidogo ingetupa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani