MASOGANGE AIBU TUPU SAUZ
![](http://api.ning.com:80/files/V7mcip*tK2RxulfyBNXytI1F-kXblLTS9rryrj3H1p7*lr2BwByWGLffJxcVd4b9e5lNW6yyFj6D8qPnchGEGxz-TX8M8rsL/Masogange.jpg)
Na Erick Evarist/Ijumaa MIEZI michache tangu ahamishie makazi yake nchini Afrika Kusini, modo aliyetikisa Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ ametia aibu kutokana na kudaiwa ‘kujiuza’ kwa njia ya mtandao nchini humo. Modo anayetikisa Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’. Chanzo makini kilicho karibu na staa huyo kimepenyeza ubuyu kuwa, Masogange yupoyupo tu, kazi kujipiga picha za utupu na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1YYvG9WhVTJmIGHwE738H0-LBhkHw6Vwu-Lurk56eC02FxR*9r2g2R*bK3pJPRtxmEvDcnngfTtA2Cz2BDmVbsT/GDSTG.jpg?width=650)
MASOGANGE ATIMULIWA SAUZ!
Sifael Paul na Imelda Mtema
HABARI ikufikie kuwa muuza nyago wa video za wasanii wa Bongo Fleva (video queen), Agness Gerald ‘Masogange’ anadaiwa kutimuliwa nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ na sasa amekuwa akionekana Bongo akirandaranda mitaani. Muuza nyago wa video za wasanii wa Bongo Fleva (video queen), Agness Gerald ‘Masogange’. TUJIUNGE JOHANNESBURG
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho...
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Kufutwa kodi ya simu, Bunge aibu tupu
>Hatua ya Rais Jakaya Kikwete kutia saini hati ya dharura ili Muswada wa Fedha wa mwaka 2013 ufanyiwe marekebisho na kuondoa tozo ya kodi kwa laini za simu imeliacha Bunge katika fadhaa na fedheha kubwa.
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...
Azam imezidi kunyemelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya kuichapa Simba 2-1, huku mabingwa watetezi Yanga wakichapwa 2-1 na wachezaji 10 wa Mgambo Shooting kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
10 years ago
Mwananchi18 Oct
Aibu yetu, aibu yao...
Tambo, ngebe zilizotawala vinywa vya mashabiki, viongozi wa Yanga na, Simba zinafikia mwisho leo kwa pambano linalozikutanisha timu hizo mbili.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HRXB3pTHxIot814mV9jV7wMGhakpAMMfpAOXarE797pU*MSUPfsiQpY*600YtWKfumn*0WRIOpsR2NdA68s3ekqwkAE6o83K/1.gif?width=650)
Ngassa asaini Sauz
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa. Na Wilbert Molandi,Dar es Salaam
HABARI ni kuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa amemalizana na Klabu ya Free State Stars ya Afrika Kusini inayoshiriki ligi kuu ya nchini humo. Hatua hiyo imekuja baada ya mchezaji huyo kusisitiza kuwa ataondoka klabuni hapo baada ya uongozi kutomlipia deni lake analodaiwa na benki.Wiki iliyopita kiungo huyo aliliambia gazeti hili kuwa yupo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dHlpmXXOuPUjIuq3xF4ZMbY9adxei1*fblUkIDnFoU1dAuwtDPQMsGViSiVqe8g8XFxMsiTAIjo3YYL9r2D-f3LWraM7CR*3/nvgasa.jpg)
Ngassa atorokea Sauz
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa. Na Nicodemus Jonas
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mrisho Ngassa, ametoroka nchini na kukimbilia kusikojulikana huku viongozi wake wakijua kuwa amekwenda Tanga kwa ajili ya msiba wa mamamkwe wake. Ngassa hajaonekana Yanga tangu Jumanne ya wiki iliyopita. Aliwaaga viongozi wa klabu hiyo kuwa anakwenda Tanga kuhudhuria msiba lakini taarifa zinadai ametoroka nchini. Chanzo chetu cha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Dy9ynGgwNlRxzHp*-733bQxiayhlwS3G*qmblWb48I8Ax4ABPdXpaqKgDXGPmDNIqsicSbGCISZLH37OHqrAB6eUloiSQ1dR/dozi.jpg)
Dozi ya Simba... Sauz usipime!
Wachezaji wa Simba wakifanya mazoezi. Na Wilbert Molandi
SIMBA imeambulia pointi tatu katika mechi tatu, uongozi wa timu hiyo chini ya Rais Evans Aveva umeamua kujipanga kikamilifu hasa wakati huu ambapo wanajiandaa kuivaa Yanga kwenye Ligi Kuu Bara, maandalizi ya timu hiyo yameonekana kuwa makali chini ya Kocha Patrick Phiri jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini. Tangu kikosi cha Simba kilipotua Afrika Kusini, Jumatano...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qtyPtO5k1Y7CWLcxWd8QyroxlB54O-7o5QC5r9jOfcjMkRjM*qNna4QRFUurjdO02W9Xm6m5Uaqql0MiZR7F28E/1.jpg)
SNURA: NILIPOTELEA SAUZ NA MOMBASA
Gladness Mallya/Ijumaa wikienda
Alikuwa wapi? Baada ya kupotea kwa muda mrefu, staa wa sinema na muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi hatimaye ameibuka na kueleza sababu za ukimya wake. Staa wa sinema na muziki wa Bongo Fleva, Snura Mushi. Akizungumza na Ijumaa Wikienda katika mahojiano maalum, Snura amefunguka kwamba ukimya wake ulitokana na kwenda Afrika Kusini ‘Sauz’ kushuti video ya wimbo wake wa Najidabua na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaJIsgaKtfGFt1K6kFSbItCwhrISwZWH*Q4UeXuPlSVuFGYPycPkFJjQrnMy5yc5jR96MiXvYgp*fEsGSltPz8oi/Mkude2.jpg?width=650)
MKUDE ATENGEWA WIKI MBILI SAUZ
Na Hans Mloli Dar es Salaam Kiungo mkabaji wa Simba SC, Jonas Mkude. HATIMAYE sasa yametimia na rasmi kiungo mkabaji wa Simba SC, Jonas Mkude, anatarajia kuondoka nchini Alhamisi ya wiki hii kwa ajili ya kwenda kufanya majaribio ya wikimbili kwenye kikosi cha Bidvest Wits ya Afrika Kusini ‘Sauz’. Mipango hiyo ya mchezaji huyo ilianza kuiva tangu akiwa kambini nchini Ethiopia na kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania