Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dozi ya Simba... Sauz usipime!

Wachezaji wa Simba wakifanya mazoezi. Na Wilbert Molandi
SIMBA imeambulia pointi tatu katika mechi tatu, uongozi wa timu hiyo chini ya Rais Evans Aveva umeamua kujipanga kikamilifu hasa wakati huu ambapo wanajiandaa kuivaa Yanga kwenye Ligi Kuu Bara, maandalizi ya timu hiyo yameonekana kuwa makali chini ya Kocha Patrick Phiri jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini. Tangu kikosi cha Simba kilipotua Afrika Kusini, Jumatano...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Simba usipime Zanzibar

KLABU ya Soka ya Simba imeanza mazoezi yake jana katika Uwanja wa Amaan kwa ajili ya kujindaa na mechi zijazo za Ligi Kuu Tanzania Bara itakayoendelea Desemba 12. Ligi hiyo ilisimama ili kupisha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kucheza mechi za kufuzu kwa fainali ya Kombe la Dunia pamoja na ile ya Kilimanjaro Stars kucheza michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea Ethiopia.

 

9 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam, Simba usipime

Yanga na Azam zimeendelea kujikita kileleni mwa ligi baada  ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar na Coastal Union, huku Simba ikiichapa Stand United kwa bao 1-0.

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga, Simba, Azam zatoa dozi VPL

Pg 32*Kagera, Prisons, Majimaji zabanwa mbavu, African Sports hoi Ligi kuu

NA WAANDISHI WETU

TIMU za soka za Yanga, Simba na Azam jana zilitoa dozi ya vipigo katika mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara zilizochezwa kwenye viwanja tofauti, huku mabingwa hao watetezi wakiendelea kutamba kileleni mwa ligi hiyo.

Vinara Yanga walijiongezea kasi na kuzidi kujiimarisha kwenye msimamo wa ligi hiyo baada ya kuwazamisha wenyeji wao Mtibwa Sugar kwa mabao 2-0 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Jamhuri,...

 

9 years ago

Mwananchi

Simba yaandaa dozi kwa African Sports

Kocha wa Simba, Dylan Kerr amesema licha ya wengi kuibeza timu hiyo na kuona haitafanya vizuri msimu huu, lakini anaamini itawanyamazisha wote kwa kutwaa ubingwa msimu ujao.

 

10 years ago

GPL

MASOGANGE ATIMULIWA SAUZ!

Sifael Paul na Imelda Mtema
HABARI ikufikie kuwa muuza nyago wa video za wasanii wa Bongo Fleva (video queen), Agness Gerald ‘Masogange’ anadaiwa kutimuliwa nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ na sasa amekuwa akionekana Bongo akirandaranda mitaani. Muuza nyago wa video za wasanii wa Bongo Fleva (video queen), Agness Gerald ‘Masogange’. TUJIUNGE JOHANNESBURG
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho...

 

10 years ago

GPL

Ngassa atorokea Sauz

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa. Na Nicodemus Jonas
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa, ametoroka nchini na kukimbilia kusikojulikana huku viongozi wake wakijua kuwa amekwenda Tanga kwa ajili ya msiba wa mamamkwe wake. Ngassa hajaonekana Yanga tangu Jumanne ya wiki iliyopita. Aliwaaga viongozi wa klabu hiyo kuwa anakwenda Tanga kuhudhuria msiba lakini taarifa zinadai ametoroka nchini. Chanzo chetu cha...

 

10 years ago

GPL

Ngassa asaini Sauz

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa. Na Wilbert Molandi,Dar es Salaam
HABARI ni kuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa amemalizana na Klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini inayoshiriki ligi kuu ya nchini humo. Hatua hiyo imekuja baada ya mchezaji huyo kusisitiza kuwa ataondoka klabuni hapo baada ya uongozi kutomlipia deni lake analodaiwa na benki.Wiki iliyopita kiungo huyo aliliambia gazeti hili kuwa yupo...

 

10 years ago

GPL

SNURA: NILIPOTELEA SAUZ NA MOMBASA

Gladness Mallya/Ijumaa wikienda
Alikuwa wapi? Baada ya kupotea kwa muda mrefu, staa wa sinema na muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi hatimaye ameibuka na kueleza sababu za ukimya wake. Staa wa sinema na muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi. Akizungumza na Ijumaa Wikienda katika mahojiano maalum, Snura amefunguka kwamba ukimya wake ulitokana na kwenda Afrika Kusini ‘Sauz’ kushuti video ya wimbo wake wa Najidabua na...

 

10 years ago

GPL

MASOGANGE AIBU TUPU SAUZ

Na Erick Evarist/Ijumaa
MIEZI michache tangu ahamishie makazi yake nchini Afrika Kusini, modo aliyetikisa Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ ametia aibu kutokana na kudaiwa ‘kujiuza’ kwa njia ya mtandao nchini humo. Modo anayetikisa Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’. Chanzo makini kilicho karibu na staa huyo kimepenyeza ubuyu kuwa, Masogange yupoyupo tu, kazi kujipiga picha za utupu na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani